nimeshangazwa na Mshana Jr kuandika ananunua hizi mambo mpaka kushikiana mitutu ya bunduki! kwamba hii ilimu ya roho wa mikosi kwake hai apply?Na wewe unanunua? Huogopi roho wachafu? Au lazima uitajase mbususu kabla ya kuichakata??[emoji1787][emoji1787]
Story ya mwaka 2000 hiinimeshangazwa na Mshana Jr kuandika ananunua hizi mambo mpaka kushikiana mitutu ya bunduki! kwamba hii ilimu ya roho wa mikosi kwake hai apply?
Hawa mapacha Hasani na Husein kama ni wale wa mti safi nini?Shiva mitaa ya Olololoo!
Hivi yule Masai bado yupo kwenye ile gesti nyuma ya Shiva mameneja wake mapacha " Hassan na Hussein"?
Sometimes ni kwa minajili ya uganga tu wala sio upwiruNa wewe unanunua? Huogopi roho wachafu? Au lazima uitajase mbususu kabla ya kuichakata??[emoji1787][emoji1787]
Hawa mapacha Hasani na Husein kama ni wale wa mti safi nini?
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375] hakikka mkuu[emoji109][emoji109]Kwanza tuanzie hapa je, Umalaya ni Kazi halali na inayompendeza Mwenyezi Mungu na aliibariki katika Vitabu vyake Vitakatifu?
Ukijijua Wewe ni Malaya usipende kuwa na Tamaa kwa Mteja juu ya kile mlichokubaliana, usiwe Mwizi au Mchonga Madili na Wezi ili ukiwa na Mteja wako waje Kumvamia na wamkwapue Hela au Mali za Thamani.
Malipo ya Upumbavu huwa ni hapa hapa duniani na Wahenga walituambia 'you will reap what you sow' Kudadadeki....!!
Sawaa🤣🤣
Kumbe na wewe ni mkorofi na unamiliki mtutu .... kwani ungemwachia baada ya yeye kula vyako ungepungukiwa na nini? kumshikia mwenzio mtutu utelezi haunogi tenaaa
Mkuu kumbe uliwahi kuwa mteja😁😁😁Kajifanya mjanja kala vya watu halafu hataki kutoa bumunda!
Arusha wana huo upuuzi sana tuu.. Mimi mmoja nilimuonesha mtutu ndio tukaenda sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Makuzi na kujaribu hiki na kile [emoji23]Mkuu kumbe uliwahi kuwa mteja[emoji16][emoji16][emoji16]
Nilishauzaga kitambo kabisa.. [emoji23]Kumbe na wewe ni mkorofi na unamiliki mtutu .... kwani ungemwachia baada ya yeye kula vyako ungepungukiwa na nini? kumshikia mwenzio mtutu utelezi haunogi tenaaa
ila wadada POA wanakutana na mengiii na hawakomi /hawaachi / bado wanaendelea
Uongo wangu ni upi sasa hapoJamaa ni muongo muongo sana, sasa leo naona kajichanganya[emoji1787][emoji1787]
Tuko pamoja katika hili, sijawahi kuelewa hii kitu, anatoka anaingia...binafsi nikijua tu una mtu wako basi naachia ngazi, nnajihisi tofauti.Wenyewe wana msemo wao “wanawake wote ni makahaba” sina hakika na hii kauli ya jumla jumla.
Lakini hii ya anatoka mtu anaingia mtu tena unaona live kabisa ni level ya juu kabisa ya kujitoa ufahamu na kujikatia tamaa, na pengine ni tatizo la afya ya akili. Kuna mambo wala si ya kawaida. Hata kinyaa 🤮
Hii Ina apply kwa blacks tu mkuu?Wahenga walituambia 'you will reap what you sow' Kudadadeki....!!
Muhimu kujaribu mkuu, mimi nataka 3some kabla sijaukaribisha uzee rasmi😁😁😁
...Du, ikaishaje Mkuu ?Shida ya hawa wadada wana tamaa sana. Kuna jamaa alimshushia kipigo dada mmoja guest sitasahau like tukio. Tukiwa tumelala zetu tumetulia bila kujua kumbe baadhi ya vyumba vinatumiwa kama danguro ghafla tukasikia kelele nipige uniue. Hatukutoka tukawa tunasikilizia ndani badae wakatoana koridoni na meneja wa Hotel akawa anawasulisha, ishu ikawa kumbe YULE DADA ALIPATANA DAU NA JAMAA APIGE 2 - 0 , ILE JAMAA KAFUNGA GOLI LA KWANZA MDADA KAPIGIWA NA MTEJA MWINGINE KAMPOKEA KAMWAMBIA YUPO FREE AKIJUA MPAKA AFIKE JAMAA ATAKUWA KATOKA PASIPO KUJUA MTEJA WA PILI ALIKUWA MITAA YA KARIBU SO NDANI YA DAKIKA 2 AKAPIGA TENA AMEFIKA, SASA MDADA NA TAMAA YA PESA AKAMWAMBIA JAMAA ALIEKUWA NAE NDANI ATOKE NJE ASUBIRI JAMAA AINGIE APIGE KAMOJA HALAFU ARUDI WAENDELEE. JAMAA NAE AKAMWAMBIA HUYO ALIEKUJA NDIO MWAMBIE ASUBIRI NJE MAANA TAYARI YUKO NJE AU NIRUDISHIE PESA NUSU TUISHIE HAPA, MDADA HATAKI KURUDISHA PESA NA ANAKOMAA JAMAA ATOKE NJE KIMBEMBE KIKAWA KIMBEMBE SIO POA ALICHEZEA.
Ile mitaa ni hatari balaaShiva mitaa ya Olololoo!
Hivi yule Masai bado yupo kwenye ile gesti nyuma ya Shiva mameneja wake mapacha " Hassan na Hussein"?