Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
- Thread starter
- #121
Shida yenu nyie Rangi ya Kabichi akili zenu zipo kwenye vyeo tu, gamuwezi kufanya kitu mpaka mpate vyeo, huo ni ulemavu wa akili, Mdude Shilikila hapo hapo dawa iwaingie.Mngekuwa mnaamini katika uwezo wake, mgekuwa tayari mmempa nafasi huko CHADEMA. Hamuwezi kufany hivyo sababu mnajua ni liability, na toilet paper mnayoitumia tu chooni lakini huwezi kuileta sitting room kufutia sahani😀. Mnapata dhambi. Mdude alipata misuko suko muda mrefu hakuna watu walikuwa wanamjali. Walipoona kuna dalili ya kuachiliwa, mkaona hapa hapa tuchomoze tena, mnamtumia mnatupa huko. Mdude ni nobody ndani ya CHADEMA. Angelijua hilo angetulia