Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #41
Haya ndomanenoacha mda umu hukum ndug najua kabla ya kuoa mulimpa ushaur lkn inaewezkn hakaw hajawaelew ... ss mmuombe mungu t ila swala kuomba hukum isiwe mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndomanenoacha mda umu hukum ndug najua kabla ya kuoa mulimpa ushaur lkn inaewezkn hakaw hajawaelew ... ss mmuombe mungu t ila swala kuomba hukum isiwe mbaya
Hapana inabidi akomae atafute chakeUna kazi nzuri na allowances za maana lakini una chumba chako kwa wazazi wako ambacho huyo mdogo wako anakaa na mkewe sio!
Nenda upange chumba ujitegemee, hicho chumba chako kwa wazazi wako muachie mdogo wako na mkewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatuma buku 5, kumbe nawewe huna maisha?Uhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.
Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.
Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuowa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuowa.
Hapana ahse sio hivo, dogo kaowa hana kaziKaka mtu kwakua yeye yuko chaputa anataka dogo nae afate nyanyo.. dogo kakataa
Hili nalo naomba mkalitizame
SawaKaka fungua channel ya Tv yako Mana una matukio kila leo
Dogo maisha yake yanaweza kuja nyooka kuliko kaka mtu mleta mada. Kaka anasubir apate hela, ajenge, anunue garii ndo aoneshe jiko lakeeKaka mtu kwakua yeye yuko chaputa anataka dogo nae afate nyanyo.. dogo kakataa
Hili nalo naomba mkalitizame
😂😂😂😂Kule nilienda kusalimia mshukuru mungu nimekujibu kwa staha
Ndoshida hiyo Hakuowa aliokota tuKwa nini usimshauri wewe kama kaka,mpaka ameenda kuowa Hana KAZI....nipange watoto wake lazima uje uwalee weqe
Hakunaga miujiza hiyo you can't become wealth just overnightDogo maisha yake yanaweza kuja nyooka kuliko kaka mtu mleta mada. Kaka anasubir apate hela, ajenge, anunue garii ndo aoneshe jiko lakee
Sindoapo, ngoja nikirudiYeye mwenyewe mzigo harafu analeta mzigo mwingine tafuna MAKOFI huto
Ndio hayo hayaHakuna kitu kama hicho, mandoa yenyewe yautotoni
Malezi mabovu toka kwa wazazi wakoUhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.
Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.
Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuowa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuowa.
Hilo swala mkiliendekeza litakuja kuwa bonge la tatizo huko mbele hapo mkikaa kidogo tu watoto hao itakuaje nani atawahudumia?Sindoapo, ngoja nikirudi
.Moja kwa moja mtakua wavaa kobazi tu
Watoto wanakuwa wanakula kwa bibiHilo swala mkiliendekeza litakuja kuwa bonge la tatizo huko mbele hapo mkikaa kidogo tu watoto hao itakuaje nani atawahudumia?