Mdude Nyagali: Bil 600 zimekwapuliwa huku makarani wakinyimwa posho na bado zoezi halijakamilika kwa wakati

Sitetei ila kumbuka China hawajafanya importation. Na wengi wa wakazi wake wanataarifa za uhakika za makazi ukilinganisha na huku tz.
 
na siyo hivo two baada ya kuona zoezi linafeli makarani dodoso nyingi wamejaza uongoo
Mimi walinihesabu sehemu tofauti na hapa nilipo leo, ila kuna karani amefika hapa muda sio mrefu nimemskia anaongea na mdada wa kazi wa jirani yangu anamuambia dada wa kazi amtajie taarifa za hiyo nyumba...yani taarifa alizochukua ni jina la huyo dada, jina la mtoto aliyekuwa anacheza hapo nje na anuani ya nyumba, baada ya hapo akatembea mbele.
 
This makes sense,hapa kuna uongo na kukwama kwa zoezi kukamilika kwa wakati.
 
Sensa ya maKaratasi siku moja ya kidigital na software kibao siku 7?
 
Hata kama wanamuona Mdude aliathirika na mbu wa jela lakini hapa kaongea pointi
Programme kama hizi huwa zinatumika kufanya upigaji tena wa kidola..

Mimi ni mtetezi mkubwa wa mipango ya Serikali ila kwa hili inatakiwa maelezo yaliyojitosheleza siwezi kulielezea.

Serikali itoe taa rasmi ya matumizi ya bil.600 kwenye sensa.
 
Programme kama hizi huwa zinatumika kufanya upigaji tena wa kidola..

Mimi ni mtetezi mkubwa wa mipango ya Serikali ila kwa hili inatakiwa maelezo yaliyojitosheleza siwezi kulielezea.

Serikali itoe taa rasmi ya matumizi ya bil.600 kwenye sensa.
Uko sahihi na mimi nimekuwa nikikuunga mkono.

Sisi wachache tunaopwenda haki na maendeleo kwa taifa lake tusichoke kusema.
 
Jamani mi navuja jasho kipato kidogo nimejiwekea akiba ten kwenye cmu nikitaka kutoa wamekata parefu,mtoto shule ya kata ananitowa jasho halafu wengine wanapiga mihela tu inatia hasira.
 
Kuna mambo mengine yanashangaza sana ,siku ya kwanza walisema wamewafikia 15% then wakaja kusema wamewafiki 93% kama wanajua idadi ya waliowafikia inakuwaje wawahesabu tena? Utawekaje % bila kujua proportional yake? Hapa tumepigwa.
 
Mdude naye naona hana akili tu...hizi siku saba ni kwaajili ya sensa ya majengo.

Ujinga ni mzigo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
ndo hivo wameona mda unawaacha ikabidi wachangamke
 
Nasema hivi sababu lawama Kila siku kwa Samia wakati sisi wananchi tuna platform ya maamuzi ambayo ni bunge, ona US kipindi cha Trump au Kenya walidhibitiwa sana na bunge + mahakama maana ndio sauti ya wananchi.

Kuendelea kulaumu Rais wakati chombo Chenye kazi ya "kumnyoosha" Rais kimeziba mdomo hakiwezi kutupeleka kokote.

Kwani nani hakujua Jk alikua dhaifu? Ila mbona bunge lilinyoosha sana mafisadi? Suluhisho tunalo ila tunazunguka zunguka tu!! Hatari nayoiona tukiweka hopes kwa Rais itafika 2030 wanatupa say Mwigulu kuwa Rais huku bungeni wamejaa mabubu unadhani unafuu utatoka wapi!!

Tuache kuangukia kwenye mitego ya CCM, wamefeli sio kwenye Urais tu hata bungeni na mabaraza ya madiwani.
 
Lianzishe basi wewe "key board warrior"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…