Mdude Nyagali, shikilia hapo hapo na usipoe

Mdude Nyagali, shikilia hapo hapo na usipoe

Chama cha mapinduzi (CCM) historia iko wazi kuwa hamjawahi kuwa na siasa za kistaarabu.

Cha ajabu leo mnamshalia Mdude Nyagali kuwa ana siasa chafu.

Ni lini CCM ilifanya siasa za kistaarabu?

Sio nyie mliotia vurugu kule Hai chini ya Ole Sabaya kila mara ambapo Mbowe alifanya mikutano ya nje au ndani?

Sio nyie mliowapiga wapinzani kwa mawe kwenye chaguzi za marudio kipindi cha Magufuli?

Sio UVCCM waliokuwa wakitoa kauli chafu majukwaani kuwasema wapinzani?
 
Mdude ni mfano halisi wa wana chadema walivyo!

Angalau Mbowe anaweza kuwa na siasa za kistaarabu! Lakini mtu kama Lisu akili yake ni kama hiyo ya Mdude!
 
Mdude ni mfano halisi wa wana chadema walivyo!

Angalau Mbowe anaweza kuwa na siasa za kistaarabu! Lakini mtu kama Lisu akili yake ni kama hiyo ya Mdude!
Magufuli ndio alikuwa mwenyekiti wa CCM na rais wa nchi, alisema mtu asiye na hela abaki na mavi yake nyumbani, je taswira ya ccm ni ipi hapo kutokana na kauli za aliyekuwa mwenyekiti wao?
 
Mlitaka tuwape mimba wake zenu ndio mjue tumefanya maendeleo. By Kheri James.
Kama mkileta fyoko nitaanza kupiga shangazi zenu. By laanatullah mwendazake
Nitahakikisha Membe, Zitto na January Makamba mnakuwa na shedo midomoni na makalio makubwa matakoni. By Musiba
Huo upuuzi wote haukuwahi kukemewa.
Wembe uleule ni wimbo maarufu sana wa sisiemu
 
Mdude ni mfano halisi wa wana chadema walivyo!

Angalau Mbowe anaweza kuwa na siasa za kistaarabu! Lakini mtu kama Lisu akili yake ni kama hiyo ya Mdude!

Unajumlisha na Malisa GJ? kwahiyo unataka kusema CCM wote wana akili mbovu? Thadei Ole Mushi mbona yupo CCM lakini michango yake ni positive haipo kusifia sifia chama bila mpango.
 
Basi tunaendelea kusubiri ualimu wa Mdude kwenye siasa, maana inaonekana CHADEMA wanaamini kwamba Mdude anaweza kuwa ndiye mwalimu MZURI wa siasa kwa CCM.
 
Chama cha mapinduzi (CCM) historia iko wazi kuwa hamjawahi kuwa na siasa za kistaarabu.

Cha ajabu leo mnamshalia Mdude Nyagali kuwa ana siasa chafu.

Ni lini CCM ilifanya siasa za kistaarabu?

Sio nyie mliotia vurugu kule Hai chini ya Ole Sabaya kila mara ambapo Mbowe alifanya mikutano ya nje au ndani?

Sio nyie mliowapiga wapinzani kwa mawe kwenye chaguzi za marudio kipindi cha Magufuli?

Sio UVCCM waliokuwa wakitoa kauli chafu majukwaani kuwasema wapinzani?
Vyama vyenye siasa safi hapa Afrika na vinavyojua kupanga mambo viko vitatu tu
1. CCM

2. ZANU PF

3. ANC
 
Screenshot_20210704-141014.png
 
Leo kusemwa Samia imekuwa jinai upumbavu mtupu.

Samia ni nani yeye asisemwe cheo cha urais hakiwezi kumfanya mtu asisemwe

Walitukanwa mitume na manabii ije kuwa samia?

Mbowe & Lissu alitukanwa na wakina Heri james,polepole, Makonda na Musiba tena adi kutishiwa kuuwawa! Jamhuri ikakaa kimya Leo ndio wanajifanya kuona!!

Lazima Rais asemwe rais yupo pale tumseme kama hataki ajiuzulu!!
 
Magufuli ndio alikuwa mwenyekiti wa CCM na rais wa nchi, alisema mtu asiye na hela abaki na mavi yake nyumbani, je taswira ya ccm ni ipi hapo kutokana na kauli za aliyekuwa mwenyekiti wao?
Hiyo haiondoi tabia mbovu ya Lisu na Mdude
 
Chama cha mapinduzi (CCM) historia iko wazi kuwa hamjawahi kuwa na siasa za kistaarabu.

Cha ajabu leo mnamshalia Mdude Nyagali kuwa ana siasa chafu.

Ni lini CCM ilifanya siasa za kistaarabu?

Sio nyie mliotia vurugu kule Hai chini ya Ole Sabaya kila mara ambapo Mbowe alifanya mikutano ya nje au ndani?

Sio nyie mliowapiga wapinzani kwa mawe kwenye chaguzi za marudio kipindi cha Magufuli?

Sio UVCCM waliokuwa wakitoa kauli chafu majukwaani kuwasema wapinzani?
kwamba mdude aifundishe ccm uhuni!!!

hata yeye akisoma ulichoandika hapa atakushangaa.
 
bahati mbaya au nzuri mwamba huwa anapata wafuasi wengi sana wanaompigia vuvuzera,kikinuka wanasambaa na kumwacha mwenyewe anapambana na kimeo chake.
 
Back
Top Bottom