Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mchungaji Msigwa amesema kuwepo kwake CHADEMA siyo kwa ajili ya kutafuta Vyeo kwani Vyeo huwa vinakuja na kuondoka lakini Wananchi wa kuwatumikia wapo muda wote.

Hivyo ataendelea kukitumikia chama kwa Uaminifu na yuko tayari kwenda popote atakapoitwa kutekeleza majukumu ya kichama japo hana Cheo chochote.

Msigwa amewapongeza Washindi wote wa Kanda ya Nyasa.

Mlale Unono 😀😀

Pia soma: Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
Msigwa amekomaa kisiasa haswa
 

Mchungaji Msigwa amesema kuwepo kwake CHADEMA siyo kwa ajili ya kutafuta Vyeo kwani Vyeo huwa vinakuja na kuondoka lakini Wananchi wa kuwatumikia wapo muda wote.

Hivyo ataendelea kukitumikia chama kwa Uaminifu na yuko tayari kwenda popote atakapoitwa kutekeleza majukumu ya kichama japo hana Cheo chochote.

Msigwa amewapongeza Washindi wote wa Kanda ya Nyasa.

Mlale Unono 😀😀

Pia soma: Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
Strong Words from Great Men
 

Mchungaji Msigwa amesema kuwepo kwake CHADEMA siyo kwa ajili ya kutafuta Vyeo kwani Vyeo huwa vinakuja na kuondoka lakini Wananchi wa kuwatumikia wapo muda wote.

Hivyo ataendelea kukitumikia chama kwa Uaminifu na yuko tayari kwenda popote atakapoitwa kutekeleza majukumu ya kichama japo hana Cheo chochote.

Msigwa amewapongeza Washindi wote wa Kanda ya Nyasa.

Mlale Unono 😀😀

Pia soma: Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
Chadema kati ya Msigwa na Sugu wameamua kuchagua Sugu.

Kama Taifa tuna safari ndefu sana.
 
Rushwa za waziwazi zilizosheheni ndani ya CHADEMA mpaka kusababisha sugu kushinda huko nyanda za juu, hakika ni angamizo la CHADEMA, CHADEMA hii hakika kwa kile kilichofanyika, CHADEMA ni chama kisichofaa na watanzania wanahitaji chama mbadala wake.

Chama cha upinzani kilitakiwa kuwa chama cha mfano kwa kupinga rushwa hizi za waziwazi, hakika inasikitisha sana, CHADEMA leo hii ndio wamegeuka wala rushwa wakubwa.
 
Back
Top Bottom