Mdada anaejiuza Shivaz Arusha, kakutwa amenyongwa gesti

hupendezei na story za aina hii kabisa[emoji706]
Siwezi kuficha nyayo zangu... Nikizifukia kuna watakaozifukua. Ni story ya miaka hiyo nilipokuwa kijana.. Hakuna ambaye hakufanya ujinga ujanani.. My apology kwa kukwazika Mrs Besyige But the truth has to be told.. [emoji1545]

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hizi ndo akili za wanaume
 
SASA MDADA NA TAMAA YA PESA AKAMWAMBIA JAMAA ALIEKUWA NAE NDANI ATOKE NJE ASUBIRI JAMAA AINGIE APIGE KAMOJA HALAFU ARUDI WAENDELEE[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mhadhiri mmoja wa UD alipakuwa hao watu wa hapo panapo maafa, aliamshwa asubuhi akiwa hana kitu, walimlisha madawa ya kulevywa wakaondoka na kila kitu akakutwa hajitambui na siku hiyo alikuwa anasubiriwa kuwasilisha paper kwenye mkutano muhimu ndani ya ukumbi mmoja mkubwa hapo jijini
 
Wale wa kinondoni staili yeyeto lazima uchomolowe wakat we unashughulika mwenzio yupo bize kushughulikia mifuko yako
 
Kwamba ushauri utamkuta kaburini

Dah aisee ufusika pro-max.... Mimi kuliko kutoa pesa ninunue kahaba bora nile Puchu tu, kwanza mimi nikishajua una mabwana buku, mzuka uwa unaishia hapo... Nakata mazoea, siwezi kuhalalisha ukaaba kwa kununua malaya



Wapo waliohai wenye tabia kama za huyo , kwa hiyo hili ni funzo kwao ili yasiwafike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…