puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 1,001
- 2,010
Vipi akishtakiwa kwa kosa la kumkashifu raisi aliyeko madrakani, lakini pia kumtishia maisha akaona haitoshi kumdhalilisha aliyekuwa raisi wa awamu ya tano (Ambae sasa ni marehemu) huoni nimakosa matatu yaliyoshiba yanayomtosha kurudi alikotoka kupigwa mvua za kutosha.
Nafikiri hawa ndio wapinzania wachache wanaofanya upinzania uonekane ni watu wa hovyo, wanashindwa kuelewa misingi ya harakati ni kuwa na hoja madhubuti kwa lengo la kuikosoa serikali pasipo kuvuruga amani ya nchi, wala kuleta udharirishaji na migogoro isiyo na lazima.
Chadema wawe makini na hawa watu watapoteza dira na malengo waliyojiwekea kuelekea kuiongoza nchi.
Nafikiri hawa ndio wapinzania wachache wanaofanya upinzania uonekane ni watu wa hovyo, wanashindwa kuelewa misingi ya harakati ni kuwa na hoja madhubuti kwa lengo la kuikosoa serikali pasipo kuvuruga amani ya nchi, wala kuleta udharirishaji na migogoro isiyo na lazima.
Chadema wawe makini na hawa watu watapoteza dira na malengo waliyojiwekea kuelekea kuiongoza nchi.