Wanawake sijui tukojeHamna jipya hapo toka kwa Lissu ni mitusi na lawama sizizo na msingi.
Ni sababu gani imefanya afisa masurufu wa makao makuu kulipa wajumbe 400 kwa cash badala ya kutumia teknolojia!!??Hamna jipya hapo toka kwa Lissu ni mitusi na lawama sizizo na msingi.
Mwenyekiti kapotelea wapi ?
Yuko anakunywa Konyagi na kina Masese na Ntobi.Mwenyekiti kapotelea wapi ?
Mbowe kalala mbele😂😂Kutakuwa na mdahalo wa wagombea uenyekiti wa Chadema leo kuanzia saa 3:30 usiku pale Star Tv.
wagombea wanaotarajia kuwepo kwenye mdahalo huo ni pamoja na jabali wa siasa, Tundu Lissu pamoja na Odero Odero.
Freeman Mbowe hatahudhuria mdahalo huo kwasababu ambazo zipo nje ya uwezo wake.
Msimamizi wa mdahalo huo atakuwa Chief Odemba mtaalam wa mahojiano.
View: https://www.youtube.com/watch?v=FfS5cmy-nSk
Live updates zitakujia hapaView attachment 3204664