Hahahahahaha, naisi mdahalo umepangwa na chama flank.Mbona mwenyekiti alisema tundu ndio wa mwisho na akajibu swali lake vizuri.Mbona lukuvi kaja kuchallange hayo majibu?
tatizo akili zako zime-editiwa na Nape
Alafu wapinzani wakiwa wanaongea king'amuzi kinakata kata.
Mkuu achana na hii biashara ya maparachichi. Kesho ndio mdahalo wa katiba utafanyika.....
Hawa wanafunzi wa UDSM wametia aibu usomi gani huu
Lukuvi na yeye ni zoba..
asee huyu jamaa ni real interahamwe!!
Mkuu achana na hii biashara ya maparachichi. Kesho ndio mdahalo wa katiba utafanyika.....
Chakushangaza anatumia zaidi ya dkk mbili walizopewa meza kuu.
Mkuu achana na hii biashara ya maparachichi. Kesho ndio mdahalo wa katiba utafanyika.....
me nilijua changu tu kumbe na wengine