Mchezaji wa Simba hawezi kula bata kila siku na wachezaji wa Yanga akabaki salama

Mchezaji wa Simba hawezi kula bata kila siku na wachezaji wa Yanga akabaki salama

kwa yanga hii iliyopunguza makali nitajie ni wachezaji wangapi wa Simba wanaingia kikosi cha kwanza cha yanga?
Mimi nimeshakwambia hauna hoja wewee, bado unabwatuka tu. Wenzio wameshajifunza, wanaongea kwa kiasi. Wachezaji wa Simba mlisema hakuna hata mmoja anaweza kuanza kikosi cha kwanza cha utopolo na kina Chama, Baleke, Mkude mliwaita wazee, leo mnalilia hao hao waanze kuokoa jahazi maana mnawakataa kina Aziz Ki, Dube na Aucho
 
Wewe ajenda yako ni ya kuchafua watu kutafuta kichaka cha huruma na kusingizia vitu ambavyo avipo,,unazunguka zunguka tu badala ya kuwa muwazi kuwa mmeferi kwenye usajili mmesajili wachezaji wa viwango vya kucheza mechi za wakina mtibwa sugar unaanza kutafuta mtu wa kumuangushia zigo,,
Ahoua ametoka kule kule walipotoka kina Aziz Ki na Pacome na ametoka na profile ile ile waliyokuja nayo hao wengine. Ninachosema kimethibitishwa na wengine, wewe ndiyo unaleta hoja za hovyo ambazo hata uto wenzio hawawezi kukuunga mkono
 
Mimi nimeshakwambia hauna hoja wewee, bado unabwatuka tu. Wenzio wameshajifunza, wanaongea kwa kiasi. Wachezaji wa Simba mlisema hakuna hata mmoja anaweza kuanza kikosi cha kwanza cha utopolo na kina Chama, Baleke, Mkude mliwaita wazee, leo mnalilia hao hao waanze kuokoa jahazi maana mnawakataa kina Aziz Ki, Dube na Aucho
Wewe ndio auna hoja mwanaume unakuwa na ndimi mbilimbili na mambo ya kusingizia watu vitu vya ovyo ovyo,,kwamba misimu 3 mliyokosa ubingwa wachezaji wenu walikuwa na ukaribu na wachezaji wa yanga? Mmepigwa mara 4 mfululizo pia ahou alikuwepo kwenye vipigo 3 vilivyopita? Nisingekujibu but kwakuwa umewataja wachezaji wa yanga ndio maana nakujibu maana unapotosha watu na wajinga wajinga ndio watakusapoti juu ya iyo point yako!
 
Wewe ndio auna hoja mwanaume unakuwa na ndimi mbilimbili na mambo ya kusingizia watu vitu vya ovyo ovyo,,kwamba misimu 3 mliyokosa ubingwa wachezaji wenu walikuwa na ukaribu na wachezaji wa yanga? Mmepigwa mara 4 mfululizo pia ahou alikuwepo kwenye vipigo 3 vilivyopita? Nisingekujibu but kwakuwa umewataja wachezaji wa yanga ndio maana nakujibu maana unapotosha watu na wajinga wajinga ndio watakusapoti juu ya iyo point yako!
Mimi na wewe nadhani tumemalizana maana ni wazi nazungumza na mwehu
 
Yani unawaacha Mavambo na Mukwala nje unaanza na Ngoma na Ahoua wakati ile timu ndio inaonekana tishio kuliko zote kwenye kundi letu tena wako kwao, simba bado inahitaji maboresho ya kikosi wasibweteke kama majirani zao kujiona walishamaliza kusajili na wana kikosi kipana laiti kama dili la kina Foday Trawally, Abdelhay Forsy, Philippe Kinzumbi na Jonathan Alukwu lingetiki basi baada ya dirisha dogo simba ingekuwa moto wa kuotea mbali, ila wacha tuone kina Mpanzu na Kimvuidi watakuwa na nini cha kuoffer hapo msimbazi
Kaka Mavambo mwenyewe hana jipya..Simshangai Fadlu kumuweka benchi.

Ni mchezaji mzuri,ila uwepo wake uwanjani hauna impact kubwa.Angalia pasi zake ;za hapa na hapa,kurudisha nyuma na square.

Haisaidii timu kwenda mbele kabisa.

Simba ina shida namba 7,8,10 na 11.
 
Ahoua ametoka kule kule walipotoka kina Aziz Ki na Pacome na ametoka na profile ile ile waliyokuja nayo hao wengine. Ninachosema kimethibitishwa na wengine, wewe ndiyo unaleta hoja za hovyo ambazo hata uto wenzio hawawezi kukuunga mkono
Kwamba kama ametoka nao uko ndio wamemfanya awe na kiwango kibovu? Ni lini uyo ahou wenu amekuwa na kiwango Bora tokea ameingia nchini ebu tuambie? Au kina Aziz ki tokea anashuka pale walienda kumpokea airport wakaanza kumfundisha starehe?
 
Mimi na wewe nadhani tumemalizana maana ni wazi nazungumza na mwehu
Usiniite mwehu nadhani ujiheshimu kama ni matusi basi hapa umefika,,hoja ujibiwa kwa hoja acha kupotosha watu kwa vijimaneno vya kijingajinga usidhani Kila Mmoja hapa ni mbumbumbu,,zungumzia ubovu wa wachezaji wako sio kuwahusisha wengine kwenye blunders zenu za usajili!
 
Usiniite mwehu nadhani ujiheshimu kama ni matusi basi hapa umefika,,hoja ujibiwa kwa hoja acha kupotosha watu kwa vijimaneno vya kijingajinga usidhani Kila Mmoja hapa ni mbumbumbu,,zungumzia ubovu wa wachezaji wako sio kuwahusisha wengine kwenye blunders zenu za usajili!
Kuwa mwehu siyo tusi ni sifa inayoendana na uhalisia wako. Kwa msaada zaidi fika ofisi za TUKI, TATAKI au BAKITA.
 
Nakumbuka mwanzoni mwa msimu huu nilipongeza usajili mzuri waliofanya Simba ila nikatoa angalizo moja kuwa wachezaji wa Simba wapigwe marufuku kuzoeana na wachezaji wa Yanga nje ya uwanja.

Naelewa hawa wachezaji wana maisha nje ya uwanja na naelewa pia wengine wana historia zinazoingiliana kwa hiyo mahusiano nje ya uwanja hayaepukiki, ila ni vizuri tukajua uhalisia wa mpira wetu na tuambiane ukweli.

Nakumbuka kushangaa Aubin Kramo kuendeleza ukaribu na kina Yao na Pacome kiasi kwamba alikuwa anaenda hadi airport kumpokea Pacome. Mwisho wa siku wote tunajua story yake.

Huyu Ahoua naye siku zake pale Simba zinahesabika. Nasikia naye anaendeleza ukaribu na wachezaji hao hao wa Yanga. Nadhani viongozi wa Simba hawakuona haja ya kumpa mwongozo ila athari zake tunaziona sasa. Kocha Fadlu naye akiendeleza kumkumbatia ataondoka yeye kwanza halafu huyo Ahoua atamfuata.

Ifike wakati tuambiane ukweli wanasimba. Kuwa na mchezaji kama huyu uwanjani ni kujikaba wenyewe. Ni kuwapa pressure mabeki wako kwa dakika 90 maana mnakuwa siyo tishio kule mbele. Mwisho wa siku kina Ateba wanaonekana butu kumbe hawalishwi nafasi zozote za maana.

NYONGEZA: Pamoja na kwamba tunasema kocha asiingiliwe ila naye ni binadamu. Anaweza kuleta chuki binafsi katika kazi ikamfanya aharibu timu kwa kuwapiga pini wachezaji au kuwabeba wasiostahili. Yuko wapi Karabaka mchezaji aliyethibitisha ana bahati ya kufunga? Mbona Awesu hapangwi katika mechi anazoonekana kabisa anaweza kusaidia?
Huyu dogo Ahoua anataka kuturudisha Simba kwenye majonzi wakati tumeshatoka huko. Kama haya nibkweli apigwe pin mapema
 
Kuwa mwehu siyo tusi ni sifa inayoendana na uhalisia wako. Kwa msaada zaidi fika ofisi za TUKI, TATAKI au BAKITA.
Basi sifa iyo unayo wewe kwanza kwakuwa unachokielezea akina mantiki Wala ushahidi umeamua kukaa na kuropoka tu kishabiki na kimihemko kuleta uchochezi wa kipuuzi!
 
Basi sifa iyo unayo wewe kwanza kwakuwa unachokielezea akina mantiki Wala ushahidi umeamua kukaa na kuropoka tu kishabiki na kimihemko kuleta uchochezi wa kipuuzi!
Umeumia zaidi ya mashabiki wa Simba, hiyo inafikirisha sana. Nadhani tumalizane ili wasio wehu nao watoe maoni yao. Nashukuru kwa mchango wako.
 
Nakumbuka mwanzoni mwa msimu huu nilipongeza usajili mzuri waliofanya Simba ila nikatoa angalizo moja kuwa wachezaji wa Simba wapigwe marufuku kuzoeana na wachezaji wa Yanga nje ya uwanja.

Naelewa hawa wachezaji wana maisha nje ya uwanja na naelewa pia wengine wana historia zinazoingiliana kwa hiyo mahusiano nje ya uwanja hayaepukiki, ila ni vizuri tukajua uhalisia wa mpira wetu na tuambiane ukweli.

Nakumbuka kushangaa Aubin Kramo kuendeleza ukaribu na kina Yao na Pacome kiasi kwamba alikuwa anaenda hadi airport kumpokea Pacome. Mwisho wa siku wote tunajua story yake.

Huyu Ahoua naye siku zake pale Simba zinahesabika. Nasikia naye anaendeleza ukaribu na wachezaji hao hao wa Yanga. Nadhani viongozi wa Simba hawakuona haja ya kumpa mwongozo ila athari zake tunaziona sasa. Kocha Fadlu naye akiendeleza kumkumbatia ataondoka yeye kwanza halafu huyo Ahoua atamfuata.

Ifike wakati tuambiane ukweli wanasimba. Kuwa na mchezaji kama huyu uwanjani ni kujikaba wenyewe. Ni kuwapa pressure mabeki wako kwa dakika 90 maana mnakuwa siyo tishio kule mbele. Mwisho wa siku kina Ateba wanaonekana butu kumbe hawalishwi nafasi zozote za maana.

NYONGEZA: Pamoja na kwamba tunasema kocha asiingiliwe ila naye ni binadamu. Anaweza kuleta chuki binafsi katika kazi ikamfanya aharibu timu kwa kuwapiga pini wachezaji au kuwabeba wasiostahili. Yuko wapi Karabaka mchezaji aliyethibitisha ana bahati ya kufunga? Mbona Awesu hapangwi katika mechi anazoonekana kabisa anaweza kusaidia?
Yaani Mimi ningelikuwa na uwezo wa kufanya maamuzi, watu kama ninyi ningeliwapa kazi ya kutekeleza hayo mnayoshauri halafu mkishindwa NAWATANDIKA BAKORA katikati ya Uwanja wa Mkapa huku wazazi wako, mkeo,watoto wako, wakwilima wako, marafiki zako na majirani zako wakiwa wanashuhudia kama wageni rasmi! KUMBAVU!!
 
Umeumia zaidi ya mashabiki wa Simba, hiyo inafikirisha sana. Nadhani tumalizane ili wasio wehu nao watoe maoni yao. Nashukuru kwa mchango wako.
Mimi nimezungumzia upande wa wachezaji wa yanga uliowatuhumu kutokana garasa lenu kutokuwa na ubora,,mambo ya Simba yananihusu nini? Kusajili garasa msajili wenyewe alafu lawama muwatupie wengine mmelogwa au?
 
Mimi nimezungumzia upande wa wachezaji wa yanga uliowatuhumu kutokana garasa lenu kutokuwa na ubora,,mambo ya Simba yananihusu nini? Kusajili garasa msajili wenyewe alafu lawama muwatupie wengine mmelogwa au?
Kwani huwa unakuwepo? maana unahasira isivyo kifani... Mbona mlimtuhumu mobeto kuwaharibia Zizi....kwa sasa kawa garasa kuliko joker....hahahaaaa
 
Wamejizeekea na kipigo umepigwa cha mbwa Koko mara 4 mfululizo,,utasema unayo timu wewe? Tokea muanze kusajili mmefanikiwa kwa wachezaji wangapi tuanzie hapo? Usajili Bora unaendana na mafanikio uwanjani sasa wewe misimu 3 yote unaishia patupu,,unaambulia nafasi ya 3 kucheza kikombe cha rede,,unaenda kusajili unaleta kina mutale na ahou eti ni vijana wa kusikilizia kama unga wa ngano,,ata kwa yanga hii iliyopunguza makali nitajie ni wachezaji wangapi wa Simba wanaingia kikosi cha kwanza cha yanga?
Hamna cha kututambia nyie walamba makombo wa Simba...kutokupata kombe au kuangukia kwny kombe la shirikisho ni mchezo tuu..kupata kwenu ubingwa kuna sbb nyingi ikiwemo kununua mechi..kudhamini vilabu lukuki ili mjipatie points..kujidunga misindano ili kuongeza nguvu na kwa ss majibu tumeyapata baada ya kushtukiwa mmeligea kama milenda...halafu unajitapa na nini sasa miaka 4 ilopita tulichukua makombe na kushiriki club bingwa huku nyie mkiyasikia kwny bomba kuishia kwny preliminary kwa miaka 19 mmedoda..nyie mmeanza kujulikana kwny ramani ya africa kupitia hilo kombe la loser...mmelitolea mijasho debe...kuhusu kikosi cha kwanza waulize hao viongozi wako wanasubiria Simba wawateme muwachukue...
Kuhusu kutufunga sisi ni uchawi hakuna kingine mmekua mkipita milango isiyo rasmi kisa kucheza na sisi..
Mmeona majibu yenu mlipobamizwa na Azam...Tabora...n.k kwa sbb huwa hamuwagwai kama mnavyowagwaya simba mpka mnatafuta mbinu mbadala...
 
Hamna cha kututambia nyie walamba makombo wa Simba...kutokupata kombe au kuangukia kwny kombe la shirikisho ni mchezo tuu..kupata kwenu ubingwa kuna sbb nyingi ikiwemo kununua mechi..kudhamini vilabu lukuki ili mjipatie points..kujidunga misindano ili kuongeza nguvu na kwa ss majibu tumeyapata baada ya kushtukiwa mmeligea kama milenda...halafu unajitapa na nini sasa miaka 4 ilopita tulichukua makombe na kushiriki club bingwa huku nyie mkiyasikia kwny bomba kuishia kwny preliminary kwa miaka 19 mmedoda..nyie mmeanza kujulikana kwny ramani ya africa kupitia hilo kombe la loser...mmelitolea mijasho debe...kuhusu kikosi cha kwanza waulize hao viongozi wako wanasubiria Simba wawateme muwachukue...
Kuhusu kutufunga sisi ni uchawi hakuna kingine mmekua mkipita milango isiyo rasmi kisa kucheza na sisi..
Mmeona majibu yenu mlipobamizwa na Azam...Tabora...n.k kwa sbb huwa hamuwagwai kama mnavyowagwaya simba mpka mnatafuta mbinu mbadala...
Nimekudharau kwa hoja zako mfu,,kwaiyo uwa mnafungwa na uchawi sio ubora? Kama uwa mnanunuliwa ili kuuza mechi basi inaonyesha ni kwa kiasi Gani amna viongozi Wala timu!! Kama yanga anawanunua kuanzia mhindi wenu mpaka mashabiki iyo ni hatari,,na wamewapiga mechi 4 mfululizo bado mmerizika tu kuendelea kuuza mechi zenu iyo si ni hatari!!
Kombe la looser ulishindwa ata kuvuka robo fainali ukaishia kuchoma moto uwanja wa watu,,Yani unapeleka ushirikina mpaka kwenye nchi za watu na bado ukatwangwa na kutupwa nje ya michuano,,kama unao ubavu na unaiamini timu yako fika fainali tuone waliyofika wenzako!
 
Class ya wachezaji wa yanga uwezi kulinganisha na wachezaji wa Simba ata siku Moja,,kushuka kwa viwango vyao akuondoi class waliyonayo ulijue hilo,,nitajie wachezaji wenu ata watano Wenye class kama wachezaji wa yanga!
Timu yenu ingekuwa na class ya juu mngehangaika na rejects wa Simba na Singida?nyie ndio mlisema hamhitaji Kagoma sasa hivi mnahangaika kuwachukua Kevin Nashon na Israel Mwenda kwa mkopo ambao hawana namba Singida
 
Back
Top Bottom