Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Miaka mitano unamchezea mtoto wa watu tu mwenzako anaoa unataka ukalete fujo? Sasa nakuhakikishia utachezea kichapo chakufa mtu na sero utalala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mahusiano sijui yalikua yanahusiana na nini 😹Miaka mitano ni nini mlitaka mgundue?
Hata mtoa mada mwenyewe hajui, sasa wanaojua maana ya mahusiano wamemuonyesha kazi.Hayo mahusiano sijui yalikua yanahusiana na nini 😹
Miaka mi5,hukua muoaji wewe,ukipata mwanamke kama umemuelewa na mmependana kweli usimalize mwaka oa,wanawake wanakimbizana na menopauseMapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.
Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.
Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.
Duu Kwa hiyo, umepigwa za uso mara 2, pole sanaNiko salama wa afya ,sijafanya come back yoyote ila nimegundua kuwa haitakiwi Mimi nimpende mwanamke wa kuoa ila anipende yeye baada ya kumpata mdada mzuri mmoja wa mji wa mbeya ili nimuoe ,akanipiga kibuti baada ya kumvutia hela afanye biashara ,akaenda kuolewa na mlina asali huko Tabora .
Itoshe kusema nipo kama Jana ,sielewi moja Wala mbili ila kiafya nimejaa tele na Sina mpango wa Mambo hayo kwasasa
Umezira au sio!Niko salama wa afya ,sijafanya come back yoyote ila nimegundua kuwa haitakiwi Mimi nimpende mwanamke wa kuoa ila anipende yeye baada ya kumpata mdada mzuri mmoja wa mji wa mbeya ili nimuoe ,akanipiga kibuti baada ya kumvutia hela afanye biashara ,akaenda kuolewa na mlina asali huko Tabora .
Itoshe kusema nipo kama Jana ,sielewi moja Wala mbili ila kiafya nimejaa tele na Sina mpango wa Mambo hayo kwasasa
Story ya kutunga hii mkuu,mtoa mada hana hata kumbukumbuTitle imekaa kuwa unaomba ushauri ufanyeje ila ndani ya uzi tayari una uamuzi wako sasa sijui kipi ni kipi. Ila kama hicho ulichoandik ndicho kweli unapanga kukifanya sidhani kama ni sahihi. Kitakupa ahueni ya muda mchache lakini baada ya muda fulani utakuja ujutie na kujiona mjinga.
Nenda harusini, kula, shiba, cheza amapiano, rudi kalale. Kama huwezi kaa ndani kwako liaaa mpaka uchungu uishe na baada ya muda utakuwa sawa...
Naomba kuwasilisha...
Hapo kwenye kutembea na nusu ya uhai wako ndipo ulipofeliMapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu.
Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi kumridhisha katika mahitaji yake ya kimwili, kihisia na kiroho. Kwa bahati isiyo yangu binti katamka kuwa hanitaki yaani amekutana na better half hivyo anafunga ndoa.
Alivyo na jeuri kanipa na kadi kabisa. Hapa nimepanga na wahuni wa kitaa tukamharibie. Yaani hawezi niacha kizembe hivi. Ameanzisha lazima nimalizie, ngoja leo nilewe kabisa.