Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe mtamtoaje?? Yeye anaamino cdm ni mali yake binafsi.Ni biashara yake mtaji wake hatoki milele na kaweka vijokeri vyake vinatukana watu tu..Hamna adabu kabisa kwa kuangalia mbinu zenu tunaamini lissu ndio kabisa mpinzani wengine nyie zero plus.
 
Msigwa sio kibaraka wa CCM, mtu kudai haki yake hakumuondolei uhalali wa uanachama wake Chadema, grow up.


Hebu nitajie kina nani waliwahi kudhulumiwa na Mbowe wakatoa malalamiko yao, hebu nitajie nami niwajue kama wewe...
Ingekuwa msigwa ndio nafasi yake ya Kwanzaa au ya pili kuwa mwenyekiti wa Kanda, hapo ningeamini kweli labda kafanyiwa finish. Lakini Amersham shika Nicholas kiti kwa zaidi ya miaka kumi bado anakitaka. Mbona Lema kaamuwa kujitowa mapema na hakuna kelele? Msingwa anatafuta Mafao kutoka ccm.
 
Wewe kidampa wa uvccm mambo ya Chadema yanakuhusu nini?
 
Msigwa sio kibaraka wa CCM, mtu kudai haki yake hakumuondolei uhalali wa uanachama wake Chadema, grow up.


Hebu nitajie kina nani waliwahi kudhulumiwa na Mbowe wakatoa malalamiko yao, hebu nitajie nami niwajue kama wewe...
Zitto Kabwe na Mwigamba
 
Halafu ikawaje tena?
 
Mbowe mtamtoaje?? Yeye anaamino cdm ni mali yake binafsi.Ni biashara yake mtaji wake hatoki milele na kaweka vijokeri vyake vinatukana watu tu..Hamna adabu kabisa kwa kuangalia mbinu zenu tunaamini lissu ndio kabisa mpinzani wengine nyie zero plus.
Lumumba mnaendeleaje?
 
Mpumbavu mwingine huyu hapa
 
Bora wewe ni wanachadema wa kweli,wenzio wamejaa ujinga tu,wamegeuka vidampa wa bwana mbowe,kwakweli endelea kuwaelimisha wale ambao msigwa aliwaita nyumbu.
 
Kubadilika ni wewe mwenyewe. Kumtumia Mbowe ni namna tu ya kuhamisha tatizo. Ni sawa na mtu kuvuta bangi au kunywa pombe kwa kudai "anapunguza mawazo". Mawazo hayaondoki kwa kuvuta bangi/kunywa pombe (ni kujiliwaza tu) sawa na kudhani Mbowe ni tatizo kwa Chadema. Kwani huwa anajichagua? Kama yeye ni tatizo, kwa nini akiitisha mkutano viongozi na wanachama wanahudhuria? Yaani mnajua Mbowe ni tatizo, halafu akiwaita mnakwenda kwake? Mwenye tatizo hapo nani, yeye au nyinyi? Hivyo, tafuta vizuri tatizo liko wapi, hujapata chanzo cha tatizo bado.
 

Msingwa kuna mtu kamchochea .... Inawezekana kabisa ingawa ni nguvu kutoka nje ya chama. Haiwezekani akapiga U turn kubwa kiasi hicho. PESA za ABDUL na Mama yake.....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…