dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahahahaTuma hizo buku tanotano naye apate chake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaTuma hizo buku tanotano naye apate chake.
Nop naelewa nakuelewa mkuu! Nafurahi mabandiko yako na ni msomi wa mabandiko yakoTaratibu basi mbona kama unanipaka mafuta mkuu
Mdogo wako anaupiga mwng km mayeleeee 😁😁😁😁 mvumilien tu akil itamfunguka mda c mref cha mu mpe mda...Uhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.
Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.
Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuowa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuowa.
😂😂😂wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.
Poapao kakaNop naelewa nakuelewa mkuu! Nafurahi mabandiko yako na ni msomi wa mabandiko yako
Hapana hili jambo sio lakuchekelea mkuumdogo wako anaupiga mwng km mayeleeee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mvumilien tu akil itamfunguka mda c mref cha mu mpe mda...
Kwetu dodoma mimi nakaa Dar Es Salaam kwa Sasa ndomakaz yangu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hujalala home upo wapi mkuu? Mimi hua mwepesi kufungwa kamba ila hii haunifungi mkuu
[emoji23]
Hakuna kitu kama hicho, mandoa yenyewe yautotoniNdoa ni Baraka Mpwa, very soon mambo yake yatamwendea vizuri sana utashangaa
Vyumba viwili, kimoja baba na mama kingine ni mm sebleni ndoalikuwa analala huyu dogoKwahiyo una kazi nzuri na unakaa kwenu?
Nyumba ya wazazi wenu kwanini chumba umepewa wewe tu?
Sio kweliDogo ana akili ndio maana kathubutu kuoa.
Wewe ni muoga
Mkuu inaonekana Ile story kila mwana jamii ilimgusa [emoji120]Kila nikikutana na thread ya mpwayungu village nakumbuka story yake ya Safari Lindi. Nilianza kumfahamu huyu ndugu kupitia story hiyo.
Mwache ale mbususu huku wewe ukizunguka na malori nchi jirani ukitokea BansariniVyumba viwili, kimoja baba na mama kingine ni mm sebleni ndoalikuwa analala huyu dogo
Kaka mtu kwakua yeye yuko chaputa anataka dogo nae afate nyanyo.. dogo kakataaUlitaka genye zake aendelee zimaliza kwa sabunii bafunii?
acha mda umu hukum ndug najua kabla ya kuoa mulimpa ushaur lkn inaewezkn hakaw hajawaelew ... ss mmuombe mungu t ila swala kuomba hukum isiwe mbayaHapana hili jambo sio lakuchekelea mkuu