Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #61
Hapana amfukuze tu mkeweMtafutie kazi au mgawie sehemu ya kidogo chako kikamfae na mkewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana amfukuze tu mkeweMtafutie kazi au mgawie sehemu ya kidogo chako kikamfae na mkewe
[emoji38][emoji38] [emoji38] [emoji38]
Hilo kweli sisi ni ombaombaWagogo wapuuzi sana mnaridhika mapema
Umeanza utotoHapana amfukuze tu mkewe
AMemaanisha jini assTaratibu basi mbona kama unanipaka mafuta mkuu
Tumemstiri kwenye niniUnajua kwa nini mwanamke akiolewa anasema amestirika? Huyo dada wala haoni shida hata hela atume babu....yeye anachojua mmemstiri period [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haya huyo bibi kesho asipo kuwepo inakuaje?Watoto wanakuwa wanakula kwa bibi
Hawana mbele wala nyuma ukimaanisha hawana tako/kalio na mshedede/mbususu?Uhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.
Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.
Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuoa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuoa.
Kwani kabla ya kuoa aliwashirikisha na kama ndio mlimruhusu vipi kuoa kama hajaanza kujitegemea bado.Uhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.
Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.
Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuoa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuoa.
Mbona kulikuwa na muda WA kumshauri KABLA ya kufikia hiyo hatua ya kuoa yaani Hadi anataka kuoa mnamwangalia tu mimi NAHISI labda ni story tu ila mdogo wako Hana mbele Wala NYUMA unashindwaje kumshauri alafu wewe ni kaka yake LAZIMA akuskilize .Uhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.
Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.
Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuoa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuoa.
uache kutuma uone masimango!Uhali gani wanajamii. Nina mdogo wangu ana miaka 22 ameoa mwezi uliopita kiufupi walichukuana tu baada ya kupendana na mdada mmoja yupo mitaani Sasa ubaya nikwamba hana kazi yoyote yeye na mkewe wapo tu home chumba chenyewe wanalala chumbani Kwangu Sema mimi nina miezi kama saba sijarudi home.
Anasubiri tuwatumie wazazi hata elfu tano nawao wale chakula kupitia hiyo pesa, hawana nyuma wala mbele kimsingi ni joblessest. Wanatia aibu nae mwanamke mwenyewe niwamitaani tu.
Nawaombea maisha mema ila nawahurumia kesho yao. Kama tu mimi kaka yao nina kazi nzuri yenye pesa nzuri nikisafiri tu posho nene ila bado sijajipanga kuoa lakini huyu dogo sijui ibilisi gani kamshawishi kuoa.