Mchumba wangu wa miaka 5 anafunga ndoa kesho inaniuma sana, nifanyaje?

Miaka mitano unamchezea mtoto wa watu tu mwenzako anaoa unataka ukalete fujo? Sasa nakuhakikishia utachezea kichapo chakufa mtu na sero utalala.
 
Kama ungefanikiwa kumuoa ungejuta Sana.

mshukuru MUNGU amekuepusha maumivu makali zaidi ya unayopitia Sasa.

Pamoja na hayo utampata bora zaidi ya huyo aliyekuacha.

Tumia hasira zako kupambana uwe Bora zaidi , kiuchumi, endelea kujifunza uwe mwelewa zaidi .
JE UKIMFANYIA FUJO UTAMPATA⁉️
Uwe na uhakika UKIMFANYIA FUJO KILa mtu ataelewa kuwa hujawahi kumfaa.
Na katika miaka 5 aliyokupatia hukuwa kumfaa ( KWA mtazamo wake).

Jipe pole. Utakuwa sawa. Ni jaribu ni mitihani umekupata. UNAPASWA KUSHINDA.
 
Aisee yule binti niliemuacha sijui alijihisije sikujua kuwa kumuacha mtu kunauma kiasi hicho

Mkuu wanaume huwa tunaumia zaidi kama umemhudumia mwanamke halafu hujamgusa tupu yake kisha akakuacha kama ulimgusa nakuhakikishia atarudi tu kama mchepuko
 
Mwingine alimpatia mtaji Mkubwa mchumba wake na akaachwa.

Mwingine alimjengea nyumba mchumba wake na akaachwa.

Mwingine alimnunulia gari mchumba wake na akaachwa.

Hujasikia yule alidonate figo, Mchumba alipopona akamuacha.

Sifagilii kuachana.
Ila kuachana katika hatua ya uchumba ni Bora zaidi ukilinganisha na (mfano) Angekuacha t
Mkubwa na Watoto 2?

Mkuu una bahati Sana. Mshukuru MUNGU na utoe sadaka ya shukrani unakoabudu.
 
Hao wahuni achana nao, heshimu tu uamuzi wa huyo mchumba, ni chaguo lake. Wanawake wapo wengi, tafuta mwingine. Nenda kwenye harusi na umpongeze.
 
Miaka mi5,hukua muoaji wewe,ukipata mwanamke kama umemuelewa na mmependana kweli usimalize mwaka oa,wanawake wanakimbizana na menopause
 
Duu Kwa hiyo, umepigwa za uso mara 2, pole sana
 
Umezira au sio!
 
Story ya kutunga hii mkuu,mtoa mada hana hata kumbukumbu
 
wewe nenda
sisi tuko nyuma yako humu jf kukupa sapoti
 
Hapo kwenye kutembea na nusu ya uhai wako ndipo ulipofeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…