Mdude Nyagali, shikilia hapo hapo na usipoe

Mdude Nyagali, shikilia hapo hapo na usipoe

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Kijana tunajua spirit yako ni moto sana, Hujawahi kuwa dhaifu hata siku moja, toka umetekwa mara ya kwanza na hata ulipokaa jela zaidi ya mwaka na nusu.

Walitumia silaha yao ya kuteka, kutesa na kukubambikia madawa ya kulevya, walipoona haupoi, wakaamua kukubambikia kesi ya kubumba.

Hawa CCM na Vijana wao ombaomba wanafikiri kutoka kwako jela ni hisani ya Mama, eti umpigie magoti, ni mtu dhaifu pekee anaweza kufanya ujinga huo.

Siku ukiona wanaanza kukusufu kwa maneno matamu jua umekwishwa, watakuzodoa kwa style nyingine, UMEUFYATA. na watakutolea mfano.

Mdude Shikilia hapo hapo usiachie, usipoe, itabidi tu wakuzoee.
 
Yaani unamteka mtu mara 2, unamtesa, haitoshi, unampa na makosa ya uongo ya madawa ya kulevya (wapo wanaamini Mdude ni drug dealer), ametunzwa gerezani siku 414, baadae mahakama imemuachia huru, anatoa hisia zake, wapambe mnakuja na story za "staha".
 
Yaani unamteka mtu mara 2, unamtesa, haitoshi, unampa na makosa ya uongo ya madawa ya kulevya (wapo wanaamini Mdude ni drug dealer), ametunzwa gerezani siku 414, baadae mahakama imemuachia huru, anatoa hisia zake, wapambe mnakuja na story za "staha".
Hapana, Mdude anapaswa kubadilika, siyo kwa sababu ya kuongea aliyoyaongea juzi akimtisha rais Samia, bali anapaswa kubadilika kitabia sababu ni mtu asiye na hoja na ni mropokaji tu.

Tabia hii haijaanza baada ya kutokewa na hayo bali ndiyo namna amekua akiitumia wakati wote.

Lama ni lazima kwa yeye kuendelea na tabia zake ni vyema, lakini CHADEMA hawapaswi kumkumbatia na kumpatia platform. Inakwaza sana kuona kundini mnakua na mtu kama huyo, ambaye unamuona hana tofauti na akina Heri James, Makonda, Sabaya, Mwigulu na akina Kigwangala
 
Ndio wanatumia hicho kigezo cha kumtoa jela "kwa hisani" kwa makosa ya kubambikia kama sababu ya kumfunga mdomo, kama Mdude alitukana waoneshe hilo tusi alilotukana, sio kuruhusu akili zao ziongozwe na hisia bila kutumia logic.

Hii nchi ina sheria na taratibu zake, japo wamezoea kuzivunja ni wakati wao kwenda mahakamani kumshtaki Mdude kwa kosa wanaloliona wao, lakini sio kupigiana makelele ya kutishana bila sababu.
 
Hapana, Mdude anapaswa kubadilika, siyo kwa sababu ya kuongea aliyoyaongea juzi akimtisha rais Samia, bali anapaswa kubadilika kutabia.
Tabia hii haijaabza baada ya kutokewa na hayo bali bdiyo namna amekuacakiitumia wakati wote.

Lama ni lazima kwa yeye kuendelea na tabia zake ni vyema, lakini CHADEMA hawapaswi jumkumbatia na kumpatia platform. Inakwaza sana kuona kundini mnakua na mtu kama huyo, ambaye unamuona hana tofauti na akina Heri James, Makonda, Sabaya, Mwigulu na akina Kigwangala
JK alikuwa mkarimu sana kwa Mbowe na Lissu akawaalika ikulu wakanywa chai na sambusa, walipotoka hapo Mbowe akasema JK ni kigeugeu.

Mama Samia nae kachukua njia ya ukarimu hivyo matusi itabidi ayazoee. JPM hakulea huu upuuzi. Walilima kwa meno hawa aina ya Mdude.
 
Kijana tunajua spirit yako ni moto sana, Hujawahi kuwa dhaifu hata siku moja, toka umetekwa mara ya kwanza na hata ulipokaa jela zaidi ya mwaka na nusu.

Walitumia silaha yao ya kuteka, kutesa na kukubambikia madawa ya kulevya, walipoona haupoi, wakaamua kukubambikia kesi ya kubumba.

Hawa CCM na Vijana wao ombaomba wanafikiri kutoka kwako jela ni hisani ya Mama, eti umpigie magoti, ni mtu dhaifu pekee anaweza kufanya ujinga huo.

Siku ukiona wanaanza kukusufu kwa maneno matamu jua umekwishwa, watakuzodoa kwa style nyingine, UMEUFYATA. na watakutolea mfano.

Mdude Shikilia hapo hapo usiachie, usipoe, itabidi tu wakuzoee.
Nyie ndio mnamponza....
alafu akiwekwa nyuma ya nondo.....
hampeleki hata uji.....
kenge kweli nyie
 
😎😎😎😎😎😏🙄😶😑😑
 
Hapana, Mdude anapaswa kubadilika, siyo kwa sababu ya kuongea aliyoyaongea juzi akimtisha rais Samia, bali anapaswa kubadilika kutabia.
Tabia hii haijaabza baada ya kutokewa na hayo bali bdiyo namna amekuacakiitumia wakati wote.

Lama ni lazima kwa yeye kuendelea na tabia zake ni vyema, lakini CHADEMA hawapaswi jumkumbatia na kumpatia platform. Inakwaza sana kuona kundini mnakua na mtu kama huyo, ambaye unamuona hana tofauti na akina Heri James, Makonda, Sabaya, Mwigulu na akina Kigwangala

Ujaenda magereza Fala wewe! Ukitoka na kwa kosa lisilo halali inauma sana! Hamjui tu!
 
Keyboard worrior
Kijana tunajua spirit yako ni moto sana, Hujawahi kuwa dhaifu hata siku moja, toka umetekwa mara ya kwanza na hata ulipokaa jela zaidi ya mwaka na nusu.

Walitumia silaha yao ya kuteka, kutesa na kukubambikia madawa ya kulevya, walipoona haupoi, wakaamua kukubambikia kesi ya kubumba.

Hawa CCM na Vijana wao ombaomba wanafikiri kutoka kwako jela ni hisani ya Mama, eti umpigie magoti, ni mtu dhaifu pekee anaweza kufanya ujinga huo.

Siku ukiona wanaanza kukusufu kwa maneno matamu jua umekwishwa, watakuzodoa kwa style nyingine, UMEUFYATA. na watakutolea mfano.

Mdude Shikilia hapo hapo usiachie, usipoe, itabidi tu wakuzoee.
 
Hapana, Mdude anapaswa kubadilika, siyo kwa sababu ya kuongea aliyoyaongea juzi akimtisha rais Samia, bali anapaswa kubadilika kutabia.
Tabia hii haijaabza baada ya kutokewa na hayo bali bdiyo namna amekuacakiitumia wakati wote.

Lama ni lazima kwa yeye kuendelea na tabia zake ni vyema, lakini CHADEMA hawapaswi jumkumbatia na kumpatia platform. Inakwaza sana kuona kundini mnakua na mtu kama huyo, ambaye unamuona hana tofauti na akina Heri James, Makonda, Sabaya, Mwigulu na akina Kigwangala
Nakuunga mkono mkuu. Ustaarabu ni muhimu sana. Lugha za maudhi hazifai. Mdude anatakiwa kuchagua maneno ya kutumia la sivyo atakuwa anaiharibia CHADEMA.
 
Nyie ndio mnamponza....
alafu akiwekwa nyuma ya nondo.....
hampeleki hata uji.....
kenge kweli nyie
Utawala wa CCM usiotii sheria umeshawa dumaza akili, sasa mnawaza jela bila kujiuliza kama wanaokwenda huko wana makosa au hawana, kama mtu ana kosa na likithibitika mahakamani apelekwe, lakini sio kupelekwa jela kwa kuonewa, amka usingizini.
 
Mdude Nyangali, nashauri tu uwe na kiasi
Inatosha kwa ushauri huu. Lazima tujifunze kuheshimiana kama Watanzania. Lazima tujifunze kuchukuliana. Ni dhahiri Mdude kaumizwa sana na serikali hii lakini sasa yuko huru, hapaswi kupoa, lakini hapaswi kupayuka. Ana uwezo mkubwa wa kushawishi, asiutumie vibaya akapunguza wanaomwamini.
 
Inafikirisha Sana kwahiyo hawa wafanyabiashara walionza Kufanya biashara kimataifa wameacha? au siasa ni zaidi ya biashara?
Hivi ukikamatwa kwa tuhuma za kijinai inakuwaje uhusishe na Ikulu?
Hivi ukiwa mwanasiasa Nguli au mwanaharakati unakuwa ni bingwa au boss wa Serikali ana unastahili kuogopwa?
Nadhani chuki dhidi ya Serikali ni matakwa binafsi kwani Serikali yoyote itakayo undwa haiwezi kukosa wapinzani.
Ushauri pambana bila chuki ILI ukifanikiwa isije ikatokea chuki za kiwango kilekile ulichokuwanacho dhidi yako.
 
Back
Top Bottom