Mdogo wangu ameoa ilihali hana kazi anakaa kwa wazazi wetu

Mdogo wangu ameoa ilihali hana kazi anakaa kwa wazazi wetu

Uhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.

Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.

Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuowa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuowa.
Unatuma buku 5, kumbe nawewe huna maisha?
Huko Rwanda, Burundi, Uganda na Sudanbunasafiria uganga?
 
Kaka mtu kwakua yeye yuko chaputa anataka dogo nae afate nyanyo.. dogo kakataa

Hili nalo naomba mkalitizame
Dogo maisha yake yanaweza kuja nyooka kuliko kaka mtu mleta mada. Kaka anasubir apate hela, ajenge, anunue garii ndo aoneshe jiko lakee
 
Dogo maisha yake yanaweza kuja nyooka kuliko kaka mtu mleta mada. Kaka anasubir apate hela, ajenge, anunue garii ndo aoneshe jiko lakee
Hakunaga miujiza hiyo you can't become wealth just overnight
 
Uhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.

Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.

Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuowa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuowa.
Malezi mabovu toka kwa wazazi wako
 
Moja kwa moja mtakua wavaa kobazi tu
.
IMG_20220906_084447.jpg
 
Back
Top Bottom