Ndiyo.
La Lisu very simple mkuu.
Ukifaham mnachokifanya nikutoa mimba-mnafanya mauwaji, hutakiwi kabisa kushiriki utowaji mimba ukifahamu fika
unafanya mauwaji ukitaraji Ukifika mahakamani hakimu ataamua kama nikweli au hapana. Unaweza kuhonga na hakimu
akasema hukushiriki kufanya mauwaji bali ulifika kumsaidia mama aliyezidiwa siumesalimika japo unafaham fika ulishirika kuuwa.
Kesi umeshinda kwasababu umehonga na umemrubuni hakimu
-CCM inauwezo mkubwa wa kufanya madhila na ushenzi wa kuhonga nahivyo ikaonekana waananchi wameipitisha kumbe
uraghai na udanganyifu umetumika (hila ya ccm imejificha hapa-Rushwa na utapeli)
UKAWA wasishiriki kupitisha upuuzi, watakuwa wameshiriki na kubariki Katiba mbovu - Inayoiva haraka huoza haraka