Mchungaji wa kanisa la Wasabato Kahama na familia yake wasoteshwa rumande kwa kesi ya dawa za kulevya

Wachungaji hao amabao jiwe alikua anakiuka katiba na kuua watu wao walikaaa kimya tu bila kukemea,tena walikua wanaunga juhudi ..acha nae ataabike πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wengine ni vijana wameanza kazi baada ya jiwe kufariki. Hao nao utasema namna gani mwana harakati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…