Tajiri mkopeshaji
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 613
- 1,445
Sio akili za kitumwa... mchina hyo technology bado hajapewana wamarekani...Anasubir vip na anayo kibao mkuu sio kila kitu ni wazungu acha akili za kitumwa
Aisee nimeshangaa kuona TRA hata kwa gari za umeme kodi bado iko juu balaa! Nimejaribu kuangalia Nissan Leaf (electric) ya mwaka 2012 gari inauzwa 4.5m ila kodi yake ni 9m!Sio hawajaamua , wanatengeneza
Mwaka 2022 China ndio nchi iliyoongoza kuuza Magari duniani ikizipiku Germany na Japan
Na hiyo imetokana na kutengeneza Kwa wingi Magari ya umeme
Huku kwetu hayapo sababu ya bei,Sisi ni second hand vehicles ambazo TRA wanazipiga kodi Zaidi ya watengenezaji
Hata huelewi..wamiliki wa hvyo viwanda ni wamarekani waliowekeza uko china sabb ya malighafi na cheap labour..ila technology ya hayo magari ni wamarekani wanayo...siku wakiamua funga hivyo viwanda uko china basi china itabaki zalisha pampasi na soksinchi inayoongoza kwa uzalishaji wa electrical car's ni China ,Source from GoogleView attachment 2740562
Yote but mchina si lolote mbele ya mzunguVijana wa hovyo mpo wengi sana
Waboreshe na huo muonekano sasa mbona kigari chenyewe kina sura mbaya hivyo..?😀China inaongoza Kwa kutengeneza gari za umeme duniani na kampuni ya BYD ya china imeipita Tesla Kwa kuuza gari za umeme.
BYD ana Farida ya kuwa mtengenezaji WA betri vilevile, mwaka huu china pia imeipita Japan Kwa uzalishaji na uuzaji WA Nagari sababu kubwa ni kukuwa Kwa uhitaji WA gari za umeme.
Mbali na BYD kuna kampuni nyingi za gari za umeme za bei nafuu zipo nyingi mpaka Alibaba zimejaa Kule.
Kuna hii gari inaitwa Wuling Hongguang Mini EV
Inauzwa USD 4500 sawa na milioni 11.2
Alibaba kuna mpaka vya Dola 800 na zingine za Dola 3500
Cheap Electric Car China Trade,Buy China Direct From Cheap Electric Car Factories at Alibaba.com
Masudi kipanya alisema gari yake ya umeme ikiingia sokoni rasmi itauzwa Kwa milioni Tisa. Tuombe afanikiwe.
China hajazubaa na analichangamkia soko la ev Kwa msaada pia WA ruzuku ya serikali
Kuna Yule engineer anaezalisha petrol Kwa kutumia plastics toka Udom nadhaniKwann kama taifa tusinifunze kuzalisha aina mbadala wa mafuta ya kuendeshea gari pasipo kutegemea Muarabu hali malighafi tunazo tele zinaoza tu
Nawashauri wakombozi wetu Wachina waingie chimbo haraka sana wazalishe magari madogo mazuri yanayotumia umeme na watapiga hela ndefu maana yatanunuliwa kama njugu!
Wazo Sana hiliNimeangalia post nikadhani ya zamani sana
Mkuu China anafyatua magari kama kichaa na 🇬🇧 wameweka target mwaka 2035 magari yote yawe ya umeme na wanamtegemea sana mchina ili awatengenezee mpaka batteries
Mimi nafikiri tungejaribu hata kutuma vijana wakasomee namna ya kutengeneza batteries za magari ili tuwe na kiwanda kikubwa sana nchini
Tutawategemea mpaka lini?
Taiwan wana pikipiki zaidi ya milioni 14 na wameanza kuzibadili zote ziwe za umeme
Unanunua pikipiki unazunguka charge ikiisha unapita sehemu unabadilisha battery sio una charge bali unabadili tu
Hii nataka kuileta tz hata pikipiki 20 tu za kuanzia na battery zinakuwa kituo changu
Mnakwama wapi
Bila used tutaendelea kuona EV bongo hamna au chache sana🤣🤣🤣 Zero km sio mila na desturi zetuAu labda tusubirie mpaka yaanze kuuzwa used ndio bei zitakua rafiki
Hapana mkuu bei zake zimeshiba maana product za BYD si za soko la kariakooVipi bei zao no rafiki?
Muda tulio nao ni kusifia serikali, na kuiombea nchiNimeangalia post nikadhani ya zamani sana
Mkuu China anafyatua magari kama kichaa na 🇬🇧 wameweka target mwaka 2035 magari yote yawe ya umeme na wanamtegemea sana mchina ili awatengenezee mpaka batteries
Mimi nafikiri tungejaribu hata kutuma vijana wakasomee namna ya kutengeneza batteries za magari ili tuwe na kiwanda kikubwa sana nchini
Tutawategemea mpaka lini?
Taiwan wana pikipiki zaidi ya milioni 14 na wameanza kuzibadili zote ziwe za umeme
Unanunua pikipiki unazunguka charge ikiisha unapita sehemu unabadilisha battery sio una charge bali unabadili tu
Hii nataka kuileta tz hata pikipiki 20 tu za kuanzia na battery zinakuwa kituo changu
Mnakwama wapi
Tajiri usiyekuwa na akili.Anasubiri apewe technology na wazungu.. wamarekani Kwa sasa hawatoi technology yao ovyo.. mchina Hana anachojua Zaid ya kukopy
Bado unaishi zama za maweS
Sio akili za kitumwa... mchina hyo technology bado hajapewana wamarekani...
Kiwanda kilichopo shangai Cha magari hayo ya umeme ni Cha Elon musk's mmarekan..na alitishia kukiamishia amerika wachina wakaanza lialia watakosa ajira... serikali ya mchina ikampigia magoti asikiamishe...
Mchina Hana hyo technology Hadi wamarekani waruhusu awe nayo..yy kama yy hawez
Dogo unaandika ujinga, hivi unafahamu hata Tesla inapatia wapi EV batteries ?Hata
Hata huelewi..wamiliki wa hvyo viwanda ni wamarekani waliowekeza uko china sabb ya malighafi na cheap labour..ila technology ya hayo magari ni wamarekani wanayo...siku wakiamua funga hivyo viwanda uko china basi china itabaki zalisha pampasi na soksi
Wewe mbongo umefanya nini dunia ikakuelewa ukiachana na hao macho madogo ?Utasema
Yote but mchina si lolote mbele ya mzungu
Yako wapi mkuu yalitakiwa yafurike sokoni kwa bei chee kama zilivyo bidhaa nyingine kutoka pande hizo