Mchumba wangu wa miaka 5 anafunga ndoa kesho inaniuma sana, nifanyaje?

Mchumba wangu wa miaka 5 anafunga ndoa kesho inaniuma sana, nifanyaje?

Jitahidi uachane naye .
Mwenzio niliachwa na wife na tumezaa ila akaomba talaka na akadhibitisha watoto si wangu alafu nikapewa kadi ya harusi siko alipoolewa na bwana mpya ,nilihudhuria nilikuwa kila muda naenda chooni kufuta machozi na kurudi ukumbini ila sikufanya chochote zaidi nakumbuka nililewa Sana mpaka wakanibeba kunipeleka kwangu .

Alafu asubuhi nilikaa kikao na halmashauri ya kichwa changu ili tujadili kilichojiri na kipi kinafanyika ,halmashauri na kichwa kwa pamoja turiridhia kuacha yaliyopita yapite ,Sasa ni miaka mingi nipo nadunda na mzima wa afya kaka .

Jifunze kukubali yapite ndugu ,uhai na afya yako ni Bora kuliko mapenzi ,dah umeniumiza Mara ya pili nimeandika nalia tena 😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole sana kaka, Mungu akupe nguvu
 
Jitahidi uachane naye .
Mwenzio niliachwa na wife na tumezaa ila akaomba talaka na akadhibitisha watoto si wangu alafu nikapewa kadi ya harusi siko alipoolewa na bwana mpya ,nilihudhuria nilikuwa kila muda naenda chooni kufuta machozi na kurudi ukumbini ila sikufanya chochote zaidi nakumbuka nililewa Sana mpaka wakanibeba kunipeleka kwangu .

Alafu asubuhi nilikaa kikao na halmashauri ya kichwa changu ili tujadili kilichojiri na kipi kinafanyika ,halmashauri na kichwa kwa pamoja turiridhia kuacha yaliyopita yapite ,Sasa ni miaka mingi nipo nadunda na mzima wa afya kaka .

Jifunze kukubali yapite ndugu ,uhai na afya yako ni Bora kuliko mapenzi ,dah umeniumiza Mara ya pili nimeandika nalia tena 😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole ndugu
 
Mapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.

Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.

Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.

Mwanajf, kama wewe ni Muislam, basi nakunasihi, uachane na unachotaka kukifanya. Ulikuwa katika zinaa, na hilo lililokutokea lilikuwa ni matokeo ya yale uliyoyachuma. Ni adhabu kwa kile ulichokifanya, huenda likawa kheri kwako hilo lau kama utatambua hilo na kuzinduka na kutubia.

Kama wewe ni Muislam, nakuusia kutubia na kujinyenyekeza kwa Allah na kudhamiria kutorudia maasi.

Unachotaka kukifanya ni kibaya na hutopata nafuu. Yaani unafanya dhambi, unapata mtihani, badala ya mtihani kukufanya uwe humble kwa ajili ya Allah na kutubia kwake na kurekebisha jambo lako unataka kukaza msuli upambane kwa dhambi zaidi.

Yangu hayo tu.
 
Mapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.

Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.

Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.

If at all this story is kegit.

Ni ujinga kutaka kumharibia mtu harusi yake kwa sababu kakuacha.

Mpaka uachwe ushafanya makosa sehemu, sasa unataka kuongeza kosa la kuharibu harusi ya mtu?

Katika wanawake wote wa dunia hii unemuona huyo tu? Huna uwezo wa kupata mwingine?
 
Jitahidi uachane naye .
Mwenzio niliachwa na wife na tumezaa ila akaomba talaka na akadhibitisha watoto si wangu alafu nikapewa kadi ya harusi siko alipoolewa na bwana mpya ,nilihudhuria nilikuwa kila muda naenda chooni kufuta machozi na kurudi ukumbini ila sikufanya chochote zaidi nakumbuka nililewa Sana mpaka wakanibeba kunipeleka kwangu .

Alafu asubuhi nilikaa kikao na halmashauri ya kichwa changu ili tujadili kilichojiri na kipi kinafanyika ,halmashauri na kichwa kwa pamoja turiridhia kuacha yaliyopita yapite ,Sasa ni miaka mingi nipo nadunda na mzima wa afya kaka .

Jifunze kukubali yapite ndugu ,uhai na afya yako ni Bora kuliko mapenzi ,dah umeniumiza Mara ya pili nimeandika nalia tena 😭😭😭😭😭😭😭😭
Umekosa vyote mke na watoto kwa siku moja.

Sorry but, I you don't mind me asking, unaendeleaje? Umefanya comeback??
 
Umekosa vyote mke na watoto kwa siku moja.

Sorry but, I you don't mind me asking, unaendeleaje? Umefanya comeback??
Niko salama wa afya ,sijafanya come back yoyote ila nimegundua kuwa haitakiwi Mimi nimpende mwanamke wa kuoa ila anipende yeye baada ya kumpata mdada mzuri mmoja wa mji wa mbeya ili nimuoe ,akanipiga kibuti baada ya kumvutia hela afanye biashara ,akaenda kuolewa na mlina asali huko Tabora .
Itoshe kusema nipo kama Jana ,sielewi moja Wala mbili ila kiafya nimejaa tele na Sina mpango wa Mambo hayo kwasasa
 
Jitahidi uachane naye .
Mwenzio niliachwa na wife na tumezaa ila akaomba talaka na akadhibitisha watoto si wangu alafu nikapewa kadi ya harusi siko alipoolewa na bwana mpya ,nilihudhuria nilikuwa kila muda naenda chooni kufuta machozi na kurudi ukumbini ila sikufanya chochote zaidi nakumbuka nililewa Sana mpaka wakanibeba kunipeleka kwangu .

Alafu asubuhi nilikaa kikao na halmashauri ya kichwa changu ili tujadili kilichojiri na kipi kinafanyika ,halmashauri na kichwa kwa pamoja turiridhia kuacha yaliyopita yapite ,Sasa ni miaka mingi nipo nadunda na mzima wa afya kaka .

Jifunze kukubali yapite ndugu ,uhai na afya yako ni Bora kuliko mapenzi ,dah umeniumiza Mara ya pili nimeandika nalia tena 😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole sana, kama hii ni kwel, nisaidie kufahma machache.

Ulikua na umri gani?
Mlikua na ndoa ya miaka mingapi?
Mlikua na watoto wangap?
Watoto walikua na umri gani?

Ahsante.
Pole once again.
 
Niko salama wa afya ,sijafanya come back yoyote ila nimegundua kuwa haitakiwi Mimi nimpende mwanamke wa kuoa ila anipende yeye baada ya kumpata mdada mzuri mmoja wa mji wa mbeya ili nimuoe ,akanipiga kibuti baada ya kumvutia hela afanye biashara ,akaenda kuolewa na mlina asali huko Tabora .
Itoshe kusema nipo kama Jana ,sielewi moja Wala mbili ila kiafya nimejaa tele na Sina mpango wa Mambo hayo kwasasa
Mzee mbona kila mwanamke anakufanyia hivo, au sio fungu lako?

Maumivu back-to-back, aisee una nguvu sana kaka.
 
Mapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.

Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.

Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.
Sasa huoni wewe ndio mwenye matatizo fikiria huyo ni mwanamke amekaa na wewe miaka mitano na inawezekana alishakuambia mfunge ndoa ukawa unapiga kalenda. Akijiangalia anaona anapoteza muda kwa mtu ambae hana hana mpango wa kuoa. Cha kukushauri achana na nia ovu usimharibie sherehe mtoto wa watu
 
Mapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.

Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.

Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.
Unaliwa nyuma?
 
Back
Top Bottom