Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120][emoji120][emoji120]Mpwayungu Village, mtu cool / poa sana comments / conversation yake na wanaJF hana jazba wala nini.
Sio Dar Tupo dodomaKama ni Dar basi mnaishi temeke
Aliokota tu wakaletana kitandani yani walitufanyia uhuni wa kipumbavuMbona kulikuwa na muda WA kumshauri KABLA ya kufikia hiyo hatua ya kuoa yaani Hadi anataka kuoa mnamwangalia tu mimi NAHISI labda ni story tu ila mdogo wako Hana mbele Wala NYUMA unashindwaje kumshauri alafu wewe ni kaka yake LAZIMA akuskilize .
DuhSio Dar Tupo dodoma
Sijui anawahi wapi22 kaoa?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Bila kumbukumbu ni shida sana.Mbona hata wewe majuz kati ulikua unalalamika watoto wa dadaako wanakuchungulia ukiwa unabadilisha nguo ukiwa unaishi kwa dadaako? Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
22 kaoa?
Oo sawaNdio. Wanaume wengi sana wanaoa that age.. tatizo maisha ya mjini na elimu ya mzungu imetuharibu vijaja wa mjini.
22 ni age ya kawaida kabisa kuoa
Mtafutie job dogoUhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.
Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.
Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuoa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuoa.
Sifa zimemwacha?🙄 Kakifika miaka 33 kamechoka na mikiki ya Ndoa kanakuja kuhamasisha wengine wasioe....Eti nawashauri msioe jaman Ndoa ni jehanamu😜Sijui anawahi wapi
Sifa zimemwacha?🙄 Kakifika miaka 33 kamechoka na mikiki ya Ndoa kanakuja kuhamasisha wengine wasioe....Eti nawashauri msioe jaman Ndoa ni jehanamu😜
Anamaanisha uumtombe shemeji yakoNiende nae wapi
Sasa kama una afadhali ya kiuchumi si umwezeshe mdogo akoKama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuoa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuoa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona hata wewe majuz kati ulikua unalalamika watoto wa dadaako wanakuchungulia ukiwa unabadilisha nguo ukiwa unaishi kwa dadaako? Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kule nilienda kusalimia mshukuru Mungu nimekujibu kwa staha
Grow up ,sasa unatuambia Sisi unaruhusu nini ?Uhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.
Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.
Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuoa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuoa.
[emoji1][emoji1][emoji1]Moja kwa moja mtakua wavaa kobazi tu