Wanagawa mbususu bila hiana. Ukitongoza Mnyakyusa akakunyima, basi una nuksi ya kijijiSasa wanyaki si ndio ma wife material kabisa boss?? Heshima, adabu, utii ndio nyumbani . Hata ile siku ya pete wanawake ndio huwa tunapiga goti.
Si kweli.Wabena na kinganz ni walaji wa ng'ing'i aka numbu tu.Bora happy mkuu...wabena ni nomaaa
Tuache hizo mada sijui kichawi , ila wabena ni kati ya wanawake bora sana kwa wale waoaji.Aah...usiamini Ila upo...sema hujawah kukutana na wa aina hyo
Aah kwa mimi siwez mshauri mtu aoe mmbenaTuache hizo mada sijui kichawi , ila wabena ni kati ya wanawake bora sana kwa wale waoaji.
Nimekupongeza ustaadh kwa uamkaji wako wa busara.Tuache hizo mada sijui kichawi , ila wabena ni kati ya wanawake bora sana kwa wale waoaji.
Sijawahi kuwa ustaadh mkuu wala mkristo😁😁 .Nimekupongeza ustaadh kwa uamkaji wako wa busara.
Sawa nilikosea.Wewe ni kibaka kama mkuu kiranga?Sijawahi kuwa ustaadh mkuu wala mkristo😁😁 .
Wanyakyusa wanaongea mno, angalia humu jf wanawake wa kinyaki wana midomo sanaKitu pekee dada zangu hawapoi ni kwenye mdomo tu, usipowajibika unapigiwa mdomo 24/7
😂Tumuombee mdogo wake mtoa mada!Sasa wanyaki si ndio ma wife material kabisa boss?? Heshima, adabu, utii ndio nyumbani . Hata ile siku ya pete wanawake ndio huwa tunapiga goti.
Ukipigwa na kitu kizito na mmoja sio kwamba ni wote wapo hivyo mkuu, ila wabena wengi wao ni wanawake bora wanaweza kuvumilia mikiki ya ndoa na niwachapa kazi na unaweza kuanza nao maisha katika hali yoyote ya kiuchumi bila kebehi ,dharau na masimango na ukatoboa bila stress.Aah kwa mimi siwez mshauri mtu aoe mmbena
Kuishi na mwanamke ni lazima kwanza uwe na akili timamu.Laa sivyo atakuacha unacheza bao yeye akauze ndizi Daslam.Mm nadhani tatizo sio mnyakyusa tatizo pia ni mwanaume yupoje anaishi nae vipi?
Ongezea wana tako na titiSasa wanyaki si ndio ma wife material kabisa boss?? Heshima, adabu, utii ndio nyumbani . Hata ile siku ya pete wanawake ndio huwa tunapiga goti.
Na tumbo🤣Ongezea wana tako na titi
Kwamba ikiwezekana hicho kikombe kimuepuke siyo?🤣🤣🤣😂Tumuombee mdogo wake mtoa mada!
Mimi namuombea maji ya kunywa tu.Mengne muendelee nayo.😂Tumuombee mdogo wake mtoa mada!
Sasa huu ni uongo 💯Wanagawa mbususu bila hiana. Ukutongoza Mnyakyusa akakunyima, basi una nuksi ya kijiji
Ewaaaaaahhh wapewe maua yao kwakweli.Ongezea wana tako na titi
Kwa hiyo unakana?Sasa huu ni uongo 💯