Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Kitaalamu Mdude Nyagali yuko traumatized kwa sababu ameondoka kwenye kundi la wahalufu wenziwe juzi kwa hiyo akili yake imeyumba iko kihalifu zaidi hajaanza bado kuwaza vyema kama binadamu wa kawaida.

Ili kurudi kwenye hali yake ya kawaida alitakiwa atulie kwa mwaka mmoja ili azoee mazingira ya kawaida ya ubinadamu.

Sasa ninachojiuliza CHADEMA hawana daktari anbaye angewashauri kuhusu hali hiyo? si vizuri kwa Mbowe kuwatumia watoto wa watu kwa kutumia umasikini wao kwa masilahi yako binafsi.
Vipi Hizi AKILI ndio NZURI?
Screenshot_20210704-125136_Twitter.jpg
 
Staha siyo kwa Rais tu, Staha kwa mtu yeyote.
Tukileta Maneno ya Jiwe humu kudhalilisha watu mbona mlikaa kimya?
Ni shida kubwa sana kulinganisha vitu visivyo fanana,hapa ndipo mnapo kosea.

Pili,jengeni hoja kuonyesha uhalali wa jambo hilo.

Tatu,hakuna ambaye ana kataa ya kuwa kuna watawala waovu lakini pamoja na uovu wao ni kosa kuwakosoa hadharani. Nikatoa mfano wa mzazi na mwanao,sote tunakosea ila huwezi kumkosoa mwanao kama unavyo mkosoa mzazi wako. Hilo halihitaji akili kubwa kulijua.
 
Staha siyo kwa Rais tu, Staha kwa mtu yeyote.
Tukileta Maneno ya Jiwe humu kudhalilisha watu mbona mlikaa kimya?
Ni shida kubwa sana kulinganisha vitu visivyo fanana,hapa ndipo mnapo kosea.

Pili,jengeni hoja kuonyesha uhalali wa jambo hilo.

Tatu,hakuna ambaye ana kataa ya kuwa kuna watawala waovu lakini pamoja na uovu wao ni kosa kuwakosoa hadharani. Nikatoa mfano wa mzazi na mwanao,sote tunakosea ila huwezi kumkosoa mwanao kama unavyo mkosoa mzazi wako. Hilo halihitaji akili kubwa kulijua.
 
Huyo famba wenu ******** kaua wangapi ? ,Leo yupo wapi ? , Famba
Siungi mkono alichofanya the late...lakini mdude anachokifanya ni Ku mprovoke mama. Yani anataka mama achafukwe roho...ili mdude abinywe pumbu aanze kulalamika.......


Naona unakuja na mifano ya kina kheri James....huyu alichofanya enzi hizo ni upuuzi na ulevi wa madaraka...ndo mana mama ujinga huo haufumbii macho....sasa inapotokea mvuta bangi mmoja anapokuja kutumia haki yake ya kikatiba vibaya kipindi ambacho tunataka mabadiliko ya katiba.. Anawasilisha kwa kupayuka..ataharibu hali ya hewa. ...kwanini hajifunzi busara za mbowe even in hard times
 
Siungi mkono alichofanya the late...lakini mdude anachokifanya ni Ku mprovoke mama. Yani anataka mama achafukwe roho...ili mdude abinywe pumbu aanze kulalamika.......


Naona unakuja na mifano ya kina kheri James....huyu alichofanya enzi hizo ni upuuzi na ulevi wa madaraka...ndo mana mama ujinga huo haufumbii macho....sasa inapotokea mvuta bangi mmoja anapokuja kutumia haki yake ya kikatiba vibaya kipindi ambacho tunataka mabadiliko ya katiba.. Anawasilisha kwa kupayuka..ataharibu hali ya hewa. ...kwanini hajifunzi busara za mbowe even in hard times
Achafukwe tu
 
Watanzania kwa kushabikia vitu au watu wasiowajua kiundani si mlimuona JPM alikuwa anamuonea.

Mwacheni tu.

Kwani protocol ya ulinzi CDM ipo vipi? Maana kila mtu ana BODYGUARD
 
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?

Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.

Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana

View attachment 1837535
View attachment 1839252
watu walishajitoa mughanga kitamboooo, wameshachafukwa vichwa kama kina mdude, hawaelewi A wala Z, akili zishavurugika, ukiweka maji wanaweka gongo, ukiweka sigara wanaweka bangi, ukiweka mkojo wanaweka mavi. Kuna watu ni vichaaaa haswaaaaa. Msipotumia busara mtawaua bureee.
 
"Nitakachowafanya, mtakwenda kusimulia Shangazi zenu"- Jiwe kwa watu wa Mtwara.

Mlisema si staha?... "Wapumbavu na Malofa"- Mkapa .
Na mengineyo . Je viongozi wana mamlaka ya kuwakosea watu adabu hadharani?
Huyu ni kiongozi wa nchi yaani mtawala. Japo kauli si nzuri ila huwezi kumlinganisha na huyo raia kama mimi.

Katika nidhamu za utawala,kuna haki ya mtawala kwa raia wake na kuna haki ya raia kwa mtawala wake. Miongoni mwa haki za raia kwa mtawala wake ni utiifu na adabu,na haki za mtawala kwa raia wake ni uadilifu.
 
Tatizo ni Rais kuwa mwanamke ndio maana wengi wana mihemko kama misukule, nasisitiza tena Mdude hajakosea popote, na mimi nasema hapa, wembe ni ule ule.
 
Huyu ni kiongozi wa nchi yaani mtawala. Japo kauli si nzuri ila huwezi kumlinganisha na huyo raia kama mimi.

Katika nidhamu za utawala,kuna haki ya mtawala kwa raia wake na kuna haki ya raia kwa mtawala wake. Miongoni mwa haki za raia kwa mtawala wake ni utiifu na adabu,na haki za mtawala kwa raia wake ni uadilifu.
What are you talking about !!!......
Huyo si Mtawala ni Kiongozi , unamjua Mtawala wewe?
 
'CHADEMA wanawanyoa mama zao'

Ndiyo adabu ya chama hiyo
Mama yenu kwakua mmetaka awe hivyo kwetu sisi huyu ni Rais kama taasis.Hayo mambo ya mama mama ni ya kwenu wala hayapo kikatiba.
Tena ni kosa kubwa sana kumu address Sir-100 kama mama.ni dharau kubwa sanaa
 
Ni shida kubwa sana kulinganisha vitu visivyo fanana,hapa ndipo mnapo kosea.

Pili,jengeni hoja kuonyesha uhalali wa jambo hilo.

Tatu,hakuna ambaye ana kataa ya kuwa kuna watawala waovu lakini pamoja na uovu wao ni kosa kuwakosoa hadharani. Nikatoa mfano wa mzazi na mwanao,sote tunakosea ila huwezi kumkosoa mwanao kama unavyo mkosoa mzazi wako. Hilo halihitaji akili kubwa kulijua.
Unataka wakosolewe wapi?...

Nani katuroga aisee?
 
Mama yenu kwakua mmetaka awe hivyo kwetu sisi huyu ni Rais kama taasis.Hayo mambo ya mama mama ni ya kwenu wala hayapo kikatiba.
Tena ni kosa kubwa sana kumu address Sir-100 kama mama.ni dharau kubwa sanaa
Kwaiyo mdude anamwita nani mama?
Huoni nayeye kwa mjibu wako anashindwa kum address kama Taasisi? Ana attack kama mama?
 
Mama yenu kwakua mmetaka awe hivyo kwetu sisi huyu ni Rais kama taasis.Hayo mambo ya mama mama ni ya kwenu wala hayapo kikatiba.
Tena ni kosa kubwa sana kumu address Sir-100 kama mama.ni dharau kubwa sanaa
Yani watu hawajielewi kabisa.
Mama ni jina tu kapewa kama Social Alias. Wao wanamuona kama Mama yao nyumbani. Kweli kiafrica na kiheshima ni mama. Yanapokuja maswali ya Nchi huyu ni Rais kama alivyokuwa Kaka Jiwe. Na itabaki hivyo
 
Inaonekana CHADEMA wamemwambia kwamba yeye ndo mwarobaini wa kumkomoa mama. Lakini wamwangalie mama wamuone anachokifanya, waione nia iliyo ndani yake, maana naona wao wameamua kuwa wafusi wa kigogo mtu aliyeficha sura yake. We are waiting.
 
Mimi ni CCM na namkubali Mh. Rais Mama SSH kwa kuwa mwema na mwenye kujali utu wa mtu.

Ila kwetu sisi kumhukumu Mdude ni rahisi sana, ila kuvivaa viatu vyake hatuwezi...na huenda ingekuwa sisi tungerudi mtaani ni visasi!!!
 
Mimi sio mwanasiasa sipendi siasa pia ila Kama mwananchi raia wa Tanzania niseme ukweli kuwa huyu Mdude wa Chadema, amenikera Sana tena Sana kwa maneno machafu Sana kwa Rais wetu Mama Samia Suluhu hasani, mama amekuwa muungwana Sana katika muda huu mfupi alokuwa Rais, Nakushauri Mdude na Chadema tumieni lugha za staha, kwa watanzania wenzangu tuwatambue vichaa, wakikunja ngumi barabarani sisi tuwapishe tusonge mbele tujenge nchi na mama Samia, tukiwakunjia ngumi vichaa wapitao barabari watatuona sisi ni vichaa pia, Rais pole kwa uvumilivu wako, wenye akili tupo nyuma yako kazi iendelee, Mwenyezi Mungu akupe moyo wenye Subra na uvumilivu, Watanzania tunajua kuchambua jema na baya
 
Back
Top Bottom