Mchungaji Masanja Mkandamizaji baada ya kupitia majaribu ya shetani amemzawadia mkewe Monica zawadi ya Gari

Mtu wa makanisa makanisa [emoji1787][emoji23][emoji23] nimecheka sana hicho [emoji3516] kipengele,leo issue ya Jimmy mafufu kwny voice note zake alizorekodiwa na Masha mamilk,[emoji1787],kwel wanaosali kwa hawa watu, wakapimwe akili
 
Wanaudharilisha ukristo kwa kweli. Mtu anajiita Askofu lakini ana madhaifu mengi hata mshirika wa kawaida ana nafuu. Unajiita Askofu lakini unacheza komedi za kijinga, vijembe kwenye siasa na kutoweza kuiongoza ndoa yako.
jamaa kabadirisha ule msemo wa "KIJANA TAFUTA PESA"
sasa hivi "KIJANA TAFUTA PESA, TUT@MBE MKEO'
 
Hongera sana Pastor.... Mtunze mkeee bhn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…