Mdude Nyagali, shikilia hapo hapo na usipoe

Mdude Nyagali, shikilia hapo hapo na usipoe

Aman iwe nanyi,

Kila raia lazima awajibike kuilinda na kuitetea katiba. Yoyote anayejaribu kuvunja eitha kwa kujua ama kutojua katiba yetu na sheria zetu lazima awajibishwe (anyolewe kwa wembe).

Sheria iliyounda vyama vya siasa inatamka wazi kuwa vyama vyote viko huru kufanya siasa kwa uwazi with no exceptional.

Sasa kitendo cha rais Kutamka bila kuweka rejea ya kikatiba ama kisheria juu ya kwanini hataki kuruhusu mikutano wa kisiasa na pia kushindwa kuitekeleza sheria ya 2012 inayotaka kuundwa kwa katiba mpya huko ni kutaka kulichezea taifa.
 
Yaani unamteka mtu mara 2, unamtesa, haitoshi, unampa na makosa ya uongo ya madawa ya kulevya (wapo wanaamini Mdude ni drug dealer), ametunzwa gerezani siku 414, baadae mahakama imemuachia huru, anatoa hisia zake, wapambe mnakuja na story za "staha".
Wangevaa viatu vyake wangeelewa. Kwa mujibu wa maaelezo ya mdude mwenyewe, inaonekana watesi wake walidhamilia kumpa ulemavu wa kudumu kama siyo kummaliza kabisa. Simulizi yake ya aliyofanyiwa akiwa magereza kiukweli inatia hasira.
 
Mkuu alipokuwa lupango ulimpelekea hata kipande cha sabuni ya jamaa........au unamjaza maneno huku wewe umejificha nyuma ya keyboard.
 
Mnamwacha mdude anaongea jukwaani, nyie mnakuja kwa kificho nyuma ya keyboard kumjaza upepo, kwa kweli hamumtendei haki bwana mdude......
 
Mnamwacha mdude anaongea jukwaani, nyie mnakuja kwa kificho nyuma ya keyboard kumjaza upepo, kwa kweli hamumtendei haki bwana mdude......
Kwa hiyo tunaomkosoa mama tujitayarishe kushughulikiwa kwa style ile ile ya kutekwa, kuteswa na kupotezwa! Kijana Ben Saanane alipohoji UPhD wa dhalimu mkuu mwendazake alipotea na hadi leo kilio cha wazazi wake ni kuoneshwa tu alikozikwa! Kumbe hii ndiyo maana ya kazi iendelee! Likizo ya Kikosi cha wasiojulikana ndio imekwisha hivyo na bila shaka tayari orodha inatayarishwa kwani msitu tayari umeandaliwa!
 
Mpaka kina Ney & Roma wakampost kumuombea atoke jela uko kwa mabasha zake aafu anakuja kuongea upuuz mbele ya Hadhira aisee CDM ingekua na uongozi mzuri ingeomba radhi ata kwenye mitandao ru inatosha ila kauli ya mtu mmoja mnuka shahawa za nyampara anapewa nafasi ya kuongea anaanza kutoa maneno ya kejeli aisee mnafanya CDM wote waonekane HAMNAZO bado nawacctza sana viongozi wa CDM waombe radhi ULIMI ULIMPONZA MWANADAMU siku zoote MDUDE MDUDE MDUDE UMEZINGUA SANAA kwa kauli zako
 
Huyu mama kama wnataka heshima basi aanze kwa kuheshimu katiba ya nchi.

Vinginevyo siyo wembe wa Mdude tu ndiyo utamnyoa, hata mm nitamnyoa huyu mama kwa kiwembe changu.
 
kalipie kipindi kwenye redio/tv nitakuja kuzungumza mimi mwenyewe THE LOST
Kweli mkuu, isionekane ni mtu mmoja tu anaonekana anaongea kwa hisia na kwa uwazi......inaweza kufika muda akaelemewa na akawa mawindo ya wasiojulikana.
 
Yaani unamteka mtu mara 2, unamtesa, haitoshi, unampa na makosa ya uongo ya madawa ya kulevya (wapo wanaamini Mdude ni drug dealer), ametunzwa gerezani siku 414, baadae mahakama imemuachia huru, anatoa hisia zake, wapambe mnakuja na story za "staha".
Juzi nilikaa karibu naye ile midomo kama anatumia kitu aisee!
 
Kweli mkuu, isionekane ni mtu mmoja tu anaonekana anaongea kwa hisia na kwa uwazi......inaweza kufika muda akaelemewa na akawa mawindo ya wasiojulikana.
Hakuna wasiojulikana hao mwenda zake aliondoka nao.amina.
 
JK alikuwa mkarimu sana kwa Mbowe na Lissu akawaalika ikulu wakanywa chai na sambusa, walipotoka hapo Mbowe akasema JK ni kigeugeu.

Mama Samia nae kachukua njia ya ukarimu hivyo matusi itabidi ayazoee. JPM hakulea huu upuuzi. Walilima kwa meno hawa aina ya Mdude.
Ahahahahaha alipoulizwa Mzee Wasira kuwa vipi tumeona mmewakaribisha wapinzani Ikulu, akajibu 'Walikuja kwa ajili ya Juice hawana lolote'

Ahahahah nilicheka sana, kwa ufupi hii nchi au hizi nchi za Kiafrika ukijitia kuwa namna gani haikusaidii chochote muhimu kufanya yako na kulala mbele-Wazee wamenielewa
 
Aman iwe nanyi,

Kila raia lazima awajibike kuilinda na kuitetea katiba. Yoyote anayejaribu kuvunja eitha kwa kujua ama kutojua katiba yetu na sheria zetu lazima awajibishwe (anyolewe kwa wembe).

Sheria iliyounda vyama vya siasa inatamka wazi kuwa vyama vyote viko huru kufanya siasa kwa uwazi with no exceptional.

Sasa kitendo cha rais Kutamka bila kuweka rejea ya kikatiba ama kisheria juu ya kwanini hataki kuruhusu mikutano wa kisiasa na pia kushindwa kuitekeleza sheria ya 2012 inayotaka kuundwa kwa katiba mpya huko ni kutaka kulichezea taifa.
Mikutano hapana Kuna UVIKo-19
 
Back
Top Bottom