Pre GE2025 Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama ayoyasema Mchungaji Msigwa yatabainika kuwa ni ya kweli basi tunahitaji uwajibikaji mkubwa.
 
Mbowe ndio mchawi wa hiki chama. hatuna chama cha upinzani nchini, hata Tundu Lisu atakuwa anapata shida sana, anashindwa tu afanyeje, ila angekuwa na mbadala, hakika angeshakikimbia chama hiki zamani sana, kwasababu kina rafu, umwinyi, kupokea asali na udanganyifu mwingi. kama msigwa alilalamika kabisa kwamba Mrema kule mbeya alionekana ananyweshwa pombe na sugu, na lawama kibao, what do you expect.
 
Lilikuwa ni suala la mda tu sasa tunaiona sura halisi ya CHADEMA
 
😂😂😂 Mrema na mbege
 
Kama ayoyasema Mchungaji Msigwa yatabainika kuwa ni ya kweli basi tunahitaji uwajibikaji mkubwa.
Rafu kwenye uchaguzi ni lazima, dawa na wewe unajiandaa kwa lolote unapoingia kwenye chaguzi.

Yani unataka kutuaminisha Msigwa ameingia mikono mitupu kwenye uchaguzi hakutumia hata mia?

Tetesi zinasema Msigwa amefadhiliwa na Assas wa ccm, hapo watakuwa wamezidiana dau tu.
 

Tulishatahadharishwa na Lissu kuwa kuna Bundi wa Samia katumwa kuja CHADEMA.
 
Awali ASAS alitaka kumfadhili mchungaji Msigwa lakini akazuiwa kwa maelekezo kutoka juu
 
Binafsi nampongeza Mchungaji huyu kwa uamuzi wake huu, maana hii ndio njia Sahihi iliyowekwa na Chama chake ya kudai haki.
Kama asemayo mchungaji yana ukweli; hata chembe ndogo tu ya ukweli, basi huyo virusi ndani ya chama atakuwa ni hatari sana kwa uhai wa chama chenyewe. Huyo kirusi siyo wa kuchezewachezewa na kujifanya chama hakimuoni.
 
Awali ASAS alitaka kumfadhili mchungaji Msigwa lakini akazuiwa kwa maelekezo kutoka juu
Sasa kwa nini wachezewe akili namna hiyo kama wao ni watoto wachanga.

Maana yake ni kwamba wote wanaonekana kutokuwa imara katika wanayoyasimamia.
 
NIlijua mapema na nikaleta uzi mkapinga yako wapi sasa!
 
Aende KK akatoe malalamiko yake, na kama ikithibitika kuna rafu ilichezeka dhidi yake, hili litaenda kuacha doa Chadema.

Kama Msigwa mwanzo alimlalamikia John Mrema asisimamie ule uchaguzi wao kwasababu alionekana akilewa pombe na Sugu, na kama Mrema ni miongoni mwa wajumbe wa KK, endapo majibu ya malalamiko ya Msigwa yasipomridhisha, sijui kama kuna ngazi nyingine kwake ya kukata rufaa.

Kinyume na hapo kama hiyo nafasi haipo, basi wale wanaosema Msigwa ataondoka Chadema hapa ndipo wanaweza kupata nafasi ya kuaminika.

Simply, John Mrema hatakiwi kuwepo kwenye hicho kikao cha KK kitakachosikiliza na baadae kutoa hatma ya malalamiko ya Msigwa, kinyume na hapo endapo Mrema akiwepo kikaoni, atasababisha ionekane haki haikutendeka kwa Msigwa.

Hii issue kwa upande mwingine isije kuleta picha ionekane kwamba mwenye mali hafai kuwa mgombea kwa nafasi yoyote ya uongozi ndani ya Chadema, na pia, isijekuleta oicha nyingine pia ionekane asie na mali akigombea dhidi ya mwenye mali uongozi ndani ya Chadema, basi haki yake atadhulumiwa.
 
Makes you wonder the future of Politics..., Huku na kule deep down ni yale yale tu....

They way forward we need to automate democracy we can depend on individuals ambao deep down humans are weak and easily corruptible...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…