Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Dah, kwa hiyo nimejipinda kutoa ushauri kumbe ni chai...Story ya kutunga hii mkuu,mtoa mada hana hata kumbukumbu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, kwa hiyo nimejipinda kutoa ushauri kumbe ni chai...Story ya kutunga hii mkuu,mtoa mada hana hata kumbukumbu
Utaishia pabaya mkuuMapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.
Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.
Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.
We phaler kweli rafiki yangu, nyie ndio mnaojitoa uhai kisa mapenzi.Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.
Sasa ulienda yanini harusini?Jitahidi uachane naye .
Mwenzio niliachwa na wife na tumezaa ila akaomba talaka na akadhibitisha watoto si wangu alafu nikapewa kadi ya harusi siko alipoolewa na bwana mpya ,nilihudhuria nilikuwa kila muda naenda chooni kufuta machozi na kurudi ukumbini ila sikufanya chochote zaidi nakumbuka nililewa Sana mpaka wakanibeba kunipeleka kwangu .
Alafu asubuhi nilikaa kikao na halmashauri ya kichwa changu ili tujadili kilichojiri na kipi kinafanyika ,halmashauri na kichwa kwa pamoja turiridhia kuacha yaliyopita yapite ,Sasa ni miaka mingi nipo nadunda na mzima wa afya kaka .
Jifunze kukubali yapite ndugu ,uhai na afya yako ni Bora kuliko mapenzi ,dah umeniumiza Mara ya pili nimeandika nalia tena 😭😭😭😭😭😭😭😭
😂 ubwabwa wanini, ajaze vyuku na ikiwezekana awe na kifungashio kabisa abebe na kubeba wa kula nyumbani.Kabla ya kufanya fujo hakikisha ubwabwa wake umekula hapo ukumbini, jaza sahani....kuku wawili na soda mbili
Nilijipa Imani kuwa hata nikienda sitaumia na nitakaa kikauzu ila mh haikuwezekana nikajikuta yamenishinda .Sasa ulienda yanini harusini?
Kuna watu mnayapenda maumivu yaani unayapalilia kabisa na kuyamwagilia ili yamee uyavune vizuri.
Yanauma kwasababu ulimpenda. Ningekuwa mimi hata nisingeenda, kwanza siku hiyo ningetafuta pisi nipige usiku mzima.Nilijipa Imani kuwa hata nikienda sitaumia na nitakaa kikauzu ila mh haikuwezekana nikajikuta yamenishinda .
Oya mapenzi yanauma mwanangu
Miaka Mitano ya uchumba amefanya chaguo sahihi wewe sio muoajiMapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.
Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.
Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.
Wewe ndio mwenye makosa miaka mitano mtoto wawatu huja muoa na age ina muacha. Kwanini wajuzi wa mambo wasimchukue.Mapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.
Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.
Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.
Acha ujinga dogo eti amelianzisha. Huyo Ni mke wa mtu Sasa.Mapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.
Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.
Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.
Huyo ni wa kumteka tuMapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.
Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.
Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.
Kama kwako mapenzi yanauma kuliko chochote na huyo malaya anatembea na nusu ya uhai wako nakushauri kajiue tu, kengemaji.Mapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.
Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.
Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.