Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Well atleast not in that particular caseThe world is dominated by male creatures, hilo ndio jibu la jumla.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well atleast not in that particular caseThe world is dominated by male creatures, hilo ndio jibu la jumla.
In all aspects my dear, taratibu ndio wanawake wanaingizwa kwenye system, hata swala la ngono wanaingizwa(wanakuwa huru kumiliki zaidi ya mmoja).Well atleast not in that particular case
Ni chombo hasa, tena bado kako fresh, ila hili la kusomesha mchumba kibongo bongo yataka moyo wa chuma
Kila la kheri niwatakiSasa ata angekuwa mbongo angesomeshwa afu amuache tajiri kama mane??shida bongo tunaachwa kwasababu mtu masikini umeenda kumsomesha binti huko chuo anakutana na masponser anashindwa kukukumbuka muuza mkaa,,,ukiona hujajipata Acha kiherer
Hakika...
Balqior,ANAMPENDA.....Ila Kuna sababu inayochagiza huo upendo
Akili ni nywele kila mtu ana zake,unautashi na akili uliyo jaliwa itumie kutunza usichana wako,sababu maamuzi ya mwili wako yapo juu yako.Na hapo ndipo tatizo linapoanzia sasa kama kila me anataka awe playboy hizo bikira zitatoka wapi, mkitaka ke wajitunze means na ninyi mkubali kujitunza, maana obviously mtakosa wanawake wa kuwachezea je mko tayari kwa hilo
Kama hela ipo unamsomesha tu.
Mshahara wa Mane ni mkubwa sana kwa ada za shule za africa.
Hawa wazungu ni wapumbavu wanavizia kuwafilisi watu weusi dawa yao kuwakimbia tu
Huo mtizamo wako, ila narudia anaye propose ni mwanaume, yy ndiye mwamuzi wa mwisho.Hapana hiyo ilikuwa zamani kwa dunia ya leo sidhani kama anayeumia ni mwanamke, siku hizi kote mitaani na mtandaoni wanaoongoza kulalamika kuhusu mahusiano ni wanaume, wanawake siku hizi wamekaa kimya na wengi hawajali tena kuhusu mitazamo ya jamii sasa kwa hali hii nani anayetakiwa kuchukua hatua hapo
Ah rafiki mbona sasa wanilengeshea mie...sula la kuacha au kutoacha ni personal decison.Kwa hyo ukioa mkeo akivuka hiyo 25 utamuacha kisa utamu umeisha?
Wee bwana mbona huku nyuma ilikuwa inawezekana labda nyie wasomi mnieleweshe y now haiwezekani....wee sie boda boda tunavila vibinti vya 15/16 na vinakatikia kibamia mpaka mwenyewe unaomba poh.15 years mkuu
Unawajua mabinti wa 15 years ??...
Hako si kapo form 2 or 3
Kwa hiyo unadhani mtu akishajua kusex tu yupo tayari kwa ndoa
Kumtwika binti wa miaka 15 au 16 jukumu la kuwa mke na mama wa familia haswa kwa karne hii ni kumuonea. Kwanza kwa umri huo labda awe vizuri kimwili la sivyo, anakuwa kwenye ule umri rahisi wa kupata matatizo ya uzazi
Kusoma unajua, ila kuelewa kilichoandikwa sasa ndio changamoto.Tatizo unadhani Sheria za Tanzania zinatumika dunia nzima. Uelewa wako mdogo sana.
Senegal umri wa kisheria kuruhusiwa kuolewa ni miaka 16.
Kwanza jamaa anahudumia kijiji alichozaliwa wote ndio ashindwe kumsomesha mwanamkeKama hela ipo unamsomesha tu.
Mshahara wa Mane ni mkubwa sana kwa ada za shule za africa.
SlopMwamba kachukua mtoto mbich namba E kazaliwa 2005. Lakini utakuta kuna wanaume humu wanangangania single moms waliozaliwa 80s na 90s huko