Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Mandela wa Kolomije!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wenye chuki, roho mbaya na fitina zaidi ya wana Chadema katika Tanzania hii?Hakuwai pia kuwa mbaguzi, mwenye roho mbaya , chuki na muuaji
Labda raisi wa kakibanda kamtaa wa ufipaKama ni kipawa na uzalendo basi Lissu ndo Raisi wako!
Kama mtu anayewekewa ac njombe ameweza kuwa Raisi Kwa nini ashindwe mtu aliyeponywa na Mungu risasi zenu 16??
Tukutane October 28Labda raisi wa kakibanda kamtaa wa ufipa
NashangaaaKuna wenye chuki, roho mbaya na fitina zaidi ya wana Chadema katika Tanzania hii?
KKKT wamezidi unafiki! Mimi ni KKKT na ni muumini mzuri lakini yale yanaendelea ndani ya Kabisa ni unafiki wa kiwango cha SGRMuulize Mandela alimpiga risasi nani kwenye utawala wake? Muulize mandela alimfanyia raia yeyote wa South Africa kama Magufuli alivyowafanyia Erick Kabendera na mama yake?, Ben Saanane??? Azory Gwanda??? Mdude Nyangali na Tito Magoti?
Muulize pia ni lini Mandela aliwai sema hatopeleka miradi ya Maendeleo kwa wa South Africa ambao watachagua upinzani?
Akiweza kujibu haya mwambie aache kutumika!! Atunze heshima yake, Watanzania sio wajinga!
Umeshapanic bwashee!Kafanye research kilaza wewe
Sio hela zake ni Kodi za wananchi
Hapana siwezi kupanic!! Nimekushauri tu kafanye researchUmeshapanic bwashee!
Bagonza!KKKT wamezidi unafiki! Mimi ni KKKT na ni muumini mzuri lakini yale yanaendelea ndani ya Kabisa ni unafiki wa kiwango cha SGR
Niko KKKT naelewa katiba ya Kanisa na utaratibu mzima!Hapana siwezi kupanic!! Nimekushauri tu kafanye research
Kusema Rais Magufuli ana kibali cha Mungu siyo siasa bwashee!Alipoongea yule wa efatha kuhusu lissu kulindwa na Mungu tulliona kamati ile ya wanajiita viongozi wa kamati ya amani ya dini walikuja na tamko la kuzuia siasa makanisani. Ngoja tuone kama watakemea hii kauli.
Yule Askofu Bagoza PhD ni dhehebu gani?Niko KKKT naelewa katiba ya Kanisa na utaratibu mzima!