Pre GE2025 Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!

Pre GE2025 Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ingekua ajabu ya dunia, eti daktari mzima wa falsafa Comrade Dr.Emmanuel Nchimbi kushiriki hicho kinachoitwa mdahalo usio na kichwa wala miguu, na hao vijanaa waliobebeshwa tu majina ya ukatibu mkuu kwenye vyama vyao, lakini kiuhalisia ni shadow SGs, hawana hadhi wala uwezo wa majukumu hayo kitaalamu 🐒
Bwahaa, bwahaaaaa, yaani nimecheka kwa nguvu hadi mtoto wangu kaamka. Tunaposema mnategemea mbeleko ya vyombo vya dola huu ndio ushahidi. Sehemu ambayo hamna mbeleko ya vyombo vya dola hamuwezi kutia team. Nyie mtaishia tu kupora uchaguzi kwa kubebwa na vyombo vya dola. Na siku hivyo vyombo vya dola vikiacha mshindane kwa haki, ndio kiama chenu.
 
Nipo mubashara hapa star tv-, channel.

Odemba Amehuzunika sana.

CCM hovyo kabisa.

CCM inawatu wenye uwezo duni sana,(Kifikra, kimawazo, n. K)
Screenshot_20240830-225043_1.jpg
 
Bwahaa, bwahaaaaa, yaani nimecheka kwa nguvu hadi mtoto wangu kaamka. Tunaposema mnategemea mbeleko ya vyombo vya dola huu ndio ushahidi. Sehemu ambayo hamna mbeleko ya vyombo vya dola hamuwezi kutia team. Nyie mtaishia tu kupora uchaguzi kwa kubebwa na vyombo vya dola. Na siku hivyo vyombo vya dola vikiacha mshindane kwa haki, ndio kiama chenu.
ni ulofa kujadililiana na makatibu vivuli na mapambo 🐒
 
Naangalia mdahalo ila naona Mrangazaji kama anatoa machozi kwa kukosekana makatibu wakuu chanzo kikiwa ni kutofika kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dr. Emmanuel Nchimbi.

Inasikitisha sana ila leo CCM imevuna aibu kubwa sana kwa tukio hili.

Tusubiri drama za kujitetea na kujisaficha baada ya kuharibu.

Anyway, Mungu ana makusudi na kila jambo.
CCM na machawa wao ni wauaji wakubwa. Hawawezi kutokea kwenue mjadala huu waumbuliwe na watanzania. Mikono yao inaturirika damu za watanzania wanyonge wanaowaua kila siku. Mungu atawahukumu sawa sawa na matendo yao maovu.

Unaona sasa baada ya watanzania kuanza kuhoji mauaji, wamewaamuru TANESCO wazime umeme nchi nzima. Mashetani wakubwa wanaizaya!
 
Hata muwaelekeze TANESCO kuzima umeme hamuwezi kuchomoka nyie wauaji wakubwa!
 
Sifa za marehemu🤣🤣🤣
vitoto vidogo visivyo na hadhi yoyote vimesukumwa kama mazuzu na kushinikizwa na viongoz wao eti nendendi mjadiliane kwenye mdalaholo na Dr Nchimbi 🤣

hii kweli kali dah 🤣
 
for sure ningeomba udhuru w kutoshiriki hicho kihoja kisicho na maana yoyote tena kwa wanaoitwa eti makatibu wakuu ambao ninajua fika they are pure shadow SGs,


kwenye hili mbobevu nisingeweza kabisa kumkubalia katibu Mkuu makini sana wa CCM, na kwakweli ningemshauri afutilie mbali wito huo kwenye ratiba za CCM, apuuzilie mbali mdahalo huo, kwani hauna tija wala afya kwa hadhi na siasa za Chama Cha Mapinduzi 🐒
Watanzania tungebubujikwa na machozi aisee!
 
Sema alichofanya nchimbi kakosea, Haiwezekani mtu unaombwa uudhurie mdahalo utaofanyika mwezi ujao alafu unaconfirm kuwa utakuwepo, Unaulizwa siku tano kabla unasema tena ndio utakuwepo alafu unaulizwa siku moja kabla unakataa. Not fair. Uchaguzi utakuwa mtamu hatari
 
Back
Top Bottom