wao pia wameruhusu.Samia anarudi kwa Magufi kuwapa wapinzani relevancy kwa kuendelea kukataa mikutano ya siasa nje ya majimbo.
Kwenye katiba mpya I can sympathize with her more, si jambo la kufanya mara moja.
Watu wa CHADEMA inabidi wampange Mdude.
Inaonekana akili yake ndogo ile ile iliyomfanya awe catfished na a common whore inamfanya alete propaganda za uongo kwamba kamnyoa mtu wakati hata akipewa wembe hajui kuushika na most likely atajikata na kujiumiza mwenyewe.
hata kama hajatukana,haya tuseme kamnyoa nani,kama anavyotaka kumnyoa samia!!Kosa la huyu kijana ni lipi Cariha mpenzi? Sidhani kama kuna tusi katika maandishi yake. Shida kubwa ni jamii yetu ambayo imejengwa katika misingi ya uoga na viongozi wetu miungu watu ambao hawaguswi!!! Pole Mdude, upo sahihi lakini kwa jamii isiyo sahihi.
Ah ya masoud nimeikumbuka ile.jamaa alikuwa na uvumilivu sana.na kuna yule jamaa anajiita Gado, ni cartoonist alikuwa anamtania sana jiwehata yeye pia,rejea maneno yake kwa masoud.
ndio maana wengi wao walikuwa wanaumia sana,maana unamchokonoa mtu anakupuuza tu.
Huyu jamaa hata simuelewagi yaan!!Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535
Kuwa na lugha za kishamba, hukumu yake ndio kutekwa na kubambikiwa Kesi ya Madawa ya kulevya?lugha za kipumbavu,ndio siasa za kishamba.
kuwa mpinzani sio tiketi ya kuongea mashudu 24hrs kwa watawala na viongozi,na hata wenzie kama hawamkemei na kuonyesha kusikitishwa ni washamba pia.
watamkata na malinda,wacha aendelee na ushamba mwingi.Kuwa na lugha za kishamba, hukumu yake ndio kutekwa na kubambikiwa Kesi ya Madawa ya kulevya?
Zaidi, chama ambacho kimeshindwa kupeleka wabunge bungeni kushangilia kunyoa watu ni upumbavu wa kiwango cha juu kabisa.wao pia wameruhusu.
kitendo cha kuchukulia kama kutoka nje kwa mdude ni ushindi,bila kumwita na kumwelekeza njia bora impasayo ni tatizo hilo.
imagine anakuja mlevi wa chang'aa anakwambia jamaa hakuwa anaruhusu mawazo ya wengine.Ah ya masoud nimeikumbuka ile.jamaa alikuwa na uvumilivu sana.na kuna yule jamaa anajiita Gado, ni cartoonist alikuwa anamtania sana jiwe
Je kumkata na Malinda ndio hukumu ya kosa la jinai?watamkata na malinda,wacha aendelee na ushamba mwingi.
ndio hukumua yake ndio.Je kumkata na Malinda ndio hukumu ya kosa la jinai?
Mnampaisha Bure huyu chiziTumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535
Kwahiyo huo mswaada umepitishwa kuwa Sheria ya mtu akipatikana na kosa kutukana unamkata na Malinda?ndio hukumua yake ndio.
Labda mtanguizi katika jimbo jamani au mkaa na mkewe!! alaumiwe aliemlea au kumfunza lugha!! anatafuta nafasi apate ulajiTumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535
Nimegundua mataga wengi humu ni watumwa wa fikra
Kwa kwel,kwanza angejiweka mbali na mtandao kwa muda kidogo,kaul zake abadilike aisee ,atakuja rudishwa jela aozee jelaBavicha mkae na huyo mdude.
Mkishindwa mmuache awe MDUDU WA DOLA.
Awe na mipaka kauli zake.
Sijapenda kabisa
[emoji23][emoji23]BAVICHA kwani nyie mna akili kweli ?? Siasa za matusi matusi tu yaani
Hapa Mdude Nyangali anakiri kuwa ameshiriki uuaji na anatishia kuua tena , hili jambo lisiachwe likapita hivi hivi serikali isimung'unye manneno ifanyie kazi kadhia hii, wameanza kutajana , damu ya mtu haiendi bureTumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535