Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Speaking from experience mimi nilikua nasali kkkt ya tabata sasa nikaelekea Kwa mastai korogwe pale kwa kweli mafundisho yake yaliniongezea Imani na kumjua Mungu na kuanza kuiogopa dhambi tofauti Na nilivyokua tabata amenisaidia mnoo spiritual mpka muda huu naona uwepo wa Mungu kabisa vijana wenzangu nawaomba mfike pale korogwe naamin mtakuja kushuhudia Apa
 
Hii ndio akili ya mtu timamu
 
Money is beautiful 🤣🤣❤️
 
Kumbe wamemfukuza? Ndiyo maana nawasikia akina Musa, Chumvi na yule mdada... Aiseeee daaah
 
Fitina na unafki vimetamalaki
 
Kabisa mkuu hii tabia inaturudisha nyuma sana kimaendeleo,ilibidi elon musk atorokee U.S maana tabia za S.A iliminya upeo wake.
 
Yaani anajidai haswa,like za instagram na views za YouTube zinampa jeuri.Aanzishe kanisa lake kama yeye ni mwanaume kweli.
Dah! afrika bado tunasafari ndefu kupanuka kifikra,kama mungu ameamua kukuinua hamna mbwa atakaye zuia wengi wamefanikiwa sana baada ya kujitenga na madhehebu tasa.
 
KKK

not my Forte.

Waafrika Yes.

Nitajisitiri, nisije nikawaka moto nikiingia ndani ya porsche yangu.

Unachanganya sana watu. Case study: Mr Hiram Maxim. nuff said.
 
kuna muda wa roho mtakatifu kukuinua mfano mzuri ni mwakasege.
Kuna watu wanaamini kuwa Kimaro ndio kwisha habari yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kuna watu wanajiita Wakristo lakini hawayajui mapito na majaribu ya Mkristo.

Ikiwa Kimaro atakuwa mnyenyekevu muda huu, amuombe Mungu sawasawa...ninaamini baada ya mapito haya atainuliwa zaidi.

Majaribu huleta furaha baada ya kuyavuka.

Watumishi wa Mungu wakubwa wana shuhuda nyingi zito za mapito yao magumu kuliko hata hili la Kimaro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…