Mdogo wangu ameoa ilihali hana kazi anakaa kwa wazazi wetu

Mdogo wangu ameoa ilihali hana kazi anakaa kwa wazazi wetu

Mbona kulikuwa na muda WA kumshauri KABLA ya kufikia hiyo hatua ya kuoa yaani Hadi anataka kuoa mnamwangalia tu mimi NAHISI labda ni story tu ila mdogo wako Hana mbele Wala NYUMA unashindwaje kumshauri alafu wewe ni kaka yake LAZIMA akuskilize .
Aliokota tu wakaletana kitandani yani walitufanyia uhuni wa kipumbavu
 
Uhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.

Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.

Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuoa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuoa.
Mtafutie job dogo
 
Sifa zimemwacha?🙄 Kakifika miaka 33 kamechoka na mikiki ya Ndoa kanakuja kuhamasisha wengine wasioe....Eti nawashauri msioe jaman Ndoa ni jehanamu😜

Hizo ndoa za mapema. Zinajenga bond sana kwa wanandoa kuliko ndoa za utu uzima.. wanandoa hao wakiishi miaka mitano tu ya ndoa bila kuachana. Ujue wanazeeka pamoja.. tofauti na ndoa za 30s zina ma ex kibao.. wote mnakutana mmekomaa hakuna bond yoyote
 
Uhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.

Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.

Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuoa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuoa.
Grow up ,sasa unatuambia Sisi unaruhusu nini ?
 
Back
Top Bottom