Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Chama cha siasa kikishindwa uchaguzi mara 3 kinageuka kuwa cha kigaidi..

Ndiko hii saccos chadema inakoelekea
 
Tumemsikia sote wakati anatamka hiyo kauli, Mimi mwanayanga nikimwambia Mh. Job Ndugai "Jana tumekunyoa kwa wembe" itakuwa nimekosa staha?

Mama alisema "Ukinizingua , nakuzingua" .. Je ina tofauti na kauli ya Mdude kuwa "Akizingua na yeye atazinguliwa kama walivyomzingua mtangulizi"

Ni kweli hatujui wembe alioumaanisha Mdude kwenye hiyo Kauli, Kama anasema Wembe waliomnyolea JPM ndo watautumia. Je, ni kweli JPM alinyolewa Nywele kama mnavyotaka kumaanisha?. Kwa hiyo "Mtoto akililia wembe aachwe ajikate" nayo haijaelewekaga kwa jamii yetu pia?

Tuache kujipendekeza sana. Tatizo letu sisi ndo yale mambo ya utu wa kiafrika ambayo tunayalazimisha. Kijana amemwambia hivyo Rais wa nchi, siyo mama yake kama inavyotaka kuonyeshwa. Nyumbani Mkubwa akosei , lakini unapokuwa mtumishi wa Umma ni lazima ukosolewe, kutahadharishwa na kusifiwa pia ikibidi. Kama hujajiandaa kwa haya usiombe nafasi ktk ofisi.

Tujiulize Staha ni kumpa mashtaka ya uongo na kumtunza gerezani siku 414? Mdude leo anaonekana 'drug dealer' mtu ambaye havuti hata sigara, nani amemuomba radhi? Halafu mnataka kumpangia jinsi ya kutoa maoni yake na hata hisia zake mnataka kuziratibu... Nyie hisia zenu nani anaziratibu?

Ieleweke wazi ukiwa ofisi ya Umma, kubali kukosolewa, kusemwa, kuhadharishwa. Muradi Katiba na sheria za nchi zisivunjwe.

ANAYEONA MDUDE AMEKOSEA, ANAWEZA KWENDA MAHAKAMNI KUMSHITAKI AU KUPATA TAFSIRI YA KISHERIA


Ukisikiliza hii nyimbo , jiulize hiyo "Mbwai na iwe Mbwai" ni nini?. Ndo staha?. Lakini kiuhalisia ina maana nyingi na inaweza isiwe hiyo ya shari tunayohisi imemaanishwa na waimbaji.

Mkuu umeeleza VIZURI ,
 
Chama cha siasa kikishindwa uchaguzi mara 3 kinageuka kuwa cha kigaidi..

Ndiko hii saccos chadema inakoelekea
Ila pia Chama Cha siasa kikizoea wizi mwisho wanakua majangili, ndo maana tukayaona ya uchaguzi wa 2020, kuanzia uchaguzi wa serikali za mtaa
 
We mama umeambiwa utanyolewa kama mtangulizi wako [emoji23][emoji23] sasa sijui ni nywele za wapi [emoji119]
 
What are you talking about !!!......
Huyo si Mtawala ni Kiongozi , unamjua Mtawala wewe?
Nimecheka sana. Kiongozi wa nchi yule mkuu ni mtawala. Usiwe mjinga kiasi hiki. Ndiyo maana huna hoja wala huna marejeo.

Kila mtawala ni kiongozi. Sababu kuna watu anawaongoza.

Siku nyingine jifunze maana ya maneno kisha uyatumie.
 
Unataka wakosolewe wapi?...

Nani katuroga aisee?
Hapa hakuna kurogwa wala nini,sema nyinyi ni wajinga mnaofata mihemko ndiyo maana harakati zenu zina faida chache sana maafa makubwa. Kisha hamna mizani ya kupima harakati zenu mnabaki kuwa hivyo hivyo kila siku.

Swali la kwanza ni swali zuri na la msingi pia. Kiongozi anakosolewa sirini (faragha),aidha kwa kumfata au kumuandikia barua kisha wajibu wako unakuwa umeufanyia kazi,ibaki yeye kukubali au kukataa. Akili hizi hamna nyinyi.
 
Ninyi CCM mlikuwa mnamtumia huyu kwa maslahi yenu binafsi?👇
5tfvce11.png
 
Nimecheka sana. Kiongozi wa nchi yule mkuu ni mtawala. Usiwe mjinga kiasi hiki. Ndiyo maana huna hoja wala huna marejeo.

Kila mtawala ni kiongozi. Sababu kuna watu anawaongoza.

Siku nyingine jifunze maana ya maneno kisha uyatumie.
Unapaswa kwenda shule na kusoma History kujua kuwa Rais siyo Mtawala.

Haujui kuwa President siyo mtawala kwa sababu ana "Limited Power" , "Mtawala ana absolute Power"..


 
Kila mtawala ni Kiongozi lakini si kila kiongozi ni Mtawala. Hata Jiwe hakuufikia utawala japo alijaribu kidogo...
Nimecheka sana. Kiongozi wa nchi yule mkuu ni mtawala. Usiwe mjinga kiasi hiki. Ndiyo maana huna hoja wala huna marejeo.

Kila mtawala ni kiongozi. Sababu kuna watu anawaongoza.

Siku nyingine jifunze maana ya maneno kisha uyatumie.
 
Hapa hakuna kurogwa wala nini,sema nyinyi ni wajinga mnaofata mihemko ndiyo maana harakati zenu zina faida chache sana maafa makubwa. Kisha hamna mizani ya kupima harakati zenu mnabaki kuwa hivyo hivyo kila siku.

Swali la kwanza ni swali zuri na la msingi pia. Kiongozi anakosolewa sirini (faragha),aidha kwa kumfata au kumuandikia barua kisha wajibu wako unakuwa umeufanyia kazi,ibaki yeye kukubali au kukataa. Akili hizi hamna nyinyi.
Yaani Kiongozi anakanyaga KATIBA ,anafuatwa sirini halafu ataamua yeye kukubali au kukataa!!..SHAME


Labda iwe ni kingdom au Monarch. Taifa la kidemokrasia hilo halipo..
Huo ni ufalme mkuu!..

Yaani Rais akosolewe faragha au aandikiwe barua!!!!
 
Tumemsikia sote wakati anatamka hiyo kauli, Mimi mwanayanga nikimwambia Mh. Job Ndugai "Jana tumekunyoa kwa wembe" itakuwa nimekosa staha?

Mama alisema "Ukinizingua , nakuzingua" .. Je ina tofauti na kauli ya Mdude kuwa "Akizingua na yeye atazinguliwa kama walivyomzingua mtangulizi"

Ni kweli hatujui wembe alioumaanisha Mdude kwenye hiyo Kauli, Kama anasema Wembe waliomnyolea JPM ndo watautumia. Je, ni kweli JPM alinyolewa Nywele kama mnavyotaka kumaanisha?. Kwa hiyo "Mtoto akililia wembe aachwe ajikate" nayo haijaelewekaga kwa jamii yetu pia?

Tuache kujipendekeza sana. Tatizo letu sisi ndo yale mambo ya utu wa kiafrika ambayo tunayalazimisha. Kijana amemwambia hivyo Rais wa nchi, siyo mama yake kama inavyotaka kuonyeshwa. Nyumbani Mkubwa akosei , lakini unapokuwa mtumishi wa Umma ni lazima ukosolewe, kutahadharishwa na kusifiwa pia ikibidi. Kama hujajiandaa kwa haya usiombe nafasi ktk ofisi.

Tujiulize Staha ni kumpa mashtaka ya uongo na kumtunza gerezani siku 414? Mdude leo anaonekana 'drug dealer' mtu ambaye havuti hata sigara, nani amemuomba radhi? Halafu mnataka kumpangia jinsi ya kutoa maoni yake na hata hisia zake mnataka kuziratibu... Nyie hisia zenu nani anaziratibu?

Ieleweke wazi ukiwa ofisi ya Umma, kubali kukosolewa, kusemwa, kuhadharishwa. Muradi Katiba na sheria za nchi zisivunjwe.

ANAYEONA MDUDE AMEKOSEA, ANAWEZA KWENDA MAHAKAMNI KUMSHITAKI AU KUPATA TAFSIRI YA KISHERIA


Ukisikiliza hii nyimbo , jiulize hiyo "Mbwai na iwe Mbwai" ni nini?. Ndo staha?. Lakini kiuhalisia ina maana nyingi na inaweza isiwe hiyo ya shari tunayohisi imemaanishwa na waimbaji.

Maccm bwana yameuwa watu mchana kweupe leo yanajifanya yamekasirishwa na kauli tu?? Maajabu
 
Unapaswa kwenda shule na kusoma History kujua kuwa Rais siyo Mtawala.

Haujui kuwa President siyo mtawala kwa sababu ana "Limited Power" , "Mtawala ana absolute Power"..


Hata kurejea katika maana ya maneno nako hujui yaani unashindwa. Kila kitu kina mipaka,sasa unapo weka jambo ambalo liko wazi haya ni matumizi mabaya ya akili. Naweza nikakupa kazi unitanie mambo ambayo hayana mipaka bila shaka hutaweza yaani huwezi.

Kila mtawala ni kiongozi,rejea katika kamusi za maana ya maneno. Ndiyo maana huwa tunasema :

Aidha :
1. Fulani anatawala kwa mabavu au
2. Fulani ana ongoza kwa mabavu.

Kila mtawala ni kiongozi lakini si kila kiongozi ni mtawala. Raisi ni mtawala,kwa maana amepewa jukumu la kutawala (yaani shamili kugubika mambo yote ya wananchi yanarejeshwa kwake).

Nani amekwambia mtawala hana mipaka ? Hakuna kisicho mpaka mzee,labda sababu unafikiri kitoto ndiyo maana.
 
Kila mtawala ni Kiongozi lakini si kila kiongozi ni Mtawala. Hata Jiwe hakuufikia utawala japo alijaribu kidogo...
Hili liko wazi,na hata Mola ni mtawala wa walimwengu na ana mipaka yake.

Kutawala maana yake ni kuenea.

Hii maana ya mtawala kutokuwa na mipaka umeipata wapi ?
 
Back
Top Bottom