Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Mchungaji Mbarikiwa: Kilichokutuma Christina Shusho ni umalaya tu hakuna huduma hapo

Utakuwa umelewa,

Kanisa ni mtu. Si jengo. Tangu sasa, kaa ukijua Kila usomapo neno Kanisa ujue ni mtu, mwenye kuvuta Pumzi ya Mungu Bure.
Wewe tutaendelea kukufundisha tu.
Hiyo ni theological definiton.
ILA kanisa ni jengo pia nenda kasome kamusi zako zote utaikuta hiyo. Tatizo ujuaji mwingi Halafu kamasi kichwan
 
We maskini choka mbaya uliyekosa kazi ya kufanya, Badala ya kufuatilia haki zako za msingi unakuja kufuatilia maisha ya mtu binafsi yasiyo kuhusu na wala hayana uhusiano wowote na jamii.

Damn Fool.
Naijua KAZI Yako na wenzio jukwaani ninyi Wana wa Ibilisi.
 
Kamwe Biblia neno la Mungu haikuruhusu wahudumu wanawake,wahubiri au wachungaji... Hili ni fundisho la kipepo..Hivyo Christina Shusho si mtumishi wa Mungu kulingana na maandiko
 
yule ni public figure/proxmit anachofanya/kuongea kinaathiri hadhira yake. Kwa kuwa ana umaarufu ni sahihi jina lake kutajwa chanya au hasi
Ali itisha mkutano akaanza kuhubiria na kushawishi hadhira ya watu ifuate anacho kisema?

Au aliamua kuongea maisha yake binafsi na maamuzi yake binafsi.
 
Naijua KAZI Yako na wenzio jukwaani ninyi Wana wa Ibilisi.
ibilisi ni wewe ambaye umeungana na huyo mchungaji uchwara kumtukana mtu mnaywmwita malaya bila kuwa na ushahidi wa aina yoyote ule ukionyesha yeye ni Malaya. Tutaendelea kukukemea wewe ni ibilisi mchafu na christina ataendelea na kazi yaMungu
 
Mimi ni mmoja wa wanaomkubali Christina, sio kwenye hizo imani zake coz hazinihusu hata kidogo, ila kwa vile alivyo, yaani hata mda huu napanda boda akiniita.
 
Naijua KAZI Yako na wenzio jukwaani ninyi Wana wa Ibilisi.
Huyo ibilisi hayupo.

Wajinga kama wewe mnaingilia uhuru wa mtu na maamuzi ya mtu binafsi kuleta ufukunyuku na mihemko yenu isiyo na uthibitisho wala mantiki.
 
Ali itisha mkutano akaanza kuhubiria na kushawishi hadhira ya watu ifuate anacho kisema?

Au aliamua kuongea maisha yake binafsi na maamuzi yake binafsi.
kwani anasingiziwa? Kapotoka lazima aambiwe ukweli
 
Ulichokiandika, hakuna connection na alichokisema Allen.
soma mifano ipo mingi nimemtolea huko mwingine juu.
Halafu nikuambie kitu wewe uliyetumwa kutoka kuzimu.
Biblia unaweza kutumia kama mafundisho ya kawaida kabisa katika hali ya kimantiki. Wala si lazima uwe muumini wa dini ili ukubaliane na baadhi ya mafundisho.
Usiue
Usimfanyie jirani yako ubaya
Usitamani mume au Mke wa jirani yako.
Mpende jirani yako kama nafsi yako.
sihitaji kuwa muumin ili nielewe hayo maneno ni vitu vya kawaida kabsa mimi kufanya ili dunia iwe sehemu salama
 
Ni Wachache wa aina hiyo,

Na ndio tunaowakemea,

Ikiwa husali, mkeo akaanza kusali, Mshukuru Mungu, maana hukuombea na familia yote hubarikiwa.

Muhimu aendelee kukuheshimu, kukutii na kukushauri pia uanze kusali.

Ubarikiwe.
Nimemkataza mke wangu kusali makanisani, tunasali kwa kumuomba Mungu nyumbani na kuabudu mizimu yetu tu. Dini za watu zisizo asili yetu kwetu ni no nooooooo.
 
Nimemkataza mke wangu kusali makanisani, tunasali kwa kumuomba Mungu nyumbani na kuabudu mizimu yetu tu. Dini za watu zisizo asili yetu kwetu ni no nooooooo.
Asili ya Mizimu ni kuzimu,

Kuzimu ni nyumbani Kwa wafu,

Wewe kwenu ni kuzimu waliko mababu na ndugu waliokufa?
 
shusho kibiblia yupo sawa kabisa na ni jambo sahihi alilofanya.
Siwezi kuhukumu Kwann kaachana na mumewe wakati naona katika jamii wanaume wanapiga wake zao mpaka wanawachinja. Vile vile wanawake wanawapa mateso waume zao mpaka wanakufa na pressure. Hapa sihukumu sababu Sijui Nani mkosaji.
ILA kwa kwenda kumtumikia mungu yupo sahihi kabsa

[/QUOTE.acheni kutetea upotokaji, angeieleza jamii kinagaubaga kuwa ndoa yake imekuwa hatari kwake hivyo ameikimbia.
 
Back
Top Bottom