Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Waliotunga hiyo sheria na katiba ya kuruhusu hayo walikuwa wajinga? Hawana alikili?Tanzania hii ukiwa kiherehere kuingilia shughuli za watu lazima upotee Kuna wale wanajiita eti wanapigania haki hahahaha hivi haki inapiganiwa Kwa mdomo ndio maana mtandelea kupotezwa sababu ni viherehere kuingiliwa mingo za watu ukitaka kuishi Kwa amani hapa tanzania ni kutafuta hela na kuishi maisha Yako usijiingize kwenye mambo yanaitwa siasa mdomo unaponza mwisho wa siku unakutwa pembeni ya ufukwe wa bahari
Hahaha endelea kukemea jamii forum 🤣🤣🤣Hatutaacha kukemea na kukosoa. Watawala lazima wajifunze kuheshimu uhai wa watu
Tanzania ukiwa na mdomo lazima uliwe kichwaWaliotunga hiyo sheria na katiba ya kuruhusu hayo walikuwa wajinga? Hawana alikili?
Macho Yako yana matege wewe uoni vizuri au ndio maisha magumu🤣🤣🤣🤣Sio tanzania ni Tanzania.
Hivi we shule ulienda kweli?
Elimu yako tu ya kuunga.
Kwa hiyo tanzania ni lawless? Hizi katiba na sheria ni geresha?Tanzania ukiwa na mdomo lazima uliwe kichwa
Tanzania haihitaji viherehere full stop 🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo tanzania ni lawless? Hizi katiba na sheria ni geresha?
wanasema wanapigania uhuru sijui uhuru wa nani anayetawaliwa nchi iko huru we unaleta mdomo eti natafuta uhuru yaani unashindwa kutafuta hela unaanza mambo yasiyo na maana unauweka rehan uhai wako?Tanzania hii ukiwa kiherehere kuingilia shughuli za watu lazima upotee. Kuna wale wanajiita eti wanapigania haki hahahaha hivi haki inapiganiwa k.wa mdomo ndio maana mtaendelea kutupwa ufukweni sababu ni viherehere kuingiliwa mingo za watu ukitaka kuishi kwa amani hapa Tanzania ni kutafuta hela na kuishi maisha yako usijiingize kwenye mambo yanaitwa siasa
Mdomo unaponza mwisho wa siku unakutwa pembeni ya ufukwe wa bahari.
Siri ni kwamba sio viherehereUlisha sikia mtoto wa mwanasiasa yeyote anatukana viongozi au kuikashifu Serikali iliyopo madarakani?.
Siri ya nini cha kufanya kwenye siasa kiko hapo
Oh basi tanzania inahitaji sana. Sheria zimeruhusu. Until then wataibuka wengi zaidi na zaidiTanzania haihutaji viherehere full stop 🤣🤣🤣🤣
Hivi unaelewa ni sehemu zipi unapaswa kuanza na herufi kubwa?Macho Yako yana matege wewe uoni vizuri au ndio maisha magumu🤣🤣🤣🤣
Africa hamna sheria wewe utapoteza mdaOh basi tanzania inahitaji sana. Sheria zimeruhusu. Until then wataibuka wengi zaidi na zaidi
Macho Yako yanamatege wewe🤣🤣🤣🤣Hivi unaelewa ni sehemu zipi unapaswa kuanza na herufi kubwa?
Ndio maana nakuambia shule huna, huwezi andika tanzania andika Tanzania.
Hahahaha yaani eti unapigania haki Kwa mdomo 🤣🤣🤣🤣🤣Jambo n moja tuu, kujitoa mhanga na mabomu huku umemkumbatia kiongozi unayemuona anazingua ufe nae kiume na sio kujifanya mharakati wa mitandaoni.
Mbona ameandika Tanzania tangu mwanzo mkuu!Hivi unaelewa ni sehemu zipi unapaswa kuanza na herufi kubwa?
Ndio maana nakuambia shule huna, huwezi andika tanzania andika Tanzania.