Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WEMBE NI ULEULE!Vipi akishtakiwa kwa kosa la kumkashifu raisi aliyeko madrakani, lakini pia kumtishia maisha akaona haitoshi kumdhalilisha aliyekuwa raisi wa awamu ya tano (Ambae sasa ni marehemu) huoni nimakosa matatu yaliyoshiba yanayomtosha kurudi alikotoka kupigwa mvua za kutosha..
Huyo dogo ni mpumbavu anatakiwa mabadiliko aisee! Hawa ndio wanasababisha vijana wa CHADEMA kuitwa nyumbu!Hapana, Mdude anapaswa kubadilika, siyo kwa sababu ya kuongea aliyoyaongea juzi akimtisha rais Samia, bali anapaswa kubadilika kitabia sababu ni mtu asiye na hoja na ni mropokaji tu.
Tunamdanganya,, Siku wakimrundika kusikojulikana atakuwa peke yake Sisi tunaendelea kutafuna dona, shauri yake!WEMBE NI ULEULE!
hakuna lugha ingine ccm watakayo ielewa.
Bila watu majasiri kujitolea muda, radilimali na hata uhari, uhuru haungepatikana ktk jamii mbalimbali. Wembe ni uleule- tusipotezeane focus.Tunamdanganya,, Siku wakimrundika kusikojulikana atakuwa peke yake Sisi tunaendelea kutafuna dona, shauri yake!
Ashikilie njia ya matusiKijana tunajua spirit yako ni moto sana, Hujawahi kuwa dhaifu hata siku moja, toka umetekwa mara ya kwanza na hata ulipokaa jela zaidi ya mwaka na nusu.
Walitumia silaha yao ya kuteka, kutesa na kukubambikia madawa ya kulevya, walipoona haupoi, wakaamua kukubambikia kesi ya kubumba.
Hawa CCM na Vijana wao ombaomba wanafikiri kutoka kwako jela ni hisani ya Mama, eti umpigie magoti, ni mtu dhaifu pekee anaweza kufanya ujinga huo.
Siku ukiona wanaanza kukusufu kwa maneno matamu jua umekwishwa, watakuzodoa kwa style nyingine,UMEUFYATA. na watakutolea mfano.
Mdude Shikilia hapo hapo usiachie, usipoe, itabidi tu wakuzoee.
Tabia ya aina ya Nyagali ni lazima uwekwe behind bars mara nyingi! Thats a “Notorious” behaviourHapana, Mdude anapaswa kubadilika, siyo kwa sababu ya kuongea aliyoyaongea juzi akimtisha rais Samia, bali anapaswa kubadilika kitabia sababu ni mtu asiye na hoja na ni mropokaji tu.
Tabia hii haijaanza baada ya kutokewa na hayo bali ndiyo namna amekua akiitumia wakati wote.
Lama ni lazima kwa yeye kuendelea na tabia zake ni vyema, lakini CHADEMA hawapaswi kumkumbatia na kumpatia platform. Inakwaza sana kuona kundini mnakua na mtu kama huyo, ambaye unamuona hana tofauti na akina Heri James, Makonda, Sabaya, Mwigulu na akina Kigwangala
Sijawahi kusikia siasa ni kukosoa na kutoa lugha ya kutusi, we endelea kumdanganya mwenzio tu na unajificha hapa unatype.......hakuna anayekataa kukosoa ila lazima kuheshimu mamlaka iliyopoKijana tunajua spirit yako ni moto sana, Hujawahi kuwa dhaifu hata siku moja, toka umetekwa mara ya kwanza na hata ulipokaa jela zaidi ya mwaka na nusu.
Walitumia silaha yao ya kuteka, kutesa na kukubambikia madawa ya kulevya, walipoona haupoi, wakaamua kukubambikia kesi ya kubumba.
Hawa CCM na Vijana wao ombaomba wanafikiri kutoka kwako jela ni hisani ya Mama, eti umpigie magoti, ni mtu dhaifu pekee anaweza kufanya ujinga huo.
Siku ukiona wanaanza kukusufu kwa maneno matamu jua umekwishwa, watakuzodoa kwa style nyingine,UMEUFYATA. na watakutolea mfano.
Mdude Shikilia hapo hapo usiachie, usipoe, itabidi tu wakuzoee.
Anashangilia “siasa za usela mavi” za bwana mdudeMkuu alipokuwa lupango ulimpelekea hata kipande cha sabuni ya jamaa........au unamjaza maneno huku wewe umejificha nyuma ya keyboard.
Siasa za “usela mavi” ziko CHADEMA watu wazima wenye Calibre ya watoto wa Form 2 waliochanganywa na balehe!Watu kama kina mdude ndio wanaofanya chadema ionekane genge la wahuni
Kabisa mkuu!Siasa za “usela mavi” ziko CHADEMA watu wazima wenye Calibre ya watoto wa Form 2 waliochanganywa na balehe!
Wote ni kama kagenge ka vijana waliobalehe juzi juzi kisha wakaanza kula bangiKabisa mkuu!
.
Hebu ona mtu kama Lisu, yani hana tofauti na mmawia wa hapa jf.
Warejee maandikoUsijiingize kwenye vita ambayo kiuhalisia tu unajua kabisa huwezi kushinda.
Hiyo ni busara ya kawaida kabisa kwa mtu mwenye akili zake timamu.
Mngekuwa mnaamini katika uwezo wake, mgekuwa tayari mmempa nafasi huko CHADEMA. Hamuwezi kufany hivyo sababu mnajua ni liability, na toilet paper mnayoitumia tu chooni lakini huwezi kuileta sitting room kufutia sahani😀. Mnapata dhambi. Mdude alipata misuko suko muda mrefu hakuna watu walikuwa wanamjali. Walipoona kuna dalili ya kuachiliwa, mkaona hapa hapa tuchomoze tena, mnamtumia mnatupa huko. Mdude ni nobody ndani ya CHADEMA. Angelijua hilo angetuliaKijana tunajua spirit yako ni moto sana, Hujawahi kuwa dhaifu hata siku moja, toka umetekwa mara ya kwanza na hata ulipokaa jela zaidi ya mwaka na nusu.
Walitumia silaha yao ya kuteka, kutesa na kukubambikia madawa ya kulevya, walipoona haupoi, wakaamua kukubambikia kesi ya kubumba.
Hawa CCM na Vijana wao ombaomba wanafikiri kutoka kwako jela ni hisani ya Mama, eti umpigie magoti, ni mtu dhaifu pekee anaweza kufanya ujinga huo.
Siku ukiona wanaanza kukusufu kwa maneno matamu jua umekwishwa, watakuzodoa kwa style nyingine,UMEUFYATA. na watakutolea mfano.
Mdude Shikilia hapo hapo usiachie, usipoe, itabidi tu wakuzoee.
Jpm analima kwa meno huko chato,mungu fundi kelbu moja tu ya covid kameza ulimi tumemsahau kama hakuepo...mavuvuzela wake mnalia njaa n ukata mama kawasahau kwenye teuziJK alikuwa mkarimu sana kwa Mbowe na Lissu akawaalika ikulu wakanywa chai na sambusa, walipotoka hapo Mbowe akasema JK ni kigeugeu.
Mama Samia nae kachukua njia ya ukarimu hivyo matusi itabidi ayazoee. JPM hakulea huu upuuzi. Walilima kwa meno hawa aina ya Mdude.
Kifo ni cha wote tofauti ni siku tu. Huu ujinga mnaonfanyia Rais wa sasa mlimfanyia JK pia kwa RIP mlificha mkia tumboni kaka mbwa koko.Jpm analima kwa meno huko chato,mungu fundi kelbu moja tu ya covid kameza ulimi tumemsahau kama hakuepo...mavuvuzela wake mnalia njaa n ukata mama kawasahau kwenye teuzi