Pre GE2025 Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Pre GE2025 Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kinacho furahisha kwenye huu mdahalo sio tu nyinyi audience ambao hamumjui Odero.

Hata Lissu leo akihojiwa na Azam alisema hajawahi kuonana naye.

Lakini Odero alihojiwa akasema alimtengeneza Lissu yani ni matunda yake.

Odero ana vinasaba vya ukenya. Kila kilicho kizuri anasema chakwake au ameki influence yeye.
 
"Mabadiliko tunayoyataka nje ya Chama, tunayataka ndani ya Chama...."
Odero,2025.
 
Hamna jipya hapo toka kwa Lissu ni mitusi na lawama sizizo na msingi.
Ni sababu gani imefanya afisa masurufu wa makao makuu kulipa wajumbe 400 kwa cash badala ya kutumia teknolojia!!??
Kwa nini wasitumiwe Makatibu wa Kanda au Mikoa!?
 
Mwenyekiti kapotelea wapi ?
1737142592178.gif
 
Hivi kina Odero sio wakenya??
Mbona Lissu anadai hamfahamu jamani 😹😹

Hawa watu wawili hawajuani mjue
 
Odero: Nikiwa Mwenyekiti nitaendesha mambo kwa uwazi kwa wanachama
 
Likitokea lakutokea Odero akashinda huu uchaguzi nafikiri ndio atakuwa wa kwanza kupinga matokeo🐼
 
Kutakuwa na mdahalo wa wagombea uenyekiti wa Chadema leo kuanzia saa 3:30 usiku pale Star Tv.

wagombea wanaotarajia kuwepo kwenye mdahalo huo ni pamoja na jabali wa siasa, Tundu Lissu pamoja na Odero Odero.

Freeman Mbowe hatahudhuria mdahalo huo kwasababu ambazo zipo nje ya uwezo wake.

Msimamizi wa mdahalo huo atakuwa Chief Odemba mtaalam wa mahojiano.


View: https://www.youtube.com/watch?v=FfS5cmy-nSk

Live updates zitakujia hapaView attachment 3204664

Mbowe kalala mbele😂😂
 
Back
Top Bottom