Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Speaking from experience mimi nilikua nasali kkkt ya tabata sasa nikaelekea Kwa mastai korogwe pale kwa kweli mafundisho yake yaliniongezea Imani na kumjua Mungu na kuanza kuiogopa dhambi tofauti Na nilivyokua tabata amenisaidia mnoo spiritual mpka muda huu naona uwepo wa Mungu kabisa vijana wenzangu nawaomba mfike pale korogwe naamin mtakuja kushuhudia Apa
 
Ni kweli tumeona hata EFM yule mtangazaji amefukuzwa kazi kwa kutoa maoni yake tu dhidi ya hali ya nchi inavyokwenda.

Katiba inasema kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni na haija specify sehemu gani exactly mtu atoe hayo maoni. Ingeandika maoni yatolewe chooni kwako au chumbani kwako ingekuwa rahisi kumhukumu yule mtu.

Hio ndio hali ya Tanzania ilipofikia halafu tunakazi ya kulaumu kwanini watu wengi wamekuwa na tabia ya unafiki. Misingi ya maisha imejikita kwenye unafiki leo hii huwezi kusema ukweli wako wazi ila lazma uangalie huo ukweli unamwambia nani. This is not how its supposed to be.
Hii ndio akili ya mtu timamu
 
Duh!, that is not fair!. Mimi ni Mkatoliki wa St. Peters, ila kukitokea events hapo huwa nahudhuria mara moja moja, nilihudhuria siku ya Mavuno, huo mpunga uliovunwa...!, nilipotoka nje haya mandinga! ya waumini, nadhani kwa KKKT, baada ya usharika wa Azania Front kwa matajiri wa Upanga, na Msasani kwa matajiri wa Osyerbay na Masaki, unafuata Usharika wa Kijitonyama.
Kwenye makanisa yetu haya ya kimasikini, ukijitokeza tuu utajiri na matajiri, shetani naye anajipenyeza hapo hapo kwa wachungaji kondoo wa Bwana kuanza kujiinua kwa jeuri ya pesa!. Nakumbuka ule mgogoro wa Same!.
Mungu awabariki hili limalizike salama.
P
Money is beautiful 🤣🤣❤️
 
Ni kweli tumeona hata EFM yule mtangazaji amefukuzwa kazi kwa kutoa maoni yake tu dhidi ya hali ya nchi inavyokwenda.

Katiba inasema kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni na haija specify sehemu gani exactly mtu atoe hayo maoni. Ingeandika maoni yatolewe chooni kwako au chumbani kwako ingekuwa rahisi kumhukumu yule mtu.

Hio ndio hali ya Tanzania ilipofikia halafu tunakazi ya kulaumu kwanini watu wengi wamekuwa na tabia ya unafiki. Misingi ya maisha imejikita kwenye unafiki leo hii huwezi kusema ukweli wako wazi ila lazma uangalie huo ukweli unamwambia nani. This is not how its supposed to be.
Kumbe wamemfukuza? Ndiyo maana nawasikia akina Musa, Chumvi na yule mdada... Aiseeee daaah
 
Hapo tatizo ni lile lile tu la ngozi nyeusi, wivu, majungu na fitina. Jamaa nyota yake imewaka na anakubalika sana na ukishakubalika na jamii hela lazma upate nyingi tu kupitia hao hao unaowahudumia. Sasa naona wamejaribu kumbana bana wamemshindwa wameona anafaidi sana bora wamuondoe kisiasa.
Fitina na unafki vimetamalaki
 
Sio kanisani tu popote pale nchini, ukiwa na balls jiandae kuishi kama tai maana kila mahali watakuwa wanakuona mkorofi. Watanzania tumezoeshwa ukondoo toka nchi hii inaasisiwa.

1.Shuleni ufanyiwe uonevu ukae kimya, ukikaza unaonekana mtukutu. Utahamishwa tu.

2.Kazini ukiwa mshapu na mtoaji ideas utaitwa kiherehere tayari watu wanakuchukia. Huwezi toboa.

3. Uraiani ukitoa views zako kuhusu hali ya maisha nchini. Mchochezi. Hapo hapo una haki ya kutoa mawazo yako. Ila unaitwa mchochezi.

4.Kanisani kama hivyo, una kipaji cha neno na watu wanakupenda unasimamia ukweli. Unaambiwa unakiuka taratibu.

Hii ndio Tanzania, ukiwa na misimamo yako binafsi basi hakikisha hufungamani na taasisi yeyote.
Kabisa mkuu hii tabia inaturudisha nyuma sana kimaendeleo,ilibidi elon musk atorokee U.S maana tabia za S.A iliminya upeo wake.
 
Yaani anajidai haswa,like za instagram na views za YouTube zinampa jeuri.Aanzishe kanisa lake kama yeye ni mwanaume kweli.
Dah! afrika bado tunasafari ndefu kupanuka kifikra,kama mungu ameamua kukuinua hamna mbwa atakaye zuia wengi wamefanikiwa sana baada ya kujitenga na madhehebu tasa.
 
Waafrika mmelaaniwa unajisifu kwa ujinga na kukosoa kwa ujinga,huyo yehova unayemtolea ushahidi anavinasaba gani vya UAFRIKA hadi umshuhudie?

Mjinga na shetani ni anayeamini ktk mafundisho ya kupandikizwa na kuacha asili yao.

Waafrika wenye DINI za kuja wote wachomwe moto ni mashetani WEUSI
KKK

not my Forte.

Waafrika Yes.

Nitajisitiri, nisije nikawaka moto nikiingia ndani ya porsche yangu.

Unachanganya sana watu. Case study: Mr Hiram Maxim. nuff said.
 
kuna muda wa roho mtakatifu kukuinua mfano mzuri ni mwakasege.
Kuna watu wanaamini kuwa Kimaro ndio kwisha habari yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kuna watu wanajiita Wakristo lakini hawayajui mapito na majaribu ya Mkristo.

Ikiwa Kimaro atakuwa mnyenyekevu muda huu, amuombe Mungu sawasawa...ninaamini baada ya mapito haya atainuliwa zaidi.

Majaribu huleta furaha baada ya kuyavuka.

Watumishi wa Mungu wakubwa wana shuhuda nyingi zito za mapito yao magumu kuliko hata hili la Kimaro
 
Back
Top Bottom