Shida yenu nyie Rangi ya Kabichi akili zenu zipo kwenye vyeo tu, gamuwezi kufanya kitu mpaka mpate vyeo, huo ni ulemavu wa akili, Mdude Shilikila hapo hapo dawa iwaingie.Mngekuwa mnaamini katika uwezo wake, mgekuwa tayari mmempa nafasi huko CHADEMA. Hamuwezi kufany hivyo sababu mnajua ni liability, na toilet paper mnayoitumia tu chooni lakini huwezi kuileta sitting room kufutia sahani😀. Mnapata dhambi. Mdude alipata misuko suko muda mrefu hakuna watu walikuwa wanamjali. Walipoona kuna dalili ya kuachiliwa, mkaona hapa hapa tuchomoze tena, mnamtumia mnatupa huko. Mdude ni nobody ndani ya CHADEMA. Angelijua hilo angetulia
Tatizo lako ni kwamba unaamini kila anayekushauri opposite ni mwana CCM. Mlemavu wa akili ni wewe unayedhani mdude yupo sawa.Shida yenu nyie Rangi ya Kabichi akili zenu zipo kwenye vyeo tu, gamuwezi kufanya kitu mpaka mpate vyeo, huo ni ulemavu wa akili, Mdude Shilikila hapo hapo dawa iwaingie.
Mwendawazimu yule hana lolote , Hawezi kuwa mfano, alikua Hayawani mkubwa asie na STAHA hata kidogo.JPM hakulea huu upuuzi. Walilima kwa meno hawa aina ya Mdude.
Umwemwandikia asiye na ubongo kwa vile una akili finyuwewe hata ubongo wenyewe huna.
Sawa vuzy.Umwemwandikia asiye na ubongo kwa vile una akili finyu
Kikubwa anayetakiwa kushitaki ni rais ,akiwa na ushahidi wakutosha basi atakutana na wataalam kwenye cross examinationVipi akishtakiwa kwa kosa la kumkashifu raisi aliyeko madrakani, lakini pia kumtishia maisha akaona haitoshi kumdhalilisha aliyekuwa raisi wa awamu ya tano (Ambae sasa ni marehemu) huoni nimakosa matatu yaliyoshiba yanayomtosha kurudi alikotoka kupigwa mvua za kutosha.
Nafikiri hawa ndio wapinzania wachache wanaofanya upinzania uonekane ni watu wa hovyo, wanashindwa kuelewa misingi ya harakati ni kuwa na hoja madhubuti kwa lengo la kuikosoa serikali pasipo kuvuruga amani ya nchi, wala kuleta udharirishaji na migogoro isiyo na lazima.
Chadema wawe makini na hawa watu watapoteza dira na malengo waliyojiwekea kuelekea kuiongoza nchi.
Unamsifia marehemu kwa tabia zake za hovyo sio!?JK alikuwa mkarimu sana kwa Mbowe na Lissu akawaalika ikulu wakanywa chai na sambusa, walipotoka hapo Mbowe akasema JK ni kigeugeu.
Mama Samia nae kachukua njia ya ukarimu hivyo matusi itabidi ayazoee. JPM hakulea huu upuuzi. Walilima kwa meno hawa aina ya Mdude.
Yaani unamteka mtu mara 2, unamtesa, haitoshi, unampa na makosa ya uongo ya madawa ya kulevya (wapo wanaamini Mdude ni drug dealer), ametunzwa gerezani siku 414, baadae mahakama imemuachia huru, anatoa hisia zake, wapambe mnakuja na story za "staha".