Mchezo mchafu unaofanywa na benki kuwapora wateja pesa zao

qhere is rhe branch meneja office... i want to see the camera room alsoo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sipatii picha ulivokua unabwatuka
 
Kwanini watu hawaweki hela majumbani ? Huku naona ndiyo bora zaidi,kama ukiwa unachelea kupata ukungu,unakuwa unatoa unazungusha unarudisha mpya hivyo hivyo.

Kuna watu wanatunza hela zao majumbani mwao.
 
Kwanini watu hawaweki hela majumbani ? Huku naona ndiyo bora zaidi,kama ukiwa unachelea kupata ukungu,unakuwa unatoa unazungusha unarudisha mpya hivyo hivyo.

Kuna watu wanatunza hela zao majumbani mwao.
wanahofia usalama
 
Acha kabisa adi za marehemu wanapiga aisee
 
Kwanza hapo ungeweza kupiga hela ndefu sana pale alipofoji sign yako ni kosa kubwa sana kisheria,upigaji bank upo sana
 
Wewe utakuwa mmoja wapo wa wakata vipanga wa hela za watu maana si kwa utetezi huu

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kufwatilia Kuna siku nilibank 600,000 jamaa akaweka 60,000 akala 540,000
Na sikuwahi kuweka pesa chini ya laki ,manger akaniomba radhi Ila yula mtumishi alihamishwa pale dirishani
Mie pia nahisi niliwahi kupigwa hapo bank! Maana kuna kipindi niliweka mahali mzigo nikawa na draw bila kufuatilia ila nikashangaa ile hela imeisha kwa muda mfupi sana! Nilikuwa natolea hela dirishani sababu kadi ilikuwa ime expire
 
Wanakula wote wampe adhabu ya nini! Juzi nimeenda kununua tu dawa pharmacy kubwa kabisa nikaambiwa bei kabisa naenda kulipia kwa cashier eti hataki kurudisha change, namuuliza change yangu eti kwani umeambiwa sh ngapi! Ndiyo kakanirudishia halafu ni kamdada, wanawake siku hizi nao wamekuwa majizi sana.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Hawa NMB nikipata muda nitaenda na slip zangu tupige hesabu polepole bila kupigizana kelele. pesa niliyoweka na kutoa haziendani kuna gap la hamsini na kitu

Sasa nimeshapata mwangaza nilijua nimejichanganya kumbe mmenichanganya sasa mtajua hamjui
Namimi pia ilikuwa ni NMB hao hao! Yani nimewekea hela nimeenda ku draw mara 3 naambiwa eti salio lako halitoshi! Dah kmmmk nilisikitika ila nikapotezea ila kumbe kweli kuna huu wizi! Sasa subiria tuone awamu ile waliniosha this time watajua hawajui!
 
qhere is rhe branch meneja office... i want to see the camera room alsoo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sipatii picha ulivokua unabwatuka
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan nilivurugwaaa. Yule teller akanambia eti mbona unang'ang'ania hiyo camera room. Mimi nilitaka tuu ajue siyo boya na basi. Nilitaka ajue najua engilishi hata cha kuombea maji na najuaga kuna kamera huko benki[emoji23][emoji23] kiujumla hiyo siku nilikua mchafu aisee... maybe alijua nimetoka uza mchicha ndo makusanyo. Halafu usisahau nikagonga kwenye meza kama wanavyofanyaga kwenye movie[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi nafasi huwa zinakuwa outsourced...

Mathalani mlinzi anakuwa Suma au Knight Support na wafagiaji wanakuwa makampuni ya usafi n.k
huyo kusema ni mfanyakazi wa UN haimaanishi alikuwa mwajiriwa hata hao OUTSOURCED hao hujiita waajiriwa wa UN coz ni kituo cha kazi tu
 
Af mtoto wa baba una mambo wewe itabidi nije change room tuongee vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…