STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Ni ushujaa-mavi tu unamsumbua huyu!Mimi sina tatizo sana na kejeli.
Mimi nina tatizo na uongo.
Mdude kamnyoa nani, wapi, lini, kivipi?
The guy just got out of jail for being catfished by a common whore.
What is this shaving he is talking about?
The whore's pubic hair?
Mdude kavuliwa nguo, badala ya kuchutama watu wamfunike wamsitiri, anaanza kukimbia uchi kijiji kizima akipiga kelele.
Ni ivi : Kama akiendeleza wembe wa mfu wenu meko basi hatoacha kuambiwa ukweli
Sasa hapo kosa liko wapi, nyinyi mataga hii nchi msiifanye ya kwenu pekee, msituletee upuuzi wenu
Ww acha uvivu wa kufkria ,kwani lugha ya atamnyoa umeitafairi vipi, inaonekana bado ni mgeni wa siasaKwahiyo wewe na Akili zako ndogo unaona ni sahihi kutumia kauli kama hiyo ,? Yeye mdude anasema atamnyoa aliyepo, atamnyoa kama nani ??
Una madawa mengine?Habari za leo wakubwa na Vijana wenzangu
Niende kwenye maada moja kwa moja. Mimi ni Shabiki wa siasa za kistarabu na Kujengeana uwezo kupitia kukosoana kwa lugha nzuri na zenye staha ili kulindiana heshima.
Sasa ndugu zetu wa Chadema, Mna huyu kijana ambaye ametoka rumande juzi juzi baada ya kukalishwa mahabusu kwa siku takribani 357 ni kijana anayeonekana kuwa kama Akili yake haijakaa sawa sawa.
Leo nikiwa naperuzi kwenye mtandao wa Kijamii Twitter, nikakutana na hii kauli ya Jamaa huyu mdude imenukuliwa
“WEMBE niliotumia kumnyolea mtangulizi wake nitautumia kumnyolea yeye akiendelea kuleta Jeuri”
Mimi niwaombe viongozi wa CHADEMA Mmwambie huyu kijana alinde sana maneno yake asijekurudi alikotoka.
NI HAYO TU
Ww acha uvivu wa kufkria ,kwani lugha ya atamnyoa umeitafairi vipi, inaonekana bado ni mgeni wa siasa
Yani mimi naanza kuelewa kabisa kwa nini amekuwa catfished na huyo mwanamke na kubambikiwa madawa.
Inaonekana uwezo wake wa kuchambua aseme nini, afanye nini, wapi, kwa wakati gani, uwezo mzima wa kuchambua mambo, wafaransa wanaita "savoir faire", ni mdogo.
Na CHADEMA wanavyoshindwa kumpanga, hilo linaonekana kuwa si tatizo la Mdude tu.
Linaonekana ni tatizo la chama.
Sasa haya ndiyo matatizo tunayakimbia CCM. Tunataka upinzani utaotuvusha hapo.
Sasa chama mbadala nacho kinaturudisha kulekule jamani?
Whats the point of chama mbadala kama nacho kinarudi kwenye propaganda mbuzi?
Una madawa mengine?
Ana haki ya kusema kikatiba na kama ingekuwa alichokuwa anakisema enzi za mwendazake ni kosa basi wangemshitaki kwa makosa hayo. Kwanini wakambambikia madawa kupitia yule msichana? Uhuru ukishatolewa hautakiwi tena kuwekewa mazonge kuwa nikosoe kwa staha na mtu akiona katika kutumia uhuru wa kujieleza amekashifiwa basi sheria iko wazi aende mahakamani kufungua madai. Kwanini hatuendi na katiba na sheria zetu badala ya kutumia hila kubambikia watu makosa ili kuwakomoa kwa kutumia haki yao waliyopewa na katiba.Hajifunzi huyu dogo mbona mama hatuna shida naye atapoteza relevance yake.
Na ww unajiita mpinzani?[emoji23]Vyama pinzani ni vizuri sana kwa maslahi ya taifa lakini Tanzania bado sana kuwa na upinzani wenye tija
Watanzania kupitia vyama pinzani vya cuf, chadema na act tujue tuu tunapotezewa nguvu na muda wa kudhania kuna upinzani
Yule dogo masikio yamezidi kichwa, watamkaanga tena sio muda.
Ila mama akiwachekea hawa kima atavuna mabua.
Mbowe anamtishia mama eti hampi muda na wala hana muda wa kumpa.
Enzi za Magufuli usingesikia kauli za kidwanzi kama hizo. Magu ndio alikua anawwza watu wajinga.
Tulia wewe chawaHata kama, Ila ni vyema akawa na lugha nzuri. Nyagali anaropokaga sana.
Na ww unajiita mpinzani?[emoji23]
Safi sanaHata siku moja!
Mimi ni mtanzania