Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
ππππππSahihi kabisa brother.
AseeeππΎππΎ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππSahihi kabisa brother.
Hapo ndipo haswa kwenye mada lengwa, kwamba binti wa miaka 18 na nin demu wake wa kitambo tu.Na kinatafutwa zaidi hapo waliposema "long-term"ngoja BBC waanze yao
Angalau miaka 20.15 years mkuu
Unawajua mabinti wa 15 years ??...
Hako si kapo form 2 or 3
Kwa hiyo unadhani mtu akishajua kusex tu yupo tayari kwa ndoa
Kumtwika binti wa miaka 15 au 16 jukumu la kuwa mke na mama wa familia haswa kwa karne hii ni kumuonea. Kwanza kwa umri huo labda awe vizuri kimwili la sivyo, anakuwa kwenye ule umri rahisi wa kupata matatizo ya uzazi
Halafu vitu vingine vya ajabu, ameolewa na miaka 18 mnashangaa, hata akiwa na 16 kaishabalehe ana mahitaji ya kimwili ruksa, yaani binti wa miaka 18 kuolewa sio sawa, ila kutom..bwa, kuziniwa sio suala, abebe mimba azae na arudi shuleni, yani ni ruksa tu binti kutafunwa ila sio kuolewa.
ππ€£
Mm mm Mmwenyekiti ningeshangaa kweli kukosa neno lako.Akuangalie nani sasa bro.....
Yatamkuta ya R.Kelly...Hapo ndipo haswa kwenye mada lengwa, kwamba binti wa miaka 18 na nin demu wake wa kitambo tu.
Tatizo liko wapi sasa?π.... lazima walikutana kabla ya 18
Una akili sana mkuu!Kuna umuhimu gani kuandika binti wa miaka 18!? Kuna kitu kinatafutwa hapa.
Kuna umuhimu gani kuandika binti wa miaka 18!? Kuna kitu kinatafutwa hapa.
Mahabaaaaπππhapo anaona maferrari famchezo niniHapo kaguswa na msuli uliokaza .....unajua msuli gani ?
Mtoto anaimajin mtwango.
Looooh mahaba yananiua Mimi.
Ni upuuzi upuuzi tuUna akili sana mkuu!
Angekuwa ni Mgalatia hiyo miaka isingetajwa ππ€
Ubaya sheria za kwao zinaruhusu kumuoa bintibwa miaka 16.. Halafu uchumba sio kugegedana, japo kwa dunia ya sasa ni ngumu, ika kuna watu wapo uchumba hawagegedani, hiyo kuonana tu mbinde.Hapo wazungu watatakani waambiwe na proof kwamba alimuanza Yale kabla ya kufika 18, wammalize.
Hela nyoko.Mahabaaaaπππhapo anaona maferrari famchezo nini
Shida kaolewa kwao, angejichanganya kwemye nchi za watu angeisha, angefulia kiasi mie na kibanda changubcha makuti naweza kuwa bosi wake. ππ€£Yatamkuta ya R.Kelly...
Tatizo wazungu Wana Hila nyie,,,unaweza Kuta Sheria za kwao zinaruhusu ila watasema anafungiwa kucheza kwenye league za ulayaUbaya sheria za kwao zinaruhusu kumuoa bintibwa miaka 16.. Halafu uchumba sio kugegedana, japo kwa dunia ya sasa ni ngumu, ika kuna watu wapo uchumba hawagegedani, hiyo kuonana tu mbinde.
Tatizo unadhani Sheria za Tanzania zinatumika dunia nzima. Uelewa wako mdogo sana.Kuna umuhimu gani kuandika binti wa miaka 18!? Kuna kitu kinatafutwa hapa.
Yaani ,tunakukata jicho Moja!boda ikiondoka unapiga bonge la mfyonzo la millennium πHela nyoko.
Akina sie demu unampandisha boda-boda Kama tenga la kuku....akuchekee Nani ?