Huyu Mchungaji hajakosea yupo sahihi amesema corona ni kaugonjwa kidogo mbele za Mungu na sio mbele yake. Kwa maana hiyo alikuwa na imani kwamba Mungu hajawahi kushindwa hata kama amekufa ni siku yake imefika lakini amefia katika imaniKuna kiongozi aliyesema corona ni kaugojwa
Laiti ungejua usingesema huu upupu. Tatizo wengi wa wana comment humu kwa ujasiri hata hawajui wanachokomalia. Anyway kasome wakati Yesu anajaribiwa kwa nini alikataa kujitupa toka kwenye pinnacle ya temple.Mchungaji hakua mzembe, mchungaji alikua anamtegemea Mungu, tatizo ni Mungu kumuangusha mchungaji. Yeye aliamini Mungu ni mkuu kuliko hako kagonjwa hivyo hana sababu ya kuhofia, ila ajabu kagonjwa kamekua kakuu kuliko mungu.
Na yy yupo kwenye death rKuna kiongozi aliyesema corona ni kaugojwa
Mambo ya yesu kujaribiwa sijui pinnacle ya temple yananihusu nini mimi? Nyie mdio mnaamimi Yesu alichomwa mkuki ikatoka maji na damu, utafikiri mwili wa Yesu ulikua na rejeta au tanki la maji na damu.Laiti ungejua usingesema huu upupu. Tatizo wengi wa wana comment humu kwa ujasiri hata hawajui wanachokomalia. Anyway kasome wakati Yesu anajaribiwa kwa nini alikataa kujitupa toka kwenye pinnacle ya temple.
Unaweza kuwa mwerevu kwenye mambo mengine ila kwenye hili japo wajifanya mwerevu una ujinga mwingi wa kuufanyia kazi
Naendelea kuwaza, ni zawadi gan unaistahili .?.Bado ukweli haubadiliki, ni kaugonjwa kadogo sana mbele za Mungu
Alikuwa bongo movie akiwa anaigiza uchungaji sasa kajiunga na waigizaji wengine akina ngwajima huyu Mungu wanayemfanyia maigizo anawangalia tuu ipo sikuMashimbo ni mwehu namjua vizuri sana yule jamaa.
Nasubiria kwa hamu hicho kitu special[emoji7][emoji7]Naisoma ,naisomaaa, narudi nasomaaa hii komenti weeee ,naenda narudi naisomaaaNaendelea kuwaza, ni zawadi gan unaistahili .?.
Inabidi nikufanyie kitu special.
Samahani we Hakimu Mfawidhi wa mahakama gani ?Huo ukuu uko kwenye nini? Mbona kila mara mungu mkuu, mungu mkuu, huo ukuu uko kwenye nini kama magonjwa tu hawezi kuyaondoa wala kutibu watu wake?
Rais ni mkuu wa nchi kwa sababu inaweza kutokea njaa akaamuru watu wote walioathirika na njaa wapewe chakula, au wajengewe nyumba kama wamepata mafuriko na watu wakaona na wakakiri kweli huyu ni mkuu wa nchi. Sasa Mungu ukuu wake uko wapi? Mbona hauonekani?
Huyo Mungu ambae hawezi kuzuia magonjwa, njaa, vita, mafuriko, majanga ya asili ukuu wake uko wapi? Yaani anakua mkuu huku hawezi kufanya jambo lolote la maana likaonekana?
Lakini Mbona Naibu Rais Daud Bashite asimami kwa mungu pekee, kasimama kwa shetani na munguHata Kama amekufa na corona bado Mungu atabaki kuwa Mungu
Hakuna aliye mkuu zaidi yake corona ni kitu kidogo sana kwa Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app