Mchina kazubaa wapi kwanini hatengenezi magari ya umeme?

Mchina kazubaa wapi kwanini hatengenezi magari ya umeme?

S
Anasubir vip na anayo kibao mkuu sio kila kitu ni wazungu acha akili za kitumwa
Sio akili za kitumwa... mchina hyo technology bado hajapewana wamarekani...

Kiwanda kilichopo shangai Cha magari hayo ya umeme ni Cha Elon musk's mmarekan..na alitishia kukiamishia amerika wachina wakaanza lialia watakosa ajira... serikali ya mchina ikampigia magoti asikiamishe...

Mchina Hana hyo technology Hadi wamarekani waruhusu awe nayo..yy kama yy hawez
 
Sio hawajaamua , wanatengeneza
Mwaka 2022 China ndio nchi iliyoongoza kuuza Magari duniani ikizipiku Germany na Japan
Na hiyo imetokana na kutengeneza Kwa wingi Magari ya umeme
Huku kwetu hayapo sababu ya bei,Sisi ni second hand vehicles ambazo TRA wanazipiga kodi Zaidi ya watengenezaji
Aisee nimeshangaa kuona TRA hata kwa gari za umeme kodi bado iko juu balaa! Nimejaribu kuangalia Nissan Leaf (electric) ya mwaka 2012 gari inauzwa 4.5m ila kodi yake ni 9m!
 
Hata
nchi inayoongoza kwa uzalishaji wa electrical car's ni China ,Source from GoogleView attachment 2740562
Hata huelewi..wamiliki wa hvyo viwanda ni wamarekani waliowekeza uko china sabb ya malighafi na cheap labour..ila technology ya hayo magari ni wamarekani wanayo...siku wakiamua funga hivyo viwanda uko china basi china itabaki zalisha pampasi na soksi
 
China inaongoza Kwa kutengeneza gari za umeme duniani na kampuni ya BYD ya china imeipita Tesla Kwa kuuza gari za umeme.

BYD ana Farida ya kuwa mtengenezaji WA betri vilevile, mwaka huu china pia imeipita Japan Kwa uzalishaji na uuzaji WA Nagari sababu kubwa ni kukuwa Kwa uhitaji WA gari za umeme.

Mbali na BYD kuna kampuni nyingi za gari za umeme za bei nafuu zipo nyingi mpaka Alibaba zimejaa Kule.

Kuna hii gari inaitwa Wuling Hongguang Mini EV
Inauzwa USD 4500 sawa na milioni 11.2
1280px-%E4%BA%94%E8%8F%B1%E5%AE%8F%E5%85%89mini_EV_9735_1.jpg


Alibaba kuna mpaka vya Dola 800 na zingine za Dola 3500
Cheap Electric Car China Trade,Buy China Direct From Cheap Electric Car Factories at Alibaba.com

Masudi kipanya alisema gari yake ya umeme ikiingia sokoni rasmi itauzwa Kwa milioni Tisa. Tuombe afanikiwe.

China hajazubaa na analichangamkia soko la ev Kwa msaada pia WA ruzuku ya serikali
Waboreshe na huo muonekano sasa mbona kigari chenyewe kina sura mbaya hivyo..?😀
 
Kwann kama taifa tusinifunze kuzalisha aina mbadala wa mafuta ya kuendeshea gari pasipo kutegemea Muarabu hali malighafi tunazo tele zinaoza tu
Kuna Yule engineer anaezalisha petrol Kwa kutumia plastics toka Udom nadhani
Angepewa sapoti aweze kuzalisha Kwa kiwango kikubwa ,ila sidhani kama itawezekana Kwa maana namna watu weusi tulivyo wa hovyo
 
Nimeangalia post nikadhani ya zamani sana
Mkuu China anafyatua magari kama kichaa na 🇬🇧 wameweka target mwaka 2035 magari yote yawe ya umeme na wanamtegemea sana mchina ili awatengenezee mpaka batteries

Mimi nafikiri tungejaribu hata kutuma vijana wakasomee namna ya kutengeneza batteries za magari ili tuwe na kiwanda kikubwa sana nchini

Tutawategemea mpaka lini?

Taiwan wana pikipiki zaidi ya milioni 14 na wameanza kuzibadili zote ziwe za umeme
Unanunua pikipiki unazunguka charge ikiisha unapita sehemu unabadilisha battery sio una charge bali unabadili tu

Hii nataka kuileta tz hata pikipiki 20 tu za kuanzia na battery zinakuwa kituo changu
Mnakwama wapi
 
Nimeangalia post nikadhani ya zamani sana
Mkuu China anafyatua magari kama kichaa na 🇬🇧 wameweka target mwaka 2035 magari yote yawe ya umeme na wanamtegemea sana mchina ili awatengenezee mpaka batteries

Mimi nafikiri tungejaribu hata kutuma vijana wakasomee namna ya kutengeneza batteries za magari ili tuwe na kiwanda kikubwa sana nchini

Tutawategemea mpaka lini?

Taiwan wana pikipiki zaidi ya milioni 14 na wameanza kuzibadili zote ziwe za umeme
Unanunua pikipiki unazunguka charge ikiisha unapita sehemu unabadilisha battery sio una charge bali unabadili tu

Hii nataka kuileta tz hata pikipiki 20 tu za kuanzia na battery zinakuwa kituo changu
Mnakwama wapi
Wazo Sana hili
Lakini ngozi iliyolaaniwa ipo ipo tu ,inafikiria ukwapuaji tu
 
Nimeangalia post nikadhani ya zamani sana
Mkuu China anafyatua magari kama kichaa na 🇬🇧 wameweka target mwaka 2035 magari yote yawe ya umeme na wanamtegemea sana mchina ili awatengenezee mpaka batteries

Mimi nafikiri tungejaribu hata kutuma vijana wakasomee namna ya kutengeneza batteries za magari ili tuwe na kiwanda kikubwa sana nchini

Tutawategemea mpaka lini?

Taiwan wana pikipiki zaidi ya milioni 14 na wameanza kuzibadili zote ziwe za umeme
Unanunua pikipiki unazunguka charge ikiisha unapita sehemu unabadilisha battery sio una charge bali unabadili tu

Hii nataka kuileta tz hata pikipiki 20 tu za kuanzia na battery zinakuwa kituo changu
Mnakwama wapi
Muda tulio nao ni kusifia serikali, na kuiombea nchi
 
Anasubiri apewe technology na wazungu.. wamarekani Kwa sasa hawatoi technology yao ovyo.. mchina Hana anachojua Zaid ya kukopy
Tajiri usiyekuwa na akili.

Hiyo 5g wa china ndo wa kwanza kumove kweny simu chini ya Huawei ndo maana walipata sanction kwa sababu ya kuharibu mazingira na uhai wa viumbe kutokana na teknolojia ya 5g.

Wachina wapo mbele muda walishatengeneza hayo magari ,huku bongo yataletwa less quality tena mpaka soko lichanganye huko 2040.
 
BYD
shutterstock_2216581469-16x9-960x540.jpg

Nio
2023060609394399.jpg

Xpeng
8a961ded94e671c986c28ff67ac4bf542592f20f.png

Li auto
af3c930ef955c08b39ddee2f4b341905ebc1c19d.jpg

Hongqi
b4589541305015ba3a333d3843d40538966e43f9.jpg

SAIC motor
Luminar_SAIC_R-TECH.jpg

Yutong
Yutong-E10-electricBus.jpg

FAW
China-Electric-Truck-FAW-EV-Van-Truck.jpg


Yapo makampuni mengi sana ya EV China zaidi ya 20 huko mengine yana zaliwa mengine yana kufa kutokana na ushindani mkubwa uliopo nchini kwao hayo ni machache tu nimekuwekea.

Pesa yako tu mwanangu unachukua mzigo wowote wa kichina wa EV unaotaka
 
S

Sio akili za kitumwa... mchina hyo technology bado hajapewana wamarekani...

Kiwanda kilichopo shangai Cha magari hayo ya umeme ni Cha Elon musk's mmarekan..na alitishia kukiamishia amerika wachina wakaanza lialia watakosa ajira... serikali ya mchina ikampigia magoti asikiamishe...

Mchina Hana hyo technology Hadi wamarekani waruhusu awe nayo..yy kama yy hawez
Bado unaishi zama za mawe
 
Hata

Hata huelewi..wamiliki wa hvyo viwanda ni wamarekani waliowekeza uko china sabb ya malighafi na cheap labour..ila technology ya hayo magari ni wamarekani wanayo...siku wakiamua funga hivyo viwanda uko china basi china itabaki zalisha pampasi na soksi
Dogo unaandika ujinga, hivi unafahamu hata Tesla inapatia wapi EV batteries ?
 
Back
Top Bottom