Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Lawama kila kanda. Kanda ya ziwa ndio hivyo.. Ujanja ujanja mwingi tu.
Huko nyanda za juu kusini ndio kabisa. Hadi kibaraka wa CCM Msigwa analia na kutoa makamasi
Dhuluma na ujanja ujanja amezoea Mbowe. Sasa imekuwa kasumba kwenye chaguzi za Chadema
Huko nyanda za juu kusini ndio kabisa. Hadi kibaraka wa CCM Msigwa analia na kutoa makamasi
Dhuluma na ujanja ujanja amezoea Mbowe. Sasa imekuwa kasumba kwenye chaguzi za Chadema