Mchungaji wa kanisa la Wasabato Kahama na familia yake wasoteshwa rumande kwa kesi ya dawa za kulevya

Mchungaji wa kanisa la Wasabato Kahama na familia yake wasoteshwa rumande kwa kesi ya dawa za kulevya


Kwamba mama mchungaji ndani ya msukosuko akipitishwa kati ya bonde la kivuli cha mauti alimwita mumewe?

Kwamba mumewe alifika kutoa msaada ila naye akaishia kupewa kesi na nyuma ya yote ni ofisa muumini mwenye msuguano naye tokea kanisani kwake?

Kwa hakika ni stupid.

Tangu lini madaktari wakawa na cha kufanya na dawa mahospitalini? Kwani madaktari ni wafamasia au japo manesi?

Utaratibu huu wa TAKUKURU kuvamia mahospitalini kunyanyasa wauguzi mbele za wagonjwa umekaa je?

Ya hivi yamewahi kutokea popote pengine hapa nchini? Si kuwa mama mchungaji alikuwa target, yaani katengenezewa zengwe kimkakati tu?

Tukio hili limetatiza wengi na kuwaacha bila ya majibu.
 
Imekuwa dhuluma hadi kwa watumushi wa Mungu. Raia wema wakimbilie wapi?

Katika hali ya kushangaza Mchungaji mmoja wa kanisa la wasabato wilayani Kahama na familia yake wamejikuta wakinyanyasika pasipokuwa na uhalali wowote kufikia kuswekwa ndani na kulala rumande.

Kadhia hii imemkuta mchunga kondoo huyu wa bwana wakati akimgombelezea mkewe mwenye kitoto kichanga ambaye ni mganga (Daktari) katika hospitali ya manispaa ya Kahama akijaribu kuepusha asikamatwe na TAKUKURU kimchongo mchongo.

Mganga huyo alikuwa amekumbwa na kadhia inayosemekana kuwa ni ya kubambikiziwa na kukamatwa na madawa ya binadamu kwenye pochi yake akiwa kazini.

Kwamba 1 March 2023 TAKUKURU walimzukia mama huyo, walipokuwa wamelazimisha kuwapekua wafanyakazi hospitalini hapo. Kwamba kwenye pochi yake walikuta madawa hayo. Jambo ambalo ni utata mtupu kwa wanaomfahamu.

Familia hiyo ya mume, mke na kichanga chao imejikuta ikisukumwa ndani na kulala selo kwa kinachosemekana ni kukamilisha majigambo ya baharia mmoja mchakata mbususu za waumini kanisani kwa mchungaji huyo.

Baharia huyo ambaye pia ni muumini katika kanisa la mchungaji huyo pia ni afisa wa TAKUKURU wilayani humo. Kutokana na tabia zake zisizokidhi vigezo amekuwa kero kubwa kanisani hapo huku akijigamba kuwa atawafunza adabu wote wenye kujaribu kumletea gozigozi.

Mchungaji alipoitwa na mkewe kuwa amepata tatizo, alikwenda kuishia kupewa kesi kuwa amewatolea lugha chafu vigogo hao (wa TAKUKURU) naye kuishia kusukumwa ndani.

Kweli kikulacho ki nguoni mwako.

Matukio ya waumini kanisani hapo kukumbwa na kadhia zenye kuishia watu kusukumwa ndani bila sababu za msingi yamekuwa mengi.

Kwa hakika afisa huyu mchakata mabinti weupe weupe kanisani hapo yaonekana amedhamiria kweli kweli.

Kauli yake mbiu ikiwa, hayupo wa kumfanya lolote.
Huyo Mumkamate Mumfire, Wa Kurya mnafelia wapi ?
 
Leo ni Sabato ni jambo la waumini wote kufunga na kuomba kwa ajili ya huyo mtumishi ndg mchungaji.

Kufunga na kuomba si kwa ajili ya zile chemistry zinazoletwa na field au union zenu hata issues zinazowahusu waumini huko makanisani kwenu!.
 
Leo ni Sabato ni jambo la waumini wote kufunga na kuomba kwa ajili ya huyo mtumishi ndg mchungaji.

Kufunga na kuomba si kwa ajili ya zile chemistry zinazoletwa na field au union zenu hata issues zinazowahusu waumini huko makanisani kwenu!.

Tufunge na kuomba. Tuikumbuke familia hii. Tulikumbuke kanisa la Nyasubi Kahama. Tumlilie bwana. Bwana atatenda.
 
Kumbe shida ni kwamba afisa wa takukuru alikua mzinzi. Harafu huyu huyu jamaa wa takukuru akatengeneza movie mama Mchungaji kukamtwa kwa kusimsingizia kuiba madawa ya hapo hospitalini. Mchungaji aliposimama Kama baba na mlinzi wa familia kumkingia kifua mama akawekwa ndani.
Halafu  Kumbe polisi wamekosea kumuweka mtoto ndani.
 
Hakuna mafumbo:

1. Mchungaji kawekwa selo Kahama polisi.
2. Mke wake na mtoto wao mchanga wameswekwa selo Kahama polisi.
3. Tukio ni la 1 March 2023.
4. Mchungaji ni wa kanisa la Wasabato.
5. M TAKUKURU ni muumini wa kanisa alikosuguana na Mchungaji huyo.
6. Kanisa ni Nyasubi Kahama.
7. Mke wa Mchungaji ni mganga hospitali ya manispaa Kahama.
8. Baharia ni mwenyeji wa Musoma.

Kapuni ni jina la mtakukuru tu - baharia mchakata mbususu.

Ninaamini pamoja vyombo vya serikali, SDA church ni taasisi kubwa yenye connections za kutosha. Kwamba hawataacha kuchukua hatua stahiki kuona mtumishi wao huyu na familia yake hawadhalilishwi kireja reja hivi na mtu tu, kwa kutumia vyombo vya dola isivyo halali.

Tukio hili limeleta fedheha kubwa wilayani hapa. Mchungaji huyu ni mwuungwana mwenye maelfu ya kondoo chini yake.

Kama kwa watumishi wa Mungu hali ni hivi, nani yuko salama?
NiPM
Jina la mtakukuru
 
Kanisa na waumini wa kisabato huwa ni watu ambao mambo yao hawapendi sana Social media kama makanisa mengine hata mambo ya kutumiwa na viongozi wa kisiasa kama madhehebu na Dini zingine wao wako tofauti saana katika hili naamini viongoI wa Conference na Union watalimaliza vizuri saana
 
Imekuwa dhuluma hadi kwa watumushi wa Mungu. Raia wema wakimbilie wapi?

Katika hali ya kushangaza Mchungaji mmoja wa kanisa la wasabato wilayani Kahama na familia yake wamejikuta wakinyanyasika pasipokuwa na uhalali wowote kufikia kuswekwa ndani na kulala rumande.

Kadhia hii imemkuta mchunga kondoo huyu wa bwana wakati akimgombelezea mkewe mwenye kitoto kichanga ambaye ni mganga (Daktari) katika hospitali ya manispaa ya Kahama akijaribu kuepusha asikamatwe na TAKUKURU kimchongo mchongo.

Mganga huyo alikuwa amekumbwa na kadhia inayosemekana kuwa ni ya kubambikiziwa na kukamatwa na madawa ya binadamu kwenye pochi yake akiwa kazini.

Kwamba 1 March 2023 TAKUKURU walimzukia mama huyo, walipokuwa wamelazimisha kuwapekua wafanyakazi hospitalini hapo. Kwamba kwenye pochi yake walikuta madawa hayo. Jambo ambalo ni utata mtupu kwa wanaomfahamu.

Familia hiyo ya mume, mke na kichanga chao imejikuta ikisukumwa ndani na kulala selo kwa kinachosemekana ni kukamilisha majigambo ya baharia mmoja mchakata mbususu za waumini kanisani kwa mchungaji huyo.

Baharia huyo ambaye pia ni muumini katika kanisa la mchungaji huyo pia ni afisa wa TAKUKURU wilayani humo. Kutokana na tabia zake zisizokidhi vigezo amekuwa kero kubwa kanisani hapo huku akijigamba kuwa atawafunza adabu wote wenye kujaribu kumletea gozigozi.

Mchungaji alipoitwa na mkewe kuwa amepata tatizo, alikwenda kuishia kupewa kesi kuwa amewatolea lugha chafu vigogo hao (wa TAKUKURU) naye kuishia kusukumwa ndani.

Kweli kikulacho ki nguoni mwako.

Matukio ya waumini kanisani hapo kukumbwa na kadhia zenye kuishia watu kusukumwa ndani bila sababu za msingi yamekuwa mengi.

Kwa hakika afisa huyu mchakata mabinti weupe weupe kanisani hapo yaonekana amedhamiria kweli kweli.

Kauli yake mbiu ikiwa, hayupo wa kumfanya lolote.
Mnapoamua kukimbilia huku vema muwe mnatafakar8 kwanza mnachokileta JF.

Habari yako haina kichwa wala miguu,haieleweki imeegemea kwenye nini?

Kulaani wizi wa madawa hospitalini?
Uzinzi kanisani?
Au ofisa wa TAKUKURU kutumia madaraka yake vibaya?

Halafu lugha za kihuni huni kama "mbususu" zinakuondolea heshima kwenye thread yako.
 
Mnapoamua kukimbilia huku vema muwe mnatafakar8 kwanza mnachokileta JF.

Habari yako haina kichwa wala miguu,haieleweki imeegemea kwenye nini?

Kulaani wizi wa madawa hospitalini?
Uzinzi kanisani?
Au ofisa wa TAKUKURU kutumia madaraka yake vibaya?

Halafu lugha za kihuni huni kama "mbususu" zinakuondolea heshima kwenye thread yako.

Utakuwa kipofu kutokuona habari hii imeegamia wapi. Utakuwa kipofu zaidi kujiaminisha habari hii haina kichwa wala miguu.

Yote yaliyoelezwa yako wazi kwa mwenye macho yake kuona.

Ndani ya changamoto zote itifaki zote ikiwamo lugha, zimezingatiwa kwa viwango vyake.
 
Kumbe shida ni kwamba afisa wa takukuru alikua mzinzi. Harafu huyu huyu jamaa wa takukuru akatengeneza movie mama Mchungaji kukamtwa kwa kusimsingizia kuiba madawa ya hapo hospitalini. Mchungaji aliposimama Kama baba na mlinzi wa familia kumkingia kifua mama akawekwa ndani.
Halafu  Kumbe polisi wamekosea kumuweka mtoto ndani.

Ume summarize vyema kasoro hapa:

"Halafu  Kumbe polisi wamekosea kumuweka mtoto ndani."

Kwani mtoto kichanga kingebaki wapi?

"Kumkingia kifua" ninadhani ulimaanisha "kumgombelezea."
 
Kanisa na waumini wa kisabato huwa ni watu ambao mambo yao hawapendi sana Social media kama makanisa mengine hata mambo ya kutumiwa na viongozi wa kisiasa kama madhehebu na Dini zingine wao wako tofauti saana katika hili naamini viongoI wa Conference na Union watalimaliza vizuri saana

Ninakubaliana nawe ndiyo maana post namba 13 nIliandika haya:

"Ninaamini pamoja na vyombo vya serikali, SDA church ni taasisi kubwa yenye connections za kutosha. Kwamba hawataacha kuchukua hatua stahiki kuona mtumishi wao huyu na familia yake hawadhalilishwi kireja reja hivi na mtu tu, kwa kutumia vyombo vya dola isivyo halali."
 
Huyo afisa wa takukuru atapata laana ,mchungaji ni mtiwa mafuta wa mungu.kuna watu wawili hapa kwetu waliwahi kumpiga mch. Wetu cha ajabu walikufa wote vifo vya ajabu.huyo afisa namuonea huruma sana
 
Back
Top Bottom