Tumia sim banking huibiwi ng'ooNmb hawajawahi kuniibia nikagudua,lakini kwa huu uzi kuanzia leo naongeza umakini
Eti makosa ya kibinadamu...kaa kwa kutulia bro shauri yako[emoji848]Mimi walitaka kunipiga kilo 5. Nilipowaijia juu wakairudisha fasta. sijui ni makosa ya kibinadamu au wanadhamiria?
Ile status, kuvaa smart, AC...ndo vinawafanya waibe mpaka aibuBas ukiwaona utadhani wanahelaa.. na wanakuaga na vidharau dharau vyao vya ajabu,
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nilivurugwaaa. Yule teller akanambia eti mbona unang'ang'ania hiyo camera room. Mimi nilitaka tuu ajue siyo boya na basi. Nilitaka ajue najua engilishi hata cha kuombea maji na najuaga kuna kamera huko benki[emoji23][emoji23] kiujumla hiyo siku nilikua mchafu aisee... maybe alijua nimetoka uza mchicha ndo makusanyo. Halafu usisahau nikagonga kwenye meza kama wanavyofanyaga kwenye movie[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna changamoto za ndani ya benki ambazo wateja wengi hawazijui(Kiuhalisia hawapaswi kujua sababu haiwahusu).Mkuu nashukuru kwa kunielewa,mimi nilibahatika kufanya kazi benki kidogo ila sikukaa front dest/kirishani najua sana operations za benki behind zinafanyikaje..Kable ya hapo nikiwa chuoni/mtaani niliamini kabisa benki wanaiba pesa kama watu wengi wanavyoamini hapa,ila baada ya kupata uzoefu kidogo nimegundua hakuna hata senti ya mteja ianweza potea benki kwa makusudi,labda iwe ni fraud na ikiwa hivyo mteja hatoathirika.
Kuna changamoto za ndani ya benki ambazo wateja wengi hawazijui(Kiuhalisia hawapaswi kujua sababu haiwahusu),lakini kusema tu generally kwamba benki ni wezi wanaiba sio sawa hata kidogo,.
Bank Teller hawezi kuiba pesa kiasi ambacho anajua kabisa mshahara wake hauwezi kulipa iwapo mteja akija kudai,ndio maana unakuta wale sio waaminifu wanaiba elfu 10,20,30 au akizidi sana 50.Teller hawezi iba eti laki1,2,2,5 au 1M.Sabau anajua hiyo amount ni kubwa ni lazima ajulikane na pia lazima mteja aje kudai,na itapelekea hadi yeye kufukuzwa kazi.Kinachotokea ni makosa ya kibinaadamu tu,ila mteja sababu hajui anasema benki ni wezi (Ofcouse ni haki yao kulalamika sababu poesa ni zao).
Pia wanashundwa kujua kwamba hayo makosa yanatokea kote kote,..Kuna mteja alishwahi zidishiwa pesa akawekewa 5M badala ya laki 5,sababu alipata msg alienda branch nyingine faster akatoa 3M,yule teller alifukuzwa kazi kwa uzembe,haya makosa yanatokea pande zote ila wateja sababu ni wengi basi wakilalamika inaonekana benki ni wezi kumbe ni makosa ya kibinadamu tu.
Mmmmh[emoji848][emoji848]Wapi nimekataa kwamba hayo wanayosema HAYAJAWATOKEA?.Soma kwa Logic mkuu,
Ninachosema nimkwamba,yanayotokea ni makosa ya wafanyakazi wa bank na wala sio sera za benki kuwaibia wateja,hii ndio point yangu,Na ndio maana ukifuatilia kwa vielelezo wanakupa hela yako sababu waliihifadhi wakijua kabisa kuna siku utakuja,.Pili,kama afisa wa benki amekuibia kwa makusudi na ikajulikana hivyo wakati unafuatilia,lazima achukuliwe hatua maana ukienda kureport Benki Kuu ni dhahama kwa benki.
Ile Issue ya mwaka jana,nafkiri ni benki fulani branch ya arusha.Kuna vitu vingi sana vilitokea na huvijui ndio maana benki ilikubali hata kwenda mahakamani,yule mteja aliweka fixed deposit benki,then baadae kwa kushirikiana na afisa wa benki, wakaitoa ile pesa ila kwenye record za benki yule afisa hakuifuta kwamba imetoka,then baadae akaja tena kudai ile pesa,ndio chanzo cha benki kwenda mahakamani sababu benki wao waliita kama fraud.Na ukiangalia kweli yule mtaje alikuwa na slip zote na mkataba wa ile deposit,lakini nyuma ya pazia haikuwa hivyo.
vip.Mmmmh[emoji848][emoji848]
Poavip.
Kwa mfano ukija benki ukashindwa kutoa hela sababu ya system iko down,Hivi hilo tatizo wewe kama mteja linakuhusu?,Wewe kama mteja inachotakiwa ukija bank upate hela zako on time (Pay on demand),full stop,mengine ya ndani its non of your business,hiyo ndio point yangu.Kuna changamoto za ndani ya benki ambazo wateja wengi hawazijui(Kiuhalisia hawapaswi kujua sababu haiwahusu).
kwanini hatupaswi kujua? huoni pia unaweka wasiwasi kwetu?
Hicho usichotaka kijulikane ndo sababu ya watu kulalamika humu.
Bas sawa..
Nakupata vizuri, hakuna benki ina sera hiyo ila tambua wizi upo na wakati mwingine aliyeibiwa hafatilii.Wapi nimekataa kwamba hayo wanayosema HAYAJAWATOKEA?.Soma kwa Logic mkuu,
Ninachosema nimkwamba,yanayotokea ni makosa ya wafanyakazi wa bank na wala sio sera za benki kuwaibia wateja,hii ndio point yangu,Na ndio maana ukifuatilia kwa vielelezo wanakupa hela yako sababu waliihifadhi wakijua kabisa kuna siku utakuja,.Pili,kama afisa wa benki amekuibia kwa makusudi na ikajulikana hivyo wakati unafuatilia,lazima achukuliwe hatua maana ukienda kureport Benki Kuu ni dhahama kwa benki.
Ile Issue ya mwaka jana,nafkiri ni benki fulani branch ya arusha.Kuna vitu vingi sana vilitokea na huvijui ndio maana benki ilikubali hata kwenda mahakamani,yule mteja aliweka fixed deposit benki,then baadae kwa kushirikiana na afisa wa benki, wakaitoa ile pesa ila kwenye record za benki yule afisa hakuifuta kwamba imetoka,then baadae akaja tena kudai ile pesa,ndio chanzo cha benki kwenda mahakamani sababu benki wao waliita kama fraud.Na ukiangalia kweli yule mtaje alikuwa na slip zote na mkataba wa ile deposit,lakini nyuma ya pazia haikuwa hivyo.
Ni kweli mkuu,hayo yanatokea kwa tellers ambao sio waaminifu,.Mfano wewe ulipigwa elfu 10 hapo hapo ukiwa unaona,ila ungeweza kuwa na any documentation ambayo unaweza tumia kudai iyo elfu 10,benki ingeku refund probably yule dada angetoa yake akupe,..Nakupata vizuri, hakuna benki ina sera hiyo ila tambua wizi upo na wakati mwingine aliyeibiwa hafatilii.
Ila nimegundua akina dada au akina mama ndiyo wanaongoza kwenye hii michezo michafu. Sijui ni kwanini, lakini ukweli ndiyo huo.
Mfano. Nilitoka bank A na fedha nikaenda kudeposit CRDB pale Holland house. Binafsi nilihesabu fedha nikiwa bank A lakini pia walihesabu kwenye mashine. Yule mdada
wa CRDB kwa jina la E****r aliniambia elfu 10 imepelea. Nilitoa hiyo elfu 10 kwa shingo upande lakini nilijua nimepigwa kwa sababu sikuwa maakini alipokuwa anahesabu kwenye mashine
UN huwa kuna grades mbili za mishahara-local na international. Fuatilia hata matngazo ya kazi ya UNHCR na WHO Tanzania.Mfanyakazi wa UN na analipwa mil 2?
Ina maana mishahara ya UN sivyo ambavyo watu tunafikiria ni minono kupindukia
Inaonesha jinsi wewe ni mtu wa aina gani.Mpesa ndo iko salama kuliko hata benk. Mm sina bank a/c kwa sasa naona ni ujinga.hela ipo benk haiongezeki imelala tu? Hapana
Uuwuuii. Na mimi ni hapohapo Holland. Sema yule dada baada ya kunipa slip kamili baada ya mzozo sikuhangaika nae tena. Sijui kwanini sikumshika jina nimsubirie sehemu[emoji23][emoji23][emoji23]Nakupata vizuri, hakuna benki ina sera hiyo ila tambua wizi upo na wakati mwingine aliyeibiwa hafatilii.
Ila nimegundua akina dada au akina mama ndiyo wanaongoza kwenye hii michezo michafu. Sijui ni kwanini, lakini ukweli ndiyo huo.
Mfano. Nilitoka bank A na fedha nikaenda kudeposit CRDB pale Holland house. Binafsi nilihesabu fedha nikiwa bank A lakini pia walihesabu kwenye mashine. Yule mdada
wa CRDB kwa jina la E****r aliniambia elfu 10 imepelea. Nilitoa hiyo elfu 10 kwa shingo upande lakini nilijua nimepigwa kwa sababu sikuwa maakini alipokuwa anahesabu kwenye mashine
Sitapenda kumtaja huyu dada kwakua amefariki nadhan mwaka jana mwishoni ama mwaka huu. Ni maarufu na nduguye ni amewahi kuwa waziri. Alikua staff qa barclays ya enzi hizo.Kuna jamaa aliwahi kufanya kazi bank na alisema walikuwa wanaimba tuu....wanaangalia zile acc zilizokaa mida mrefu bila kuguswa... wanaamini huyu amekufa na hakuna wa kufuatilia.....wanapiga.
ila alikuja kuacha kwa madai yake inawezekana alifukuzwa
Hapa nimejifunza sana bora uweke hela kwenye vibubu. Inaelekea marehemu wanapigwa sana na Mabenki pale ndugu wanapofatilia pesa za mtu wao.Mimi mzee wangu alifariki 2018 na alikuwa analipwa pension PSSF baada ya kustaafu na alikuwa mkulima na walilipwa fedha kwa ajili ya Kilimo, aliuza mazao yake na kuweka pesa benki kwa kumshirikisha Mama ila Aliyekuwa anasimamia Mirathi kaenda benki na kukuta ana laki nane tu. Dunia inasikitisha sana.