Mchumba wangu wa miaka 5 anafunga ndoa kesho inaniuma sana, nifanyaje?

Utaishia pabaya mkuu
 
Sasa ulienda yanini harusini?
Kuna watu mnayapenda maumivu yaani unayapalilia kabisa na kuyamwagilia ili yamee uyavune vizuri.
 
Miaka Mitano ya uchumba amefanya chaguo sahihi wewe sio muoaji
 
Wewe ndio mwenye makosa miaka mitano mtoto wawatu huja muoa na age ina muacha. Kwanini wajuzi wa mambo wasimchukue.
 
Acha ujinga dogo eti amelianzisha. Huyo Ni mke wa mtu Sasa.
Ungekua unampenda kweli ungekwenda kwao mapema kujitambulisha na vizawadi vya hapa na pale.
 
Huyo ni wa kumteka tu
 
Kama kwako mapenzi yanauma kuliko chochote na huyo malaya anatembea na nusu ya uhai wako nakushauri kajiue tu, kengemaji.

Kwanza ngoja nilog out, nimeshachukia.
 
Kama kweli alikua anaridhika atakukumbuka siku moja akutafute..lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…